Pwani kudhibiti vurugu kampeni Chalinze
MKUU wa Mkoa wa Pwani, Mwantumu Mahiza, amesema mkoa wake umejipanga kudhibiti vurugu na fujo wakati wa kampeni za uchaguzi mdogo wa Jimbo la Chalinze unaotarajiwa kufanyika Aprili 6, mwaka...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi27 Mar
Kampeni Chalinze vurugu tupu
Msuguano umeibuka kati ya CCM na CUF kwenye kampeni za uchaguzi wa Jimbo la Chalinze ambako wafuasi wanatuhumiana kufanyiana fujo.
11 years ago
Mwananchi18 Mar
‘Vurugu marufuku Chalinze’
Serikali mkoani Pwani imeingia mkataba wa makubaliano ya amani na utulivu na vyama saba vya siasa vilivyopo mkoani hapa, lengo likiwa kudhibiti vurugu katika kampeni za uchaguzi mdogo wa Jimbo la Chalinze na wakati wa upigaji kura Aprill 6 mwaka huu.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-7lpY6qwqLQA/VCB-XNkbh_I/AAAAAAAARGY/epcf37GdBOA/s72-c/24.jpg)
KINANA AITEKA CHALINZE PWANI
![](http://3.bp.blogspot.com/-7lpY6qwqLQA/VCB-XNkbh_I/AAAAAAAARGY/epcf37GdBOA/s1600/24.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-uhh3z3eG05k/VCB-YZ6G-xI/AAAAAAAARGk/vUG9XpfiZ8U/s1600/4.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-yqQxykHrOCw/VCB-Z8WUqsI/AAAAAAAARG0/Trk1p3gK9pA/s1600/7.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-CAGBO3pAzHw/VCB-aaUz7AI/AAAAAAAARG4/ORKN686nSw4/s1600/9.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima18 Mar
Sheria ya kudhibiti mifugo yahofiwa kuibua vurugu
SERIKALI imetahadharishwa kuwapo uwezekano wa kujitokeza kwa vurugu za wakulima na wafugaji katika Kata ya Kisaki, mkoani Morogoro kutokana na kuundwa kwa sheria ya kudhibiti mifugo iliyopitishwa Januari 12, mwaka...
5 years ago
BBCSwahili03 Jun
Maandamano Marekani: Je Trump anaweza kutuma majeshi kudhibiti vurugu?
Wakati maandamano yakishika kasi nchini Marekani, Rais wa nchi hiyo, Donald Trump ametishia kutuma majeshi yake ili kutuliza ghasia.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-_0zhqh9tSr0/UylotTzlMBI/AAAAAAAFU1Y/W0Ak_ai1Bcg/s72-c/MMG20490.jpg)
10 years ago
MichuziRais Kikwete na Waziri Mkuu wa Ethiopia wazindua kiwanda cha Kudhibiti Malaria Pwani
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-hBZN131hlkk/Xtywq7TTQQI/AAAAAAALs5g/bbPKhgW35Ngn548h-mFXZ1rUQwtnQu42wCLcBGAsYHQ/s72-c/Screenshot_20200607-102026_1591515051646.png)
MBUNGE WA CHALINZE AKABIDHI VIFAA TIBA KITUO CHA AFYA MIONO MKOANI PWANI
MBUNGE wa Jimbo la Chalinze,Ridhiwan Kikwete, amekabidhi vifaa tiba katika kituo cha afya cha Miono,Mkoani Pwani vilivyotolewa kwa hisani ya taasisi ya kifedha ya Stanbic.
Akikabidhi vifaa hivyo kwa mkurugenzi wa halmashauri ya chalinze,alisema vifaa hivi vitakuwa neema na mkombozi kwa mahitaji wa afya kutokana na baada ya ukamilikaji wa chumba cha Upasuaji ambacho kitahudumia wananchi wa maeneo hayo hususan wakina mama wakati wa kujifungua na huduma za upasuaji.
"Nimekuwa nikikosa...
Akikabidhi vifaa hivyo kwa mkurugenzi wa halmashauri ya chalinze,alisema vifaa hivi vitakuwa neema na mkombozi kwa mahitaji wa afya kutokana na baada ya ukamilikaji wa chumba cha Upasuaji ambacho kitahudumia wananchi wa maeneo hayo hususan wakina mama wakati wa kujifungua na huduma za upasuaji.
"Nimekuwa nikikosa...
11 years ago
Michuzi01 Feb
SIKILIZA MAWAIDHA YA BABA PAROKO CHRISTIAN LIKOKO MAZIKONI KIJIJINI MBOGA, CHALINZE, MKOA WA PWANI
BABA PAROKO CHRISTIAN LIKOKO AKITOA MAWAIDHA WAKATI WA MAZISHI YA MWALIMU FELIX SHAABAN HONERO KATIKA KIJIJI CHA MBOGA, CHALINZE, MKOA WA PWANI JANUARI 30, 2014
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania