Desire Luzinda aomba radhi kwa kuvuja kwa picha zake za utupu!
Muimbaji wa Uganda, Desire Luzinda amevunja ukimya na ameamua kuomba radhi rasmi kwa picha zake za utupu zilizovuja mtandaoni. Kupitia Facebook, Luzinda ameiomba msamaha familia na mashabiki wake na kukubali kuwajibika kwa kukubali kupiga picha hizo za aibu. Hivi ndivyo alivyoandika: To all my fans in Uganda and all over the world, as you might […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo507 Nov
Video: Ex wa Desire Luzinda aliyevujisha picha zake za utupu aibuka na kuzungumiza kilichomfanya avujishe
10 years ago
Bongo505 Nov
Waziri wa Uganda aagiza Desire Luzinda na boyfriend wake wakamatwe na kushitakiwa kwa kusambaza picha za utupu
10 years ago
Bongo Movies26 Feb
Mziwanda Aomba Radhi kwa Picha ya Chafu
Nuhu Mziwanda ambae ni mchumba wa mwanamuziki na muigizaji Shilole (Shishi baby) ameomba radhi jana kupitia ukurasa wake wa Instagram baada ya kupost picha ambayo inaonyesha maungo ya ndani ya mpenzi wake huyo walipokuwa wakioga.
Picha hiyo ilimuonyesha Shilole akiwa kifua wazi. Kwa mujibu wa Nuhu Mziwanda amesema kuwa alipost picha hiyo ili apate Kiki kwa ajili ya video yake mpya Zimataa ambayo bado haijatoka mpaka sasa.
Baada ya juzi usiku Nuhu Mziwanda kupost picha hiyo kwenye ukurasa...
9 years ago
Dewji Blog09 Nov
Tigo yaomba wateja wake radhi kwa kukatika kwa huduma zake!
[Dar es Salaam] Kampuni ya simu ya Tigo imeomba radhi wateja wake kutokana na kukatika kwa huduma zake katika sehemu nyingine nchini jana Novemba 8.2015.
Taarifa ya kampuni hiyo iliyotolewa kwa vyombo vya habari leo jijini Dar es Salaam imesema kukatika kwa huduma za Tigo “kulitokana na sababu zilizo nje ya uwezo kwa kampuni zilizo tokana na kukatika kwa mkongo sehemu tofauti tofauti.” Aidha taarifa hiyo iliendelea kusema kwamba “tatizo hilo sasa limeshughulikiwa kikamilifu na huduma zote...
11 years ago
BBCSwahili02 Jun
Justin Bieber aomba radhi kwa ubaguzi
10 years ago
Bongo528 Jan
Shilole aomba radhi kwa kumdunda Nuh Mziwanda
9 years ago
Bongo522 Aug
Dr. Dre aomba radhi kwa ukatili aliowafanyia wanawake
10 years ago
Bongo517 Dec
Picha: Waziri mwanamke wa Jamaica azua mjadala mtandaoni kwa kupost picha akiwa nusu utupu
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-iWCcZZ2XADs/Xoh-DK9ZRqI/AAAAAAALl-s/1gT6kgrHLhc1G21cAdzk6KHiMAgc3he-gCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-04%2Bat%2B15.29.12.jpeg)
MASANJA ARIPOTI OFISINI KWA DC KATAMBI, AOMBA RADHI NA KUSAMEHEWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-iWCcZZ2XADs/Xoh-DK9ZRqI/AAAAAAALl-s/1gT6kgrHLhc1G21cAdzk6KHiMAgc3he-gCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-04%2Bat%2B15.29.12.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZImUMIfJseQ/Xoh-D_55SII/AAAAAAALl-w/t4ASDKWeeZcjr_BIJC0xF_4Jc7sNfS9pACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-04%2Bat%2B15.28.33.jpeg)
Charles James, Michuzi TV
YAMEISHA! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Patrobas Katambi kumsamehe mchekeshaji Emmanuel Mgaya 'Masanja'...