KILA ALIYEJIANDIKISHA ANA WAJIBU WA KUPIGA KURA
Jaji Mstaafu, Damian Lubuva. Kwanza nimshukuru Mungu kwa kuweza kutupa uhai leo na kujiona tuko katika nchi yetu iliyojaa amani. Naamini kwamba katika maeneo yote ya nchi, wazalendo wa nchi hii walijitokeza bila kulazimishwa kwenda kujiandikisha katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura (BVR)kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa mwaka huu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25. Mkoa wa mwisho kuhitimisha rasmi kazi hiyo iliyoanza kwa kusuasua...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Raia Mwema05 Aug
Ukijiandikisha, una wajibu wa kupiga kura
JANA ilikuwa siku ya mwisho kwa wakazi wa jiji la Dar es Salaam kujiandikisha kupiga kura katika
Ezekiel Kamwaga
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U9cJ436L1lc*GpfrSE*PMLAS47V50MiOEPSDqMFBLsCLH*SEHTFRUdsluW*Cpot-Oc-jA7KEmPJqJThy7czioQWpiBS-U8Bh/Mwenyekiti.jpg?width=650)
KILA MMOJA AFAHAMU HAKI NA WAJIBU WA MPIGA KURA
9 years ago
Global Publishers19 Dec
Nani ana wajibu wa kujishusha, mwanamke au mwanaume?-2
WIKI iliyopita tuliianza mada hii nzuri yenye elimu kuhusu mpango wa Mungu katika ndoa.
Tuliishia pale Mungu alipokuwa akitoa adhabu kwa nyoka. Adhabu hiyo pia aliitoa kwa mwanaume (Adam) na kwa mwanamke (Eva).
ENDELEA SASA…
Mwanamke aliambiwa atazaa kwa uchungu, huo ndiyo uhalisia. Hadi leo mwanamke anaendelea kuzaa kwa uchungu. Jukumu hilo ni la kwake, si la mwanaume. Mwanaume anatekeleza lile la kwake la kutafuta na kula kwa jasho.
Hii ina maana kubwa sana katika maisha yetu. Kweli...
9 years ago
Mwananchi21 Oct
Waliopoteza kadi zao za kupigia kura hawataruhusiwa kupiga kura
9 years ago
Mwananchi11 Oct
Stars, inawezekana kila mmoja akitimiza wajibu wake
9 years ago
VijimamboWASIOONA WATISHIA KUTOMPIGIA KURA MWANASIASA AMBAYE HAJAWAWEKEA MAZINGIRA RAFIKI YA WAO KUPIGA KURA WAKATI WA UCHAGUZI MKUU
Na Dotto...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-acutzY_zQNk/U0BVg7cjE1I/AAAAAAAFY0E/ByY4ZD9TjNs/s72-c/01.jpg)
Tume ya Taifa ya Uchaguzi yasisitiza wapiga kura ndani ya Jimbo la Chalinze wajitokeze kwa wingi na kwenda kupiga kura
![](http://1.bp.blogspot.com/-acutzY_zQNk/U0BVg7cjE1I/AAAAAAAFY0E/ByY4ZD9TjNs/s1600/01.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-7HCd_PviCZk/U0BVixbE10I/AAAAAAAFY0M/QjkmDYMw94U/s1600/02.jpg)
9 years ago
Raia Tanzania07 Sep
‘Kila Mtanzania ana haki ya kupata elimu’
11 years ago
Mwananchi22 Jun
Serikali yetu imejaa kambare, kila mmoja ana masharubu