Aomba mizani kwa wakulima
MBUNGE wa Mbogwe, Augustino Masele (CCM), ameishauri Serikali kuwapatia mizani wakulima ili wasinyonywe na wafanyabiashara ambao wamekuwa wakitumia mizani yao. Masele, alitoa kauli hiyo jana bungeni mjini hapa wakati akiuliza...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi29 May
Vizuizi, mizani mzigo mkubwa kwa wafanyabiashara
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-q93gbVMHzZk/VoAwJrpwjsI/AAAAAAAIO8A/SO56oVSetb0/s72-c/1b149d1d-4f59-4ada-9092-3e2919959d41.jpg)
BENKI YA WAKULIMA YAMWAGA MIKOPO KWA WAKULIMA
9 years ago
Global Publishers05 Jan
Afanyayo Magufuli siyo mizani kwa Kikwete ni wajibu wake
Rais John Pombe Magufuli.
Wale watu wenye umri mkubwa wanajua kuwa Rais wa Kwanza wa Tanzania, Mwalimu Julius Nyerere alikuwa na uhusiano mbaya na Shirika la Fedha la Dunia IMF na Benki ya Dunia akiwa madarakani.
Alipoingia madarakani, Ali Hassan Mwinyi aliamua kufuata masharti yaliyowekwa na mkubwa huyo. Hali ya uchumi ikawa mbaya. Hata hivyo, Mwalimu aliwafanya Watanzania kuwa kitu kimoja.
Mzee Mwinyi enzi hizo alipolaumiwa na baadhi ya watu akasema kwamba ‘kila zama na kitabu chake.”...
10 years ago
Bongo506 Nov
Desire Luzinda aomba radhi kwa kuvuja kwa picha zake za utupu!
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-10JxlHGicaQ/VRveT2Z4Y7I/AAAAAAAHOw4/sZmHrocx1C0/s72-c/unnamed%2B(11).jpg)
MAMA AJIFUNGUA MAPACHA WANNE KWA MKUPUO MKOANI KIGOMA, AOMBA MSAADA KWA WATANZANIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-10JxlHGicaQ/VRveT2Z4Y7I/AAAAAAAHOw4/sZmHrocx1C0/s1600/unnamed%2B(11).jpg)
MKAZI wa Kijiji cha Buzebazeba katika Manispaa ya Kigoma Ujiji, Zuwena Abdu (29) jana amejifungua watoto mapacha wanne kwa mkupuo katika Hospital ya Mkoa wa Kigoma (Maweni).
Zuwena alisema kuwa watoto aliojifungua wenye jinsia ya kiume ni watatu na mmoja ambaye ni wa mwisho ana jinsia ya kike ,wa kwanza akiwa na uzito wa kilo 1.8,pili 2.5 wa tatu 1.7 na wanne 1.7.
Alisema watoto hao alijifungua jana majira ya saa kumi na mbili jioni salama kwa njia...
9 years ago
Habarileo14 Sep
Mukangara aomba udhamini kwa vijana
WAZIRI wa Habari, Vijana Utamaduni na Michezo, Dk Fenella Mukangara ameziomba kampuni mbalimbali kujitokeza na kudhamini mpango wa kuendeleza vipaji vya vijana.
10 years ago
BBCSwahili21 Jan
Gervinho aomba msamaha kwa kadi nyekundu
9 years ago
Habarileo29 Oct
Matola aomba sapoti kwa mashabiki Simba
KOCHA msaidizi wa Simba, Selemani Matola, amewataka mashabiki wa timu hiyo kuendelea kuipa sapoti yao, kwani bado ina nafasi ya kufanya maajabu kwa kubeba ubingwa wa Tanzania Bara msimu huu.
10 years ago
Bongo Movies26 Feb
Mziwanda Aomba Radhi kwa Picha ya Chafu
Nuhu Mziwanda ambae ni mchumba wa mwanamuziki na muigizaji Shilole (Shishi baby) ameomba radhi jana kupitia ukurasa wake wa Instagram baada ya kupost picha ambayo inaonyesha maungo ya ndani ya mpenzi wake huyo walipokuwa wakioga.
Picha hiyo ilimuonyesha Shilole akiwa kifua wazi. Kwa mujibu wa Nuhu Mziwanda amesema kuwa alipost picha hiyo ili apate Kiki kwa ajili ya video yake mpya Zimataa ambayo bado haijatoka mpaka sasa.
Baada ya juzi usiku Nuhu Mziwanda kupost picha hiyo kwenye ukurasa...