MAONI : Tumsaidie Mkwasa atimize wajibu wake Stars
Ni dhahiri kwamba vilio vya wadau wa soka nchini waliotaka aliyekuwa Kocha wa Taifa Stars, Mart Nooij atimuliwe kazi vimetimia.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi11 Oct
Stars, inawezekana kila mmoja akitimiza wajibu wake
10 years ago
Mwananchi04 Mar
MAONI: Tumsaidie Rais kudhibiti na kukomesha mauaji ya albino
10 years ago
Michuzi06 Aug
9 years ago
TheCitizen16 Nov
Mkwasa: Stars can still advance
10 years ago
Mtanzania08 Sep
Mkwasa kuongezewa mkataba Stars
JUDITH PETER NA JENIFFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) linafikiria kumpa mkataba wa kudumu kocha mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’, Charles Boniface Mkwasa, pamoja na viongozi wengine wa benchi la ufundi baada ya kusaidia kuinua kiwango cha wachezaji ambao wameonekana kufurahia uwepo wake ndani ya kikosi hicho.
Viongozi wengine wa benchi la ufundi wanaofikiriwa ni Kocha Msaidizi, Hemed Morocco, kocha wa makipa Peter Manyika, Meneja Omary Kapilima na...
10 years ago
BBCSwahili21 Jun
Mkwasa kupewa mikoba ya Stars ?
10 years ago
TheCitizen07 Sep
Mkwasa salutes Stars players
9 years ago
TheCitizen06 Nov
Mkwasa relishes Stars progress
10 years ago
Raia Tanzania07 Sep
Mkwasa asifia kiwango Stars
KOCHA wa Timu ya Taifa ‘Taifa Stars’ Boniface Mkwasa ameelezea kufurahishwa na matokeo waliopata juzi katika mchezo wa kufuzu kucheza fainali za Mataifa ya Afrika (Afcon) dhidi ya Nigeria katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Timu hizo zilitoka sare ya 0-0. Stars wapo nafasi ya tatu katika kundi D baada kupata pointi moja katika michezo miwili waliocheza. Awali walicheza na Misri na kufungwa mabao 3-0 ugenini.
Mkwassa alisema amefurahishwa na kiwango kilichoonyeshwa na kikosi...