Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAONI : Tumsaidie Mkwasa atimize wajibu wake Stars

Ni dhahiri kwamba vilio vya wadau wa soka nchini waliotaka aliyekuwa Kocha wa Taifa Stars, Mart Nooij atimuliwe kazi vimetimia.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Stars, inawezekana kila mmoja akitimiza wajibu wake

Timu yetu ya soka ya Tanzania, ‘Taifa Stars’ leo inarudiana na Malawi katika mechi ya raundi ya kwanza ya kuwania kushiriki fainali za Kombe la Dunia zilizopangwa kufanyika Russia mwaka 2018.

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI: Tumsaidie Rais kudhibiti na kukomesha mauaji ya albino

>Rais Jakaya Kikwete kwenye hotuba yake ya mwisho wa mwezi amezungumzia tatizo la mauaji ya albino, akisema Serikali imelipa uzito mkubwa suala la kudhibiti na kukomesha mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi au kukatwa baadhi ya viungo vyao wenyewe wakiwa hai.

 

10 years ago

Michuzi

9 years ago

TheCitizen

Mkwasa: Stars can still advance

The national soccer team head coach, Charles Mkwasa, believes that his side will upset Algeria in Algiers tomorrow and book their place in group stage of the 2018 World Cup qualifiers.

 

10 years ago

Mtanzania

Mkwasa kuongezewa mkataba Stars

Mkwasa-CharlesJUDITH PETER NA JENIFFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) linafikiria kumpa mkataba wa kudumu kocha mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’, Charles Boniface Mkwasa, pamoja na viongozi wengine wa benchi la ufundi baada ya kusaidia kuinua kiwango cha wachezaji ambao wameonekana kufurahia uwepo wake ndani ya kikosi hicho.

Viongozi wengine wa benchi la ufundi wanaofikiriwa ni Kocha Msaidizi, Hemed Morocco, kocha wa makipa Peter Manyika, Meneja Omary Kapilima na...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mkwasa kupewa mikoba ya Stars ?

Shirikisho la soka nchini Tanzania lipo mbioni kumtaja kocha atakayerithi mikoba ya aliyekuwa kocha wa Stars, Mdachi Mart Nooij.

 

10 years ago

TheCitizen

Mkwasa salutes Stars players

The national soccer team (Taifa Stars) head coach Boniface Charles Mkwasa has hailed his players for their stunning performance against the Super Eagles in the 2017 AFCON Qualifying match held at the National Stadium in Dar es Salaam on Saturday.

 

9 years ago

TheCitizen

Mkwasa relishes Stars progress

Taifa Stars coach Charles Mkwasa is pleased with the preparations of the national team ahead of their 2018 World Cup qualifier against Algeria.

 

10 years ago

Raia Tanzania

Mkwasa asifia kiwango Stars

KOCHA wa Timu ya Taifa ‘Taifa Stars’ Boniface Mkwasa ameelezea kufurahishwa na matokeo waliopata juzi katika mchezo wa kufuzu kucheza fainali za Mataifa ya Afrika (Afcon) dhidi ya Nigeria katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

Timu hizo zilitoka sare ya 0-0. Stars wapo nafasi ya tatu katika kundi D baada kupata pointi moja katika michezo miwili waliocheza. Awali walicheza na Misri na kufungwa mabao 3-0 ugenini.

Mkwassa alisema amefurahishwa na kiwango kilichoonyeshwa na kikosi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani