Mvua zaathiri kampeni Chalinze
MVUA zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali hapa nchini zimesababisha baadhi ya mikutano ya kampeni katika Jimbo la Chalinze kutofanyika. Kampeni hizo zinazoendelea katika maeneo ya Jimbo la Chalinze zinatarajiwa kuhitimshwa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog23 Apr
Mvua zaathiri hekta 2,000 za zao la Pamba Mkoani Singida
Mkuu wa wilaya ya Ikungi mkoani Singida, Gishuli Charles (kulia) akitoa maelekezo juu ya mikakati ya kuboresha kilimo cha pamba mbele ya wajumbe wa kikao cha kazi cha kutathimini zao la pamba msimu huu kilichohudhuriwa na wajumbe kutoka bodi ya pamba na wadau wa zao hilo. Dc Charles alikuwa mwenyekiti wa kikao hicho kilichofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa ofisi ya mkuu wa mkoa mjini hapa. Kushoto ni kaimu katibu tawala mkoa wa Singida,Mumba.
Baadhi ya wajumbe wa kikao cha kazi cha...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-uBpcq1OpSsU/VOrIRcxaGoI/AAAAAAAHFWM/GqOwapM4bHU/s72-c/unnamed%2B(14).jpg)
JK awafariji waathirika wa mvua ya dhoruba Chalinze
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-OAyEwA4EGLI/VOnU-Nvt_ZI/AAAAAAAHFNQ/dwX9EabKaI0/s72-c/unnamed%2B(39).jpg)
Rais Kikwete awafariji waathirika wa mvua ya dhoruba Chalinze
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete jana aliwafariji na kuahidi kuzisaidia kaya 40 ambazo nyumba zao ziliharibiwa vibaya na mvua mkubwa iliyoambatana na upepo mkali wiki iliyopita huko Chalinze,wilayani Bagamoyo Mkoani Pwani.
Katika ziara hiyo Rais Kikwete ambaye alikuwa amefuatana na mkewe mama Salma Kikwete alikagua Shule ya msingi Chalinze, Ofisi ya CCM, na nyumba kadhaa za wanakijiji ambazo ziliharibiwa vibaya na mvua hizo na kujeruhi baadhi ya wanavijiji...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-xnYZp_a4pg0/VgD_bGg5h2I/AAAAAAAH6wg/cOCtZwBtpyw/s72-c/unnamed.jpg)
KAMPENI JIMBO LA CHALINZE ZAENDELEA
11 years ago
Mwananchi21 Mar
Mgombea Chalinze kuzindua kampeni
11 years ago
Mwananchi27 Mar
Kampeni Chalinze vurugu tupu
11 years ago
Tanzania Daima18 Mar
Pwani kudhibiti vurugu kampeni Chalinze
MKUU wa Mkoa wa Pwani, Mwantumu Mahiza, amesema mkoa wake umejipanga kudhibiti vurugu na fujo wakati wa kampeni za uchaguzi mdogo wa Jimbo la Chalinze unaotarajiwa kufanyika Aprili 6, mwaka...
11 years ago
Mwananchi19 Mar
CCM kuzindua kampeni Chalinze leo