MASANJA ARIPOTI OFISINI KWA DC KATAMBI, AOMBA RADHI NA KUSAMEHEWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-iWCcZZ2XADs/Xoh-DK9ZRqI/AAAAAAALl-s/1gT6kgrHLhc1G21cAdzk6KHiMAgc3he-gCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-04%2Bat%2B15.29.12.jpeg)
Mchekeshaji Emmanuel Mgaya 'Masanja' (kulia) akizungumza na wandishi wa habari baada ya kumaliza kuhojiwa na Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Patrobas Katambi (kushoto) mchana wa leo.
Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Patrobas Katambi akizungumza na wandishi wa habari baada ya kumaliza kumhoji Masanja baada ya jana kuagiza kuripoti ofisini kwake.
Charles James, Michuzi TV
YAMEISHA! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Patrobas Katambi kumsamehe mchekeshaji Emmanuel Mgaya 'Masanja'...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VDBXUhXZ0fA/Xoc3M5clJdI/AAAAAAALl8A/odUAaGOmC2gaolHNVdFrLp3b8-i8EYIogCLcBGAsYHQ/s72-c/fa93b8d7-ba20-4956-848a-6c11923e58a8.jpg)
DC KATAMBI ATOA SIKU TATU KWA MASANJA KURIPOTI OFISINI KWAKE AU KITUO CHA POLISI
![](https://1.bp.blogspot.com/-VDBXUhXZ0fA/Xoc3M5clJdI/AAAAAAALl8A/odUAaGOmC2gaolHNVdFrLp3b8-i8EYIogCLcBGAsYHQ/s400/fa93b8d7-ba20-4956-848a-6c11923e58a8.jpg)
MKUU wa Wilaya ya Dodoma, Patrobas Katambi amempa siku tatu mchekeshaji, Emmanuel Mgaya 'Masanja' kuripoti Ofisini kwake au Kituo Kikuu cha Polisi jijini Dodoma.
DC Katambie ametoa agizo hilo kwa Masanja baada ya kusambaa kwa video ya kipindi chake ambacho hurushwa na Kituo cha Televisheni cha Kimataifa cha DW, ambapo alikua akihoji wananchi wa Dodoma kuhusiana na virusi vya Covid19 ambavyo huchangia maambukizi ya ugonjwa wa Corona.
Akizungumza na wandishi wa...
10 years ago
Dewji Blog11 Nov
Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria aripoti ofisini
Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria Bi. Maimuna Tarishi ambaye amehamishiwa Wizarani hapo kutoka Wizara ya Maliasili na Utalii na Rais Jakaya Kikwete hivi karibuni akisaini kitabu mara baada ya kuripoti katika ofisini jana Jumatatu, Novemba 10, 2014.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria Bi. Maimuna Tarishi (kulia) ambaye amehamishiwa Wizarani hapo kutoka Wizara ya Maliasili na Utalii na Rais Jakaya Kikwete hivi karibuni akifurahi na watumishi wa Wizara hiyo, Bi. Joyce Mtuma...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-4GLfNHr57oQ/VGC63qrggAI/AAAAAAAGwZo/Y8PNe_ivpWA/s72-c/unnamed%2B(66).jpg)
KATIBU MKUU KATIBA NA SHERIA ARIPOTI OFISINI KWAKE LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-4GLfNHr57oQ/VGC63qrggAI/AAAAAAAGwZo/Y8PNe_ivpWA/s1600/unnamed%2B(66).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Py3hO43977I/VGC64BetywI/AAAAAAAGwZw/FxpgTkwo1-g/s1600/unnamed%2B(67).jpg)
9 years ago
Dewji Blog14 Dec
Waziri wa Habari, Mhe. Nape Nnauye aripoti ofisini, ataja vipaumbele vyake
Naibu waziri Wizara ya Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Bi. Anastazia James Wambura (kushoto) akimkaribisha Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo katika ofisi za wizara hiyo leo jijini Dar es Salaam.
Kaimu Mkurugenzi Idara ya Maendeleo ya Utamaduni kutoka Wizara ya Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Bi Lilian Beleko (kulia) akimkaribisha kwa furaha Waziri wa Habari,Utamaduni na Michezo Mhe.Nape Moses Nnauye wizarani hapo leo hii jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa...
10 years ago
Bongo Movies26 Feb
Mziwanda Aomba Radhi kwa Picha ya Chafu
Nuhu Mziwanda ambae ni mchumba wa mwanamuziki na muigizaji Shilole (Shishi baby) ameomba radhi jana kupitia ukurasa wake wa Instagram baada ya kupost picha ambayo inaonyesha maungo ya ndani ya mpenzi wake huyo walipokuwa wakioga.
Picha hiyo ilimuonyesha Shilole akiwa kifua wazi. Kwa mujibu wa Nuhu Mziwanda amesema kuwa alipost picha hiyo ili apate Kiki kwa ajili ya video yake mpya Zimataa ambayo bado haijatoka mpaka sasa.
Baada ya juzi usiku Nuhu Mziwanda kupost picha hiyo kwenye ukurasa...
11 years ago
BBCSwahili02 Jun
Justin Bieber aomba radhi kwa ubaguzi
10 years ago
Bongo506 Nov
Desire Luzinda aomba radhi kwa kuvuja kwa picha zake za utupu!
9 years ago
Bongo522 Aug
Dr. Dre aomba radhi kwa ukatili aliowafanyia wanawake
10 years ago
Bongo528 Jan
Shilole aomba radhi kwa kumdunda Nuh Mziwanda