Stars, inawezekana kila mmoja akitimiza wajibu wake
Timu yetu ya soka ya Tanzania, ‘Taifa Stars’ leo inarudiana na Malawi katika mechi ya raundi ya kwanza ya kuwania kushiriki fainali za Kombe la Dunia zilizopangwa kufanyika Russia mwaka 2018.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U9cJ436L1lc*GpfrSE*PMLAS47V50MiOEPSDqMFBLsCLH*SEHTFRUdsluW*Cpot-Oc-jA7KEmPJqJThy7czioQWpiBS-U8Bh/Mwenyekiti.jpg?width=650)
KILA MMOJA AFAHAMU HAKI NA WAJIBU WA MPIGA KURA
10 years ago
Mwananchi29 Jun
MAONI : Tumsaidie Mkwasa atimize wajibu wake Stars
11 years ago
Tanzania Daima17 Feb
Twiga Stars inawezekana Dar
NI Jumatatu nyingine tunakutana wadau wa Uwanja wa Kuchonga, kama kawaida lengo likiwa ni lile lile, kupeana changamoto za kispoti ili kuchochea ufanisi katika sekta hii muhimu katika jamii. Bila...
9 years ago
GPLKILA ALIYEJIANDIKISHA ANA WAJIBU WA KUPIGA KURA
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/O-ICNgh4uW0/default.jpg)
9 years ago
Dewji Blog07 Oct
TACCEO yaitaka NEC kutimiza wajibu wake
Mtandao wa Asasi za Kiraia za Uangalizi Chaguzi Tanzania (TACCEO) umetoa tamko jana Oktoba 6, 2015 kuitaka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuhakikisha sheria na kanuni zinafuatwa na haki ya Wananchi kushiriki katika mchakato wa uchaguzi wa viongozi wao unalindwa na kuheshimiwa.
Akisoma tamko hilo mbele ya wanahabari, Kaimu Mwenyekiti wa Mtandao huo unaoratibiwa na Kituo cha Sheria na Haki...
9 years ago
Global Publishers05 Jan
Afanyayo Magufuli siyo mizani kwa Kikwete ni wajibu wake
Rais John Pombe Magufuli.
Wale watu wenye umri mkubwa wanajua kuwa Rais wa Kwanza wa Tanzania, Mwalimu Julius Nyerere alikuwa na uhusiano mbaya na Shirika la Fedha la Dunia IMF na Benki ya Dunia akiwa madarakani.
Alipoingia madarakani, Ali Hassan Mwinyi aliamua kufuata masharti yaliyowekwa na mkubwa huyo. Hali ya uchumi ikawa mbaya. Hata hivyo, Mwalimu aliwafanya Watanzania kuwa kitu kimoja.
Mzee Mwinyi enzi hizo alipolaumiwa na baadhi ya watu akasema kwamba ‘kila zama na kitabu chake.”...
10 years ago
Mtanzania06 May
Kila mmoja kuishangilia Yanga leo
NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
KUTOKANA na taratibu za mchezo wa kiungwana ‘Fair Play’, leo kila mmoja atasimama kuwapigia makofi Mabingwa wapya wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL), Yanga SC watakapokabidhiwa mwali kwenye mchezo wao dhidi ya Azam utakaofanyika Uwanja wa Taifa jijini hapa kuanzia saa 11 jioni.
Yanga ilitangaza ubingwa mapema Jumatatu ya wiki iliyopita, walipoichapa Polisi Morogoro mabao 4-1 na kufikisha pointi 55 ambazo haziwezi kufikiwa na timu yoyote.
Wakati...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vM7iDEJ0Tmk2MoYJhMzHtKqtVtNsZKLUSYsi1ju0e--MWgT*YB0j58-UEQRs2Py410QdcxEq7rwo6pH7RnCSFRSUrUtF9Zyl/mahaba.jpg?width=650)
KILA MMOJA AKIJIFANYA MJUAJI, KUNA MAPENZI?