Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Ni Bajeti mzigo kwa wavujajasho’

>Wasomi wameichambua Bajeti ya mwaka 2014/15 na kusema kuwa kwa kiasi kikubwa inategemea wafadhili na imeendelea kumbana mvuja jasho na kuwanufaisha wanasiasa

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

UTUMISHI YAFANYA KIKAO CHA BARAZA LA WAFANYAKAZI KUJADILI TAARIFA YA MAPITIO YA UTEKELEZAJI WA MPANGO WA BAJETI WA MWAKA 2019/20 NA MPANGO WA BAJETI KWA MWAKA 2020/21


Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Dkt. Laurean Ndumbaro (katikati) akiongoza kikao cha Baraza la Wafanyakazi kujadili taarifa ya Mapitio ya Utekelezaji wa Mpango wa Bajeti wa Mwaka 2019/20 na Mpango wa Bajeti kwa Mwaka 2020/21 kilichofanyika leo katika Ukumbi wa Kituo cha Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa jijini Dodoma.
Baadhi ya Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi la Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora wakimsikiliza Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais,...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mahari ni mzigo kwa wanaume?

Mahari ya kiwanja yaleta maafa, bwana harusi aamua kuwatoa uhai familia yake na wakweze kwa kukataa kumlipia mahari hiyo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wakimbizi wa Syria, mzigo kwa Lebanon

Idadi ya wakimbizi waliotoroka Syria na kukimbilia Lebanon imeongezeka na kufika watu milioni moja. Lebanon inasema huu ni mzigo mkubwa

 

9 years ago

Mwananchi

Waongoza watalii watua mzigo kwa JPM

Chama cha Waongoza Watalii Tanzania (TTGA) kimemuomba Rais John Pombe Magufuli kuingilia kati na kutatua migogoro baina yao na wamiliki wa kampuni za utalii ya kudai maslahi, baada ya baadhi ya tume kushindwa kuipatia ufumbuzi.

 

11 years ago

Mwananchi

Vizuizi, mizani mzigo mkubwa kwa wafanyabiashara

Biashara katika ukanda wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) inaendelea kukumbwa na vikwazo katika miundombinu na kusababisha wafanyabiashara kuingia gharama kubwa za kusafirisha bidhaa mbalimbali.

 

10 years ago

Mwananchi

Obama ni mzigo kwa wagombea ubunge wa Democratic

Licha ya kwamba Rais Barack Obama bado ana miaka miwili zaidi kukamilisha awamu yake ya pili na ya mwisho kama Rais wa Marekani hata hivyo, mwezi ujao, Novemba 4, kutafanyika uchaguzi wa mabaraza yote mawili ya Bunge la nchi hiyo.

 

9 years ago

Mwananchi

Mwanyamaki wa Chadema atua mzigo kwa Mwakyembe

Aliyekuwa mgombea ubunge Jimbo la Kyela, Abraham Mwanyamaki (Chadema), amesema hatima ya kulipa ama kutolipa gharama alizoamriwa na Mahakama Kuu Kanda ya Mbeya baada ya kushindwa kuendelea na kesi yake ya kupinga matokeo ya uchaguzi huo iko mikononi mwa Dk Harrison Mwakyembe.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani