Vizuizi, mizani mzigo mkubwa kwa wafanyabiashara
Biashara katika ukanda wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) inaendelea kukumbwa na vikwazo katika miundombinu na kusababisha wafanyabiashara kuingia gharama kubwa za kusafirisha bidhaa mbalimbali.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PZW2kjXmdyM/XlkNGjJedzI/AAAAAAALf0M/T8PJYtGLgtMpdEeAjTBDGKCXjLGLvmivACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-28%2Bat%2B2.59.58%2BPM.jpeg)
WAKALA WA VIPIMO MKOA WA ILALA WAMEWAAGIZA WAFANYABIASHARA KUHAKIKI MIZANI YAO
![](https://1.bp.blogspot.com/-PZW2kjXmdyM/XlkNGjJedzI/AAAAAAALf0M/T8PJYtGLgtMpdEeAjTBDGKCXjLGLvmivACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-28%2Bat%2B2.59.58%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-seMFj9TRM48/XlkNGeoBDsI/AAAAAAALf0I/tnkraDDmMHo34QKz9SpR6JzrXcJbgSvFACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-28%2Bat%2B2.59.59%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-iqwEi5hAjqM/XlkNFpCs0cI/AAAAAAALf0E/dlXhknwpA5kBpaLyyqQlQ16csBKwR9cKQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-28%2Bat%2B3.00.00%2BPM.jpeg)
WAKALA wa Vipimo mkoa wa Ilala umewataka wafanyabiashara wanaoagiza ama kuuza mizani mipya kuhakikisha mizani hiyo imehakikiwa na Wakala wa Vipimo kwa mujibu wa sheria.
Wito...
10 years ago
Tanzania Daima22 Nov
Aomba mizani kwa wakulima
MBUNGE wa Mbogwe, Augustino Masele (CCM), ameishauri Serikali kuwapatia mizani wakulima ili wasinyonywe na wafanyabiashara ambao wamekuwa wakitumia mizani yao. Masele, alitoa kauli hiyo jana bungeni mjini hapa wakati akiuliza...
9 years ago
Global Publishers05 Jan
Afanyayo Magufuli siyo mizani kwa Kikwete ni wajibu wake
Rais John Pombe Magufuli.
Wale watu wenye umri mkubwa wanajua kuwa Rais wa Kwanza wa Tanzania, Mwalimu Julius Nyerere alikuwa na uhusiano mbaya na Shirika la Fedha la Dunia IMF na Benki ya Dunia akiwa madarakani.
Alipoingia madarakani, Ali Hassan Mwinyi aliamua kufuata masharti yaliyowekwa na mkubwa huyo. Hali ya uchumi ikawa mbaya. Hata hivyo, Mwalimu aliwafanya Watanzania kuwa kitu kimoja.
Mzee Mwinyi enzi hizo alipolaumiwa na baadhi ya watu akasema kwamba ‘kila zama na kitabu chake.”...
11 years ago
GPLSTRABAG WATOA VIZUIZI BARABARANI
9 years ago
Vijimambo28 Oct
JWTZ yavamia kijiji kuondoa vizuizi barabarani
![Kamanda wa polisi mkoa wa Mbeya, Ahmed Msangi.](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2932222/highRes/1159455/-/maxw/600/-/fwblm4z/-/pic+kamanda-mbeya+-wanajeshi.jpg)
Mbeya / Tukuyu. Vijana wa Jeshi la Wananchi jana walivamia nyumba za wananchi waliokaribu na barabara kuu ya kutoka Mbeya kwenda Malawi katika wilaya ya Rungwe na kuwataka waamke kuondoa vizuizi vya moto, magogo na mawe vilivyokuwa kwenye barabara hiyo.
Kazi hiyo ilifanywa baada ya vijana wanaodaiwa kuwa wafuasi wa Ukawa kuweka vizuzi vya moto, magogo na mawe kwenye barabara hiyo ikiwa ni ishara ya kupinga matokeo ya uchaguzi katika jimbo la...
9 years ago
Mwananchi27 Oct
JWTZ yavamia kijiji kuondoa vizuizi barabarani
10 years ago
BBCSwahili07 Apr
Mahari ni mzigo kwa wanaume?
11 years ago
Mwananchi14 Jun
‘Ni Bajeti mzigo kwa wavujajasho’
11 years ago
BBCSwahili03 Apr
Wakimbizi wa Syria, mzigo kwa Lebanon