Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vizuizi, mizani mzigo mkubwa kwa wafanyabiashara

Biashara katika ukanda wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) inaendelea kukumbwa na vikwazo katika miundombinu na kusababisha wafanyabiashara kuingia gharama kubwa za kusafirisha bidhaa mbalimbali.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

WAKALA WA VIPIMO MKOA WA ILALA WAMEWAAGIZA WAFANYABIASHARA KUHAKIKI MIZANI YAO

 Mfanyabiashara mkazi wa Malapa Aisha Ally akifanya maalipo baada ya mizani yake kuhakikiwa na Afisa Vipimo Clement Costantino. Mkazi wa Buguruni Victor Kelei akihakiki mizani yake eneo la ofisi ya Kata ya Buguruni Mtaa wa malapa.Mafundi wakitengeneza au kurekebisha mizani yenye hitilafu Kata ya Buguruni Mtaa wa malapa.
WAKALA wa Vipimo mkoa wa Ilala  umewataka wafanyabiashara wanaoagiza ama kuuza mizani mipya kuhakikisha mizani hiyo imehakikiwa na Wakala wa Vipimo kwa mujibu wa sheria.
Wito...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Aomba mizani kwa wakulima

MBUNGE wa Mbogwe, Augustino Masele (CCM), ameishauri Serikali kuwapatia mizani wakulima ili wasinyonywe na wafanyabiashara ambao wamekuwa wakitumia mizani yao. Masele, alitoa kauli hiyo jana bungeni mjini hapa wakati akiuliza...

 

9 years ago

Global Publishers

Afanyayo Magufuli siyo mizani kwa Kikwete ni wajibu wake

pombe2Rais John Pombe Magufuli.

Wale watu wenye umri mkubwa wanajua kuwa Rais wa Kwanza wa Tanzania, Mwalimu Julius Nyerere alikuwa na uhusiano mbaya na Shirika la Fedha la Dunia IMF na Benki ya Dunia akiwa madarakani.

Alipoingia madarakani, Ali Hassan Mwinyi aliamua kufuata masharti yaliyowekwa na mkubwa huyo. Hali ya uchumi ikawa mbaya. Hata hivyo, Mwalimu aliwafanya Watanzania kuwa kitu kimoja.

Mzee Mwinyi enzi hizo alipolaumiwa na baadhi ya watu akasema kwamba ‘kila zama na kitabu chake.”...

 

11 years ago

GPL

STRABAG WATOA VIZUIZI BARABARANI

Wafanyakazi wa Strabag wakitoa vizuizi barabarani eneo la Magomeni, Dar. KAMERA yetu leo imewanasa wafanyakazi wa kampuni ya ujenzi wa barabara ya mabasi yaendayo kasi (Strabag) wakitoa vizuizi vilivyokuwa vimewekwa barabarani ili kuondoa usumbufu katika utendaji wao wa kazi maeneo ya Magomeni Mapipa jijini Dar es Salaam. (Na Gabriel…

 

9 years ago

Vijimambo

JWTZ yavamia kijiji kuondoa vizuizi barabarani

  Kamanda wa polisi mkoa wa Mbeya, Ahmed Msangi.By Lauden Mwambona na Justa Musa

Mbeya / Tukuyu. Vijana wa Jeshi la Wananchi jana walivamia nyumba za wananchi waliokaribu na barabara kuu ya kutoka Mbeya kwenda Malawi katika wilaya ya Rungwe na kuwataka waamke kuondoa vizuizi vya moto, magogo na mawe vilivyokuwa kwenye barabara hiyo.

Kazi hiyo ilifanywa baada ya vijana wanaodaiwa kuwa wafuasi wa Ukawa kuweka vizuzi vya moto, magogo na mawe kwenye barabara hiyo ikiwa ni ishara ya kupinga matokeo ya uchaguzi katika jimbo la...

 

9 years ago

Mwananchi

JWTZ yavamia kijiji kuondoa vizuizi barabarani

Vijana wa Jeshi la Wananchi juzi walivamia nyumba za wananchi waliokaribu na barabara kuu ya kutoka Mbeya kwenda Malawi katika wilaya ya Rungwe na kuwataka waamke kuondoa vizuizi vya moto, magogo na mawe vilivyokuwa kwenye barabara hiyo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mahari ni mzigo kwa wanaume?

Mahari ya kiwanja yaleta maafa, bwana harusi aamua kuwatoa uhai familia yake na wakweze kwa kukataa kumlipia mahari hiyo.

 

11 years ago

Mwananchi

‘Ni Bajeti mzigo kwa wavujajasho’

>Wasomi wameichambua Bajeti ya mwaka 2014/15 na kusema kuwa kwa kiasi kikubwa inategemea wafadhili na imeendelea kumbana mvuja jasho na kuwanufaisha wanasiasa

 

11 years ago

BBCSwahili

Wakimbizi wa Syria, mzigo kwa Lebanon

Idadi ya wakimbizi waliotoroka Syria na kukimbilia Lebanon imeongezeka na kufika watu milioni moja. Lebanon inasema huu ni mzigo mkubwa

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani