Twiga Stars out to down Zambians
>The national women’s soccer team, Twiga Stars, will be seeking a flying start when they take on Zambia’s Shepolopolo in the 2014 Africa Championship preliminary round, first leg qualifier at Nkoloma Stadium.
TheCitizen
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi09 Sep
Twiga Stars kibaruani
11 years ago
Mwananchi01 Mar
Twiga Stars yatolewa
10 years ago
Habarileo08 Aug
Twiga Stars yaenda Zanzibar
TIMU ya taifa ya soka ya Wanawake, ‘Twiga Stars’ imeondoka jana kwenda visiwani Zanzibar kwa ajili ya kambi ya kujiandaa na fainali za michezo ya Matifa Afrika ‘All African Games’ zinatarajiwa kufanyika Congo Brazzaville Septemba mwaka huu.
10 years ago
BBCSwahili03 Apr
Twiga Stars kuikabili She-polopolo
9 years ago
Habarileo12 Sep
Twiga Stars yakamilisha ratiba
TIMU ya soka ya Taifa ya Wanawake, Twiga Stars, leo inacheza mechi ya mwisho dhidi ya wenyeji Congo Brazzaville kwenye Michezo ya Afrika.
9 years ago
Habarileo11 Sep
Twiga Stars fungu la kukosa
TIMU ya soka ya Taifa ya Wanawake, Twiga Stars imetupwa nje ya Michezo ya Afrika baada ya kupoteza mechi mbili kati ya tatu za raundi ya kwanza. Twiga Stars ilianza michezo hiyo kwa kipigo cha bao 1-0 dhidi ya Ivory Coast mwishoni mwa wiki iliyopita kabla ya juzi kuchapwa mabao 3-0 na Nigeria.
9 years ago
Habarileo02 Sep
Twiga Stars giza nene
TIMU ya taifa soka ya taifa ya wanawake Twiga Stars jana ilishindwa kwenda Congo Brazzaville, kushiriki Michezo ya Mataifa ya Afrika kwa sababu ya ukata, imeelezwa.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-aNYZHU1S6QU/VcS3CWezBWI/AAAAAAAHvGw/US1RJBXmAKA/s72-c/thumb_IMG_6850_1024.jpg)
TWIGA STARS YAELEKEA ZANZIBAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-aNYZHU1S6QU/VcS3CWezBWI/AAAAAAAHvGw/US1RJBXmAKA/s640/thumb_IMG_6850_1024.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-kA5_JFqxxXM/VcS3DVqnqxI/AAAAAAAHvHA/gQU-DFBwCCc/s640/thumb_IMG_6874_1024.jpg)
Kikosi cha timu ya Timu ya Taifa ya Wanawake (Twiga Stars) kimeodoka leo saa 6 mchana jijini Dar es salaam kuelekea kisiwani Zanzibari, ambapo kitaweka kambi ya mwezi mmoja kujiandaa na fainali za Michezo ya Afrika (All Africa Games) mwezi Septemba.
Msafara wa Twiga Stars umeondoka na boti ya Azam (Kilimanjaro) ukiwa na watu 32, wakiwemo wachezaji 25, benchi la ufundi 6 pamoja na kiongozi wa msafara, ambapo TFF imegharamia kambi hiyo...
11 years ago
Mwananchi20 Feb
Twiga Stars kucheza Chamazi