Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Magufuli: Mfumo mpya waja mizani

WAZIRI wa Ujenzi Dk. John Magufuli, amezitaka sekta za usafirishaji nchini kujiandaa na mfumo wa kisasa wa upimaji katika mizani ya magari inayojengwa Vigwaza Mkoa wa Pwani kwa ajili ya...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

OUT waja na mfumo mpya wa mitihani

Profesa Tolly MbweteCHUO Kikuu Huria cha Tanzania (OUT) kimeanza utaratibu wa kuondoa msimu wa mitihani kwa kuweka mfumo wa kufanya mtihani kila mtahiniwa anapohitaji ambapo wanafunzi wanaweza kuomba mitihani kupitia tovuti.

 

10 years ago

Habarileo

Mfumo wa kielektroniki wa ardhi waja

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi akionyesha nyaraka ambazo watumishi wasio waaminifu wa sekta ya ardhi wamekuwa wakizitumia kuwapora wamiliki halali wa viwanja na kumilikisha watu wengine kwa njia za udanganyifu, wakati alipozungumza na watumishi wa sekta hiyo ukumbi wa Karimjee, Dar es Salaam jana. (Picha na Wizara ya Ardhi).SERIKALI iko mbioni kuanzisha mfumo wa kielektroniki wa usimamizi wa ardhi hapa nchini, utakaosaidia kupima, kupanga na kukusanya kodi ya pango la ardhi na kuondoa kero ambazo wananchi wamekuwa wanakumbana nazo katika sekta hiyo.

 

10 years ago

Dewji Blog

Magufuli aagiza kufungwa mfumo mpya wa kielektroniki katika vivuko vyote nchini

045

Na John Dotto, Mwanza

WAZIRI wa Ujenzi Dk. John Magufuli ameagiza kufungwa kwa mfumo mpya wa kielektroniki katika vivuko vyote nchini ili kukabiana na wajanja wachache wanahujumu mapato katika vivuko hivyo.

Mbali ya hilo, ameagiza kufanywa kwa utaratibu utakaowezesha huduma katika vivuko zinatolewa kwa saa 24 ili kukidhi mahitaji ya wananchi.

Dk. Magufuli alitoa maagizo hayo jana katika uzinduzi wa mfumo mpya wa kielektroniki katika kivuko cha Kigongo -busisi mkoani hapa uliowekwa na...

 

10 years ago

Michuzi

Dkt. Magufuli aagiza kufungwa mfumo mpya wa kielektroniki katika vivuko vyote nchini

Na JOHN DOTTO,  Mwanza  WAZIRI wa Ujenzi Dkt. John Magufuli ameagiza kufungwa kwa mfumo mpya wa kielektroniki katika vivuko vyote nchini ili kukabiana na wajanja wachache wanahujumu mapato katika vivuko hivyo.  Mbali ya hilo, ameagiza kufanywa kwa utaratibu utakaowezesha huduma katika vivuko zinatolewa kwa saa 24 ili kukidhi mahitaji ya wananchi.  Dkt. Magufuli alitoa maagizo hayo jana katika uzinduzi wa mfumo mpya wa kielektroniki katika kivuko cha Kigongo -busisi mkoani hapa uliowekwa na...

 

5 years ago

Michuzi

MSIMU MPYA WA KAHAWA, KDCU WAZINDUA MIZANI YA KIELEKTRONIKI.


Na Abdullatif Yunus Michuzi TV.

Chama cha Ushirika cha Wakulima wa Kahawa Wilaya za Karagwe na Kyerwa (KDCU), kimezindua Mizani 15 mipya ya Kielektroniki yenye thamani ya shilingi Milioni 46, na kugawiwa katika Vyama vya Msingi, wakati tukielekea msimu mpya wa zao la kahawa.

Mizani hiyo imezinduliwa na iliyozinduliwa na kukabidhiwa na Mkuu wa Mkoa Kagera Brigedia Jenerali Marco Gaguti katika tukio lililofanyika mapema Mei 21, katika Viwanja vya Chama hicho Wilayani Karagwe, huku tukio hilo...

 

9 years ago

Global Publishers

Afanyayo Magufuli siyo mizani kwa Kikwete ni wajibu wake

pombe2Rais John Pombe Magufuli.

Wale watu wenye umri mkubwa wanajua kuwa Rais wa Kwanza wa Tanzania, Mwalimu Julius Nyerere alikuwa na uhusiano mbaya na Shirika la Fedha la Dunia IMF na Benki ya Dunia akiwa madarakani.

Alipoingia madarakani, Ali Hassan Mwinyi aliamua kufuata masharti yaliyowekwa na mkubwa huyo. Hali ya uchumi ikawa mbaya. Hata hivyo, Mwalimu aliwafanya Watanzania kuwa kitu kimoja.

Mzee Mwinyi enzi hizo alipolaumiwa na baadhi ya watu akasema kwamba ‘kila zama na kitabu chake.”...

 

10 years ago

Mtanzania

Ukawa waja na mpya

Samuel Sitta

Samuel Sitta

NA ELIZABETH MJATTA, DAR ES SALAAM

UTATA mpya umeibuka kuhusu uhalali wa kura zilizowezesha kupatikana kwa theluthi mbili ya wajumbe wa upande wa Zanzibar, waliopitisha vifungu vya Katiba iliyopendekezwa kupigiwa kura na wananchi.

Utata huo umejitokeza jana baada ya mmoja wa waliokuwa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kutoka kundi la watu 201, Haji Ambar Khamis, aliyedai jina lake limeandikwa kimakosa katika orodha ya wajumbe wa upande wa Zanzibar walioshiriki na kupendekeza...

 

10 years ago

Habarileo

Mwafaka Katiba mpya waja

MKUTANO wa Rais Jakaya Kikwete na viongozi wa juu wa vyama vya siasa uliofanyika jana mjini Dodoma umetajwa kuwa na dalili nzuri zinazoashiria mwafaka utapatikana juu ya mchakato wa utengenezaji Katiba mpya. Kikwete alikutana jana na vyama hivyo kupitia Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) kinachoongozwa na Mwenyekiti wa UDP, John Cheyo kukiwa na ajenda mbili mojawapo ikihusu mchakato unaoendelea wa kutengeneza Katiba mpya.

 

10 years ago

GPL

MAGUFULI AKAGUA MIZANI YA KISASA YA VIGWAZA MKOANI PWANI PAMOJA NA UJENZI WA BARABARA YA KIBAMBA-KWEMBE-MAKONDEKO

Mhandisi kutoka Wakala wa Barabara Nchini TANROADS Ndugu Kileo akimuonesha Waziri wa Ujenzi Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli jinsi Mzani mpya wa Vigwaza utakavyokuwa ukipima magari wakati yakitembea tofauti na mizani mingine nchini.
Waziri wa Ujenzi Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiangalia kazi ya ujenzi  inayofanyika katika Chuo Kikuu cha Muhimbili kilichopo katika eneo la Mloganzila Kibamba nje kidogo ya Jiji...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani