Justin Bieber aomba radhi kwa ubaguzi
Justin Bieber, ameoamba radhi kwa kutumia neno la kibaguzi wakati akiwakejeli wamarekani weusi kuhusu swala la ubaguzi wa rangi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo530 Oct
Justin Bieber asusia kutumbuiza Norway, akatisha onesho na kushuka jukwaani baada ya kuimba wimbo mmoja, aomba radhi
![Bieber norway](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/10/Bieber-norway-94x94.jpg)
10 years ago
Mtanzania07 Aug
Justin Bieber awaomba radhi mashabiki Uingereza
LAS VEGAS, Marekani
NYOTA wa muziki wa RnB nchini Marekani, Justin Bieber, amewaomba radhi mashabiki wake nchini Uingereza baada ya kutangaza kusitisha onyesho alilotakiwa kulifanya nchini humo.
Msanii huyo mwenye umri wa miaka 21, alitarajia kufanya onyesho hilo Agosti 28 mwaka huu nchini humo, lakini amesitisha bila kutaja sababu za msingi.
“Naomba radhi kwa mashabiki wangu nchini Uingereza kwa kusitisha kufanya shoo Agosti 28, lakini lazima nitaifanya muda mfupi ujao.
“Nimeona nitumie...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sGeqV*sT8d3guRa1Pnna4hn9FJUY9ax6O7cA7MD9bPVVNip8TXVwSM5bIh8VSDXSiZCp1JSxYqPpbQpASX6QrboC2O9jVvm-/JustinBieber.jpg)
JUSTIN BIEBER ASHTAKIWA KWA KUMPIGA DEREVA
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/poNlDA9JoO1y*GR2*MXUpTGC8grpqHepngVmZOV42BSmbZPmgq8Pirm775Hv3HmDFF6jLr0Cj0N3dv4kWbURfkvmzOkG7N*J/justinbieberselenagomezholidayingcanada.jpg?width=650)
SELENA GOMEZ, JUSTIN BIEBER KURUDIANA KWA KOLABO!
10 years ago
Bongo Movies26 Feb
Mziwanda Aomba Radhi kwa Picha ya Chafu
Nuhu Mziwanda ambae ni mchumba wa mwanamuziki na muigizaji Shilole (Shishi baby) ameomba radhi jana kupitia ukurasa wake wa Instagram baada ya kupost picha ambayo inaonyesha maungo ya ndani ya mpenzi wake huyo walipokuwa wakioga.
Picha hiyo ilimuonyesha Shilole akiwa kifua wazi. Kwa mujibu wa Nuhu Mziwanda amesema kuwa alipost picha hiyo ili apate Kiki kwa ajili ya video yake mpya Zimataa ambayo bado haijatoka mpaka sasa.
Baada ya juzi usiku Nuhu Mziwanda kupost picha hiyo kwenye ukurasa...
10 years ago
Bongo506 Nov
Desire Luzinda aomba radhi kwa kuvuja kwa picha zake za utupu!
10 years ago
Bongo528 Jan
Shilole aomba radhi kwa kumdunda Nuh Mziwanda
9 years ago
Bongo522 Aug
Dr. Dre aomba radhi kwa ukatili aliowafanyia wanawake
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-iWCcZZ2XADs/Xoh-DK9ZRqI/AAAAAAALl-s/1gT6kgrHLhc1G21cAdzk6KHiMAgc3he-gCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-04%2Bat%2B15.29.12.jpeg)
MASANJA ARIPOTI OFISINI KWA DC KATAMBI, AOMBA RADHI NA KUSAMEHEWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-iWCcZZ2XADs/Xoh-DK9ZRqI/AAAAAAALl-s/1gT6kgrHLhc1G21cAdzk6KHiMAgc3he-gCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-04%2Bat%2B15.29.12.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZImUMIfJseQ/Xoh-D_55SII/AAAAAAALl-w/t4ASDKWeeZcjr_BIJC0xF_4Jc7sNfS9pACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-04%2Bat%2B15.28.33.jpeg)
Charles James, Michuzi TV
YAMEISHA! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Patrobas Katambi kumsamehe mchekeshaji Emmanuel Mgaya 'Masanja'...