Mwanyamaki wa Chadema atua mzigo kwa Mwakyembe
Aliyekuwa mgombea ubunge Jimbo la Kyela, Abraham Mwanyamaki (Chadema), amesema hatima ya kulipa ama kutolipa gharama alizoamriwa na Mahakama Kuu Kanda ya Mbeya baada ya kushindwa kuendelea na kesi yake ya kupinga matokeo ya uchaguzi huo iko mikononi mwa Dk Harrison Mwakyembe.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-1oH0fipr5HI/U1dfc156JWI/AAAAAAAAi-M/556a3zvOXJU/s1600/IMG-20140423-WA0015.jpg)
MAFURIKO YALETA MAAFA KYELA, WAZIRI MWAKYEMBE ATUA HUKO
10 years ago
Tanzania Daima25 Oct
CHADEMA wamlipua Mwakyembe
MWENYEKITI wa Baraza la Umoja wa Vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAVICHA), Mkoa wa Iringa Joseph Lyata, amemlipua Mbunge wa Kyela, Dk. Harrison Mwakyembe kuwa ni mbabaishaji na...
10 years ago
Mwananchi21 Jul
Mwakyembe, Malila wapeta kura za maoni Chadema
10 years ago
Dewji Blog06 Nov
Bundi atua Chadema Singida, tafrani tupu
Ofisi ya CHADEMA mkoa wa Singida katika picha.
Na Nathaniel Limu, Singida
WAKATI siku zikishika kasi kuelekea uchaguzi mkuu mwakani,’Bundi’ ametua ndani ya CHADEMA mkoa wa Singida,na hali imechafuka kwa viongizi wake kuanza kuvuana uanachama na kufukuzana uongozi.
Baraza la uongozi mkoa wa Singida, limemvua na kumfukuza uongozi Mwenyekiti wa jimbo la Singida mjini,J ohn Kalaye Kumalija kwa tuhuma ya kuwa na mgogoro wa muda mrefu na katibu wake.
Uamuzi huo umeaanza kutekelezwa kuanzia...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-r8FmsELRVAg/Xkvf2Q89LzI/AAAAAAALd4o/yg56ItPY5W4AM7_lC8Ot9pfY2ygPdVuJwCLcBGAsYHQ/s72-c/0.jpg)
ALIYEKUWA KATIBU MKUU CHADEMA DK.MASHINJI ATUA CCM ...ATOA SABABU
Na Said Mwishehe,Michuzi Blogu ya jamii
AMETUA CCM!Hivyo ndivyo unavyoweza kuelezea baada ya aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Dk.Vicent Mashinji kutangaza kujiunga na Chama Cha Mapinduzi(CCM).
DK.Mashinji aliyejiondoa Chadema Desemba mwaka 1919 amefikia uamuzi wa kujiunga CCM leo Februari 18, mwaka 2020 ambapo akitangaza uamuzi huo akiwa Ofisi ndogo za CCM zilizopo Lumumba jijini Dar es Salaam akiwa amepokelewa na Katibu wa Itikadi na Uenezi Humphrey...
11 years ago
Mwananchi14 Jun
‘Ni Bajeti mzigo kwa wavujajasho’
10 years ago
BBCSwahili07 Apr
Mahari ni mzigo kwa wanaume?
10 years ago
Dewji Blog05 Dec
Waziri Mwakyembe awapongeza FastJet kwa huduma nzuri kwa wateja
Wafanyakazi wa kampuni ya FastJet wakipita mbele ya mgeni rasmi ambae ni Waziri wa Uchukuzi Mh.Harrison Mwakyembe wakati wa maadhimisho ya siku ya anga duniani.
Waziri wa Uchukuzi Harrison Mwakyembe akizungumza na wafanyakzi wa kampuni ya ndege ya FastJet wakati wa maadhimisho ya siku ya anga duniani ambapo aliipongeza kampuni hiyo kwa kutoa huduma kwa bei rahisi kwa wasafiri pembeni yake ni Mwenyekiti wa Bunge ya Miundombinu, Peter Serukamba.
Waziri wa Uchukuzi HarrisonMwakyembe...