Afanyayo Magufuli siyo mizani kwa Kikwete ni wajibu wake
Rais John Pombe Magufuli.
Wale watu wenye umri mkubwa wanajua kuwa Rais wa Kwanza wa Tanzania, Mwalimu Julius Nyerere alikuwa na uhusiano mbaya na Shirika la Fedha la Dunia IMF na Benki ya Dunia akiwa madarakani.
Alipoingia madarakani, Ali Hassan Mwinyi aliamua kufuata masharti yaliyowekwa na mkubwa huyo. Hali ya uchumi ikawa mbaya. Hata hivyo, Mwalimu aliwafanya Watanzania kuwa kitu kimoja.
Mzee Mwinyi enzi hizo alipolaumiwa na baadhi ya watu akasema kwamba ‘kila zama na kitabu chake.”...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima13 Aug
Magufuli: Mfumo mpya waja mizani
WAZIRI wa Ujenzi Dk. John Magufuli, amezitaka sekta za usafirishaji nchini kujiandaa na mfumo wa kisasa wa upimaji katika mizani ya magari inayojengwa Vigwaza Mkoa wa Pwani kwa ajili ya...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/O-ICNgh4uW0/default.jpg)
9 years ago
Dewji Blog07 Oct
TACCEO yaitaka NEC kutimiza wajibu wake
Mtandao wa Asasi za Kiraia za Uangalizi Chaguzi Tanzania (TACCEO) umetoa tamko jana Oktoba 6, 2015 kuitaka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuhakikisha sheria na kanuni zinafuatwa na haki ya Wananchi kushiriki katika mchakato wa uchaguzi wa viongozi wao unalindwa na kuheshimiwa.
Akisoma tamko hilo mbele ya wanahabari, Kaimu Mwenyekiti wa Mtandao huo unaoratibiwa na Kituo cha Sheria na Haki...
10 years ago
Mwananchi29 Jun
MAONI : Tumsaidie Mkwasa atimize wajibu wake Stars
9 years ago
Mwananchi11 Oct
Stars, inawezekana kila mmoja akitimiza wajibu wake
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OcxvxG4wHxZTZ8ThfrcIJ5wY5mLjHmvb9N9WlUcRKj*bBRo-T6XF*Ltk28xpJztiPeAbO9oRzeHKOkom4ZIg5puviqYIHQuh/MAGU1.jpg?width=650)
MAGUFULI AKAGUA MIZANI YA KISASA YA VIGWAZA MKOANI PWANI PAMOJA NA UJENZI WA BARABARA YA KIBAMBA-KWEMBE-MAKONDEKO
10 years ago
Tanzania Daima22 Nov
Aomba mizani kwa wakulima
MBUNGE wa Mbogwe, Augustino Masele (CCM), ameishauri Serikali kuwapatia mizani wakulima ili wasinyonywe na wafanyabiashara ambao wamekuwa wakitumia mizani yao. Masele, alitoa kauli hiyo jana bungeni mjini hapa wakati akiuliza...
11 years ago
Mwananchi29 May
Vizuizi, mizani mzigo mkubwa kwa wafanyabiashara