Mwafaka Katiba mpya waja
MKUTANO wa Rais Jakaya Kikwete na viongozi wa juu wa vyama vya siasa uliofanyika jana mjini Dodoma umetajwa kuwa na dalili nzuri zinazoashiria mwafaka utapatikana juu ya mchakato wa utengenezaji Katiba mpya. Kikwete alikutana jana na vyama hivyo kupitia Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) kinachoongozwa na Mwenyekiti wa UDP, John Cheyo kukiwa na ajenda mbili mojawapo ikihusu mchakato unaoendelea wa kutengeneza Katiba mpya.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima16 Feb
KATIBA MPYA: Mwafaka wa aina ya muungano ulihitajika kabla
JAMBO ambalo limekuwa likijadiliwa na wengi katika rasimu ya Katiba mpya ni hoja ya Muungano. Ingawa kwa maoni yangu ningesema yamekuwa mabishano ambayo si wengi wameyajengea hoja, lakini Watanzania wengi...
11 years ago
Mwananchi16 Jan
Vyama vya siasa vyataka mwafaka wa Katiba Mpya
11 years ago
Mwananchi22 Jun
JK: Mjadala Bunge la Katiba ni mwafaka
10 years ago
Mwananchi25 Mar
‘Mchakato wa Katiba unahitaji mwafaka wa kitaifa’
11 years ago
Mwananchi11 Aug
Jaji Warioba aeleza mwafaka wa Katiba bora
10 years ago
Mtanzania11 Oct
Ukawa waja na mpya
![Samuel Sitta](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Samuel-Sitta.jpg)
Samuel Sitta
NA ELIZABETH MJATTA, DAR ES SALAAM
UTATA mpya umeibuka kuhusu uhalali wa kura zilizowezesha kupatikana kwa theluthi mbili ya wajumbe wa upande wa Zanzibar, waliopitisha vifungu vya Katiba iliyopendekezwa kupigiwa kura na wananchi.
Utata huo umejitokeza jana baada ya mmoja wa waliokuwa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kutoka kundi la watu 201, Haji Ambar Khamis, aliyedai jina lake limeandikwa kimakosa katika orodha ya wajumbe wa upande wa Zanzibar walioshiriki na kupendekeza...
10 years ago
Habarileo25 Jan
OUT waja na mfumo mpya wa mitihani
CHUO Kikuu Huria cha Tanzania (OUT) kimeanza utaratibu wa kuondoa msimu wa mitihani kwa kuweka mfumo wa kufanya mtihani kila mtahiniwa anapohitaji ambapo wanafunzi wanaweza kuomba mitihani kupitia tovuti.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-fsQwoxe5BTA/U8gvYerQWpI/AAAAAAAA9qg/Rcd2cfwYkao/s72-c/IMG_1901.jpg)
WAJUMBE WA BUNGE LA KATIBA WATAKIWA KUWA NA MTIZAMO MPYA UTAKAOWEZESHA UPATIKANAJI WA KATIBA MPYA
![](http://1.bp.blogspot.com/-fsQwoxe5BTA/U8gvYerQWpI/AAAAAAAA9qg/Rcd2cfwYkao/s1600/IMG_1901.jpg)
Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba, Bw. Deus Kibamba akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika leo Julai 17, 2014 kuelezea msimamo wa JUKWAA LA KATIBA juu ya mwenendo uliopita wa bunge hilo. Picha na Cathert Kajuna wa Kajunason Blog
![](http://4.bp.blogspot.com/-sq5B5OozAMU/U8gvn-BR5AI/AAAAAAAA9rI/vAXGlkoA78g/s1600/IMG_1950.jpg)
Kiongozi wa Shule Kuu ya Sheria nchini Kenya, Profesa Patrick Lumumba alisisitiza suala la wanasiasa kurudi bungeni na kuhakikisha katiba mpya inapatikana.
![](http://3.bp.blogspot.com/-M28s6kVPyoc/U8gviRciOpI/AAAAAAAA9q4/r0qaKcHaND8/s1600/IMG_1936.jpg)
Baadhi ya waandishi wa habari wakifuatilia mkutano huo.
![](http://4.bp.blogspot.com/-McpOCDMYJC8/U8gvfVKJWzI/AAAAAAAA9qw/brBrfUklC2g/s1600/IMG_1920.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-LEOwJM6ut50/U8gvb6GfPPI/AAAAAAAA9qo/4nE-b3qltBc/s1600/IMG_1910.jpg)
Wajumbe wa JUKWAA LA KATIBA...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/V0siS8-FppCXkPGFUo0qQzBZB8o-*g9PeqJUANfIlAPNWZ8Ul7-g4aYgdFm-EtaPeGIWbknoforuS5LhtN-knLU7stPYCcvp/jk1.jpg?width=650)
WAJUMBE WA BUNGE LA KATIBA WATAKIWA KUWA NA MTAZAMO MPYA UTAKAOWEZESHA UPATIKANAJI WA KATIBA MPYA