Kampeni Chalinze vurugu tupu
Msuguano umeibuka kati ya CCM na CUF kwenye kampeni za uchaguzi wa Jimbo la Chalinze ambako wafuasi wanatuhumiana kufanyiana fujo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima18 Mar
Pwani kudhibiti vurugu kampeni Chalinze
MKUU wa Mkoa wa Pwani, Mwantumu Mahiza, amesema mkoa wake umejipanga kudhibiti vurugu na fujo wakati wa kampeni za uchaguzi mdogo wa Jimbo la Chalinze unaotarajiwa kufanyika Aprili 6, mwaka...
11 years ago
Mwananchi17 Jul
Ziara ya Makalla vurugu tupu
10 years ago
Mtanzania25 Aug
Uchaguzi Chadema vurugu tupu
![John Mnyika](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/John-Mnyika.jpg)
Mbunge wa Ubungo, John Mnyika
SHABANI MATUTU NA OLIVER OSWALD, DAR ES SALAAM
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema kimebaini njama za kupandikiziwa mamluki wenye nia ya kuvuruga uchaguzi wa chama hicho pamoja na mabaraza yake unaotarajiwa kufanyika Septemba 14, mwaka huu.
Kutokana na hali hiyo, Chadema imedai kubaini uwepo wa mamluki hao ambao wengi wamejitokeza kuwania nafasi mbalimbali katika chama hicho huku wakikosa sifa stahili na hata kupanga mikakati ya kwenda...
11 years ago
Mwananchi18 Mar
‘Vurugu marufuku Chalinze’
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-xnYZp_a4pg0/VgD_bGg5h2I/AAAAAAAH6wg/cOCtZwBtpyw/s72-c/unnamed.jpg)
KAMPENI JIMBO LA CHALINZE ZAENDELEA
11 years ago
Tanzania Daima30 Mar
Mvua zaathiri kampeni Chalinze
MVUA zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali hapa nchini zimesababisha baadhi ya mikutano ya kampeni katika Jimbo la Chalinze kutofanyika. Kampeni hizo zinazoendelea katika maeneo ya Jimbo la Chalinze zinatarajiwa kuhitimshwa...
11 years ago
Mwananchi21 Mar
Mgombea Chalinze kuzindua kampeni
9 years ago
Vijimambo18 Sep
52 mbaroni kwa vurugu za kampeni
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2653956/highRes/966912/-/maxw/600/-/ck2462z/-/zitto_clip.jpg)
Kukamatwa kwa watu hao ni kutokana na kuripotiwa kwa matukio 107 ya uvunjifu wa amani, ambapo tayari matukio 38 yameshafanyiwa upelelezi na kufunguliwa kesi huku matukio mengine 68 yakiendelea kufanyiwa upelelezi.
Akitoa tathimini ya mwenendo wa kampeni za uchaguzi, Msemaji wa Jeshi hilo, Advera Bulimba...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/72Jod1iYAGEGWhG-45ESsZS1EwSpm*kQxSlcRQm3W7BC6VbOHPqSuRCy3ueQah312Dbi64wsJ02FfffNSDW*MYbItB1hngCf/2POM2.jpg?width=650)
RIDHIWANI KIKWETE AENDELEA NA KAMPENI CHALINZE