Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Twiga Stars inawezekana Dar

NI Jumatatu nyingine tunakutana wadau wa Uwanja wa Kuchonga, kama kawaida lengo likiwa ni lile lile, kupeana changamoto za kispoti ili kuchochea ufanisi katika sekta hii muhimu katika jamii. Bila...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Twiga Stars kuivaa Malawi Novemba 7 Dar

TIMU ya soka ya Taifa ya Wanawake (Twiga Stars) inatarajiwa kuwa na pambano la kirafiki dhidi ya wenzao wa Malawi Novemba 7, mwaka huu jijini Dar es Salaam.

 

9 years ago

Mwananchi

Stars, inawezekana kila mmoja akitimiza wajibu wake

Timu yetu ya soka ya Tanzania, ‘Taifa Stars’ leo inarudiana na Malawi katika mechi ya raundi ya kwanza ya kuwania kushiriki fainali za Kombe la Dunia zilizopangwa kufanyika Russia mwaka 2018.

 

11 years ago

TheCitizen

Twiga Stars out to down Zambians

>The national women’s soccer team, Twiga Stars, will be seeking a flying start when they take on Zambia’s Shepolopolo in the 2014 Africa Championship preliminary round, first leg qualifier at Nkoloma Stadium.

 

11 years ago

Mwananchi

Twiga Stars yatolewa

Ndoto ya Tanzania kucheza fainali za Afrika za wanawake mwaka huu zimefutika baada ya Twiga Stars kulazimishwa sare 1-1 na Zambia na hivyo kuondolewa kutolewa kwa jumla ya mabao 3-2 jana kwenye Uwanja Azam Complex.

 

9 years ago

Mwananchi

Twiga Stars kibaruani

Timu ya Taifa ya Soka ya Wanawake, Twiga Stars inalazimika kucheza kufa na kupona leo ili kuhakikisha inapata ushindi dhidi ya Nigeria na kufufua matumaini ya kusonga mbele katika mashindano ya Afrika yanayoendelea Congo Brazzaville.

 

9 years ago

Habarileo

Twiga Stars fungu la kukosa

TIMU ya soka ya Taifa ya Wanawake, Twiga Stars imetupwa nje ya Michezo ya Afrika baada ya kupoteza mechi mbili kati ya tatu za raundi ya kwanza. Twiga Stars ilianza michezo hiyo kwa kipigo cha bao 1-0 dhidi ya Ivory Coast mwishoni mwa wiki iliyopita kabla ya juzi kuchapwa mabao 3-0 na Nigeria.

 

11 years ago

Mwananchi

Twiga Stars kucheza Chamazi

Mechi ya pili ya raundi ya kwanza kuwania tiketi ya kufuzu kushiriki Fainali za Afrika kwa Wanawake (AWC) katika ya Twiga Stars dhidi ya Zambia ‘Shepolopolo’ itachezwa Machi 2 mwaka huu kwenye

 

9 years ago

Habarileo

Twiga Stars yaenda Congo

HATIMAYE timu ya soka ya taifa ya wanawake ya Twiga Stars, inatarajia kuondoka leo jioni kwa ndege maalum kwenda Congo Brazzaville kwenye Michezo ya Afrika ( All African Games).

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani