Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MASANJA ARIPOTI OFISINI KWA DC KATAMBI, AOMBA RADHI NA KUSAMEHEWA

 Mchekeshaji Emmanuel Mgaya 'Masanja' (kulia) akizungumza na wandishi wa habari baada ya kumaliza kuhojiwa na Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Patrobas Katambi (kushoto) mchana wa leo.Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Patrobas Katambi akizungumza na wandishi wa habari baada ya kumaliza kumhoji Masanja baada ya jana kuagiza kuripoti ofisini kwake.
Charles James, Michuzi TV
YAMEISHA! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Patrobas Katambi kumsamehe mchekeshaji Emmanuel Mgaya 'Masanja'...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

DC KATAMBI ATOA SIKU TATU KWA MASANJA KURIPOTI OFISINI KWAKE AU KITUO CHA POLISI

Charles James, Globu ya Jamii

MKUU wa Wilaya ya Dodoma, Patrobas Katambi amempa siku tatu mchekeshaji, Emmanuel Mgaya 'Masanja' kuripoti Ofisini kwake au Kituo Kikuu cha Polisi jijini Dodoma.

DC Katambie ametoa agizo hilo kwa Masanja baada ya kusambaa kwa video ya kipindi chake ambacho hurushwa na Kituo cha Televisheni cha Kimataifa cha DW, ambapo alikua akihoji wananchi wa Dodoma kuhusiana na virusi vya Covid19 ambavyo huchangia maambukizi ya ugonjwa wa Corona.

Akizungumza na wandishi wa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria aripoti ofisini

KM Tarishi 1

Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria Bi. Maimuna Tarishi ambaye amehamishiwa Wizarani hapo kutoka Wizara ya Maliasili na Utalii na Rais Jakaya Kikwete hivi karibuni akisaini kitabu mara baada ya kuripoti katika ofisini jana Jumatatu, Novemba 10, 2014.

KM Tarishi 2

Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria Bi. Maimuna Tarishi (kulia) ambaye amehamishiwa Wizarani hapo kutoka Wizara ya Maliasili na Utalii na Rais Jakaya Kikwete hivi karibuni akifurahi na watumishi wa Wizara hiyo, Bi. Joyce Mtuma...

 

10 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU KATIBA NA SHERIA ARIPOTI OFISINI KWAKE LEO

Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria Bi. Maimuna Tarishi ambaye amehamishiwa Wizarani hapo kutoka Wizara ya Maliasili na Utalii na Rais Jakaya Kikwete hivi karibuni akisaini kitabu mara baada ya kuripoti katika ofisini leo (Jumatatu, Novemba 10, 2014). Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria Bi. Maimuna Tarishi (kulia) ambaye amehamishiwa Wizarani hapo kutoka Wizara ya Maliasili na Utalii na Rais Jakaya Kikwete hivi karibuni akifurahi na watumishi wa Wizara hiyo, Bi. Joyce Mtuma...

 

9 years ago

Dewji Blog

Waziri wa Habari, Mhe. Nape Nnauye aripoti ofisini, ataja vipaumbele vyake

NAPE AKIKARIBISHWA NA NAIBU WAZIRI -9778

Naibu waziri Wizara ya Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Bi. Anastazia James Wambura (kushoto) akimkaribisha Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo katika ofisi za wizara hiyo leo jijini Dar es Salaam.

NAPE AKIKARIBISHWA NA LILI BELEKO 9798

Kaimu Mkurugenzi Idara ya Maendeleo ya Utamaduni kutoka Wizara ya Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Bi Lilian Beleko (kulia) akimkaribisha kwa furaha Waziri wa Habari,Utamaduni na Michezo Mhe.Nape Moses Nnauye wizarani hapo leo hii jijini Dar es Salaam.

NAPE AKIONGEA NA WAANDISHI -9893

Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa...

 

10 years ago

Bongo Movies

Mziwanda Aomba Radhi kwa Picha ya Chafu

Nuhu Mziwanda ambae ni mchumba wa mwanamuziki na muigizaji Shilole (Shishi baby) ameomba radhi jana kupitia ukurasa wake wa Instagram baada ya kupost picha ambayo inaonyesha maungo ya ndani ya mpenzi wake huyo walipokuwa wakioga.

Picha hiyo ilimuonyesha Shilole akiwa kifua wazi. Kwa mujibu wa Nuhu Mziwanda amesema kuwa alipost picha hiyo ili apate Kiki kwa ajili ya video yake mpya Zimataa ambayo bado haijatoka mpaka sasa.

Baada ya juzi usiku Nuhu Mziwanda kupost picha hiyo kwenye ukurasa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Justin Bieber aomba radhi kwa ubaguzi

Justin Bieber, ameoamba radhi kwa kutumia neno la kibaguzi wakati akiwakejeli wamarekani weusi kuhusu swala la ubaguzi wa rangi.

 

10 years ago

Bongo5

Desire Luzinda aomba radhi kwa kuvuja kwa picha zake za utupu!

Muimbaji wa Uganda, Desire Luzinda amevunja ukimya na ameamua kuomba radhi rasmi kwa picha zake za utupu zilizovuja mtandaoni. Kupitia Facebook, Luzinda ameiomba msamaha familia na mashabiki wake na kukubali kuwajibika kwa kukubali kupiga picha hizo za aibu. Hivi ndivyo alivyoandika: To all my fans in Uganda and all over the world, as you might […]

 

9 years ago

Bongo5

Dr. Dre aomba radhi kwa ukatili aliowafanyia wanawake

Dr. Dre ameomba radhi kwa ukatili aliowahi kuwafanyia wanawake miaka mingi iliyopita. Rapper na producer huyo ameandika maelezo yake kupitia gazeti la The New York Times na kudai kuwa amebadilika. “Miaka 25 iliyopita nilikuwa kijana mdogo ninayekunywa sana pombe kichwani mwangu sikuwa na mpangilio wa maisha,” alisema. “Hata hivyo, yote haya si sababu ya kukwepa […]

 

10 years ago

Bongo5

Shilole aomba radhi kwa kumdunda Nuh Mziwanda

Baada ya kuzuka tetesi kuwa alimdunda vibao mchumba wake Nuh Mziwanda, Shilole amelazimika kuomba radhi. Shilole amewaomba radhi mashabiki wake kwenye mtandao wa Instagram kwa kupost picha akiwa na mpenzi wake huyo na kuandika: “Huyu hapa mjanja wangu mimi, daah nimekamatika hapa, na naamini ni mwanaume sahihi kwangu maana hawezagi kurusha hata ngumi japo namchokozaga […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani