Bundi atua Chadema Singida, tafrani tupu
Ofisi ya CHADEMA mkoa wa Singida katika picha.
Na Nathaniel Limu, Singida
WAKATI siku zikishika kasi kuelekea uchaguzi mkuu mwakani,’Bundi’ ametua ndani ya CHADEMA mkoa wa Singida,na hali imechafuka kwa viongizi wake kuanza kuvuana uanachama na kufukuzana uongozi.
Baraza la uongozi mkoa wa Singida, limemvua na kumfukuza uongozi Mwenyekiti wa jimbo la Singida mjini,J ohn Kalaye Kumalija kwa tuhuma ya kuwa na mgogoro wa muda mrefu na katibu wake.
Uamuzi huo umeaanza kutekelezwa kuanzia...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi29 Jan
Operesheni Pamoja Daima: Itamtimua huyu bundi Chadema?
10 years ago
Mtanzania25 Aug
Uchaguzi Chadema vurugu tupu
Mbunge wa Ubungo, John Mnyika
SHABANI MATUTU NA OLIVER OSWALD, DAR ES SALAAM
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema kimebaini njama za kupandikiziwa mamluki wenye nia ya kuvuruga uchaguzi wa chama hicho pamoja na mabaraza yake unaotarajiwa kufanyika Septemba 14, mwaka huu.
Kutokana na hali hiyo, Chadema imedai kubaini uwepo wa mamluki hao ambao wengi wamejitokeza kuwania nafasi mbalimbali katika chama hicho huku wakikosa sifa stahili na hata kupanga mikakati ya kwenda...
9 years ago
Dewji Blog03 Oct
MO atua Singida kushiriki mkutano wa kampeni za Urais
Aliyekuwa Mbunge wa jimbo la Singida mjini, Mohammed Dewji akisalimiana na mmoja wa madiwani waliofika kumpokea mara tu baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Singida mjini pamoja na wasaidizi wake.(Picha zote na Zainul Mzige wa Modewjiblog).
Aliyekuwa Mbunge wa jimbo la Singida mjini, Mohammed Dewji akiwa ameambatana na Mgombea Ubunge wa jimbo la Bumbuli, January Makamba ambaye pia ni mmoja wa wanakamati wa timu ya ushindi ya kampeni za Mgombea urais kupitia tiketi ya CCM, Dk.John...
10 years ago
Bongo Movies18 Jun
Ubunge Viti Maalum, Wema Sepetu Atua Singida
STAA wa filamu nchini ambaye pia ni Miss Tanzania 2006, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ ametangaza nia ya kuwania nafasi ya Ubunge wa Viti Maalum kupitia CCM mkoani Singida.
Wema tayari ametua mkoani Singida akiambatana na mama yake kwa ajili ya zoezi hilo ambapo amepokelewa kwa shangwe na mashabiki wake.
Cloudsfm.com
11 years ago
Dewji Blog24 May
Kinana azidi kuchanja mbuga, atua jimbo la Iramba — Singida
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na Mbunge wa Iramba Magharibi wakati wa mapokezi katika kijiji cha Kiselya. Katibu Mkuu na msafara wake wameanza ziara katika wilaya ya Iramba kwa lengo la kukagua utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM 2010 pamoja na kukagua uhai wa chama.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki kubeba mawe ya ujenzi wa kituo cha afya cha Kiselya, wilaya ya Iramba kwa kushirikiana na viongozi wengine pamoja a wananchi.
Katibu Mkuu...
9 years ago
MichuziLOWASSA ATUA SINGIDA MJINI LEO, APATA MAPOKEZI MAKUBWA
Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa na Waziri Mkuu mstaafu, Mh. Fredrick Sumaye wakiwapungua wananchi wa mji wa Singida, mara baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Peoples, Mjini...
9 years ago
Mwananchi01 Jan
Mwanyamaki wa Chadema atua mzigo kwa Mwakyembe
5 years ago
MichuziALIYEKUWA KATIBU MKUU CHADEMA DK.MASHINJI ATUA CCM ...ATOA SABABU
Na Said Mwishehe,Michuzi Blogu ya jamii
AMETUA CCM!Hivyo ndivyo unavyoweza kuelezea baada ya aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Dk.Vicent Mashinji kutangaza kujiunga na Chama Cha Mapinduzi(CCM).
DK.Mashinji aliyejiondoa Chadema Desemba mwaka 1919 amefikia uamuzi wa kujiunga CCM leo Februari 18, mwaka 2020 ambapo akitangaza uamuzi huo akiwa Ofisi ndogo za CCM zilizopo Lumumba jijini Dar es Salaam akiwa amepokelewa na Katibu wa Itikadi na Uenezi Humphrey...
10 years ago
Dewji Blog17 Dec
CCM yakabwa koo na Chadema Singida
Msimamizi wa uchaguzi wa serikali za mitaa na Mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya Ikungi, Mohammed Nkya, akitoa matokeo ya uchaguzi wa serikali ya vijiji uliofanyika Jumapili iliyopita kwa waandishi wa habari (hawapo pichani). (Picha na Nathaniel Limu).
Na Nathaniel Limu, Ikungi
CHAMA cha maendeleo na demokrasia (CHADEMA) kimeshinda nafasi za uenyekiti wa vijiji 49 na kinafuatiwa kwa karibu na CCM iliyopata vijiji 41,wakati CUF imeambulia vijiji vinne.
Halmashauri mpya ya Ikungi ina...