Dr. Dre aomba radhi kwa ukatili aliowafanyia wanawake
Dr. Dre ameomba radhi kwa ukatili aliowahi kuwafanyia wanawake miaka mingi iliyopita. Rapper na producer huyo ameandika maelezo yake kupitia gazeti la The New York Times na kudai kuwa amebadilika. “Miaka 25 iliyopita nilikuwa kijana mdogo ninayekunywa sana pombe kichwani mwangu sikuwa na mpangilio wa maisha,” alisema. “Hata hivyo, yote haya si sababu ya kukwepa […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili02 Jun
Justin Bieber aomba radhi kwa ubaguzi
10 years ago
Bongo Movies26 Feb
Mziwanda Aomba Radhi kwa Picha ya Chafu
Nuhu Mziwanda ambae ni mchumba wa mwanamuziki na muigizaji Shilole (Shishi baby) ameomba radhi jana kupitia ukurasa wake wa Instagram baada ya kupost picha ambayo inaonyesha maungo ya ndani ya mpenzi wake huyo walipokuwa wakioga.
Picha hiyo ilimuonyesha Shilole akiwa kifua wazi. Kwa mujibu wa Nuhu Mziwanda amesema kuwa alipost picha hiyo ili apate Kiki kwa ajili ya video yake mpya Zimataa ambayo bado haijatoka mpaka sasa.
Baada ya juzi usiku Nuhu Mziwanda kupost picha hiyo kwenye ukurasa...
10 years ago
Bongo506 Nov
Desire Luzinda aomba radhi kwa kuvuja kwa picha zake za utupu!
10 years ago
Bongo528 Jan
Shilole aomba radhi kwa kumdunda Nuh Mziwanda
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dm99ly9wi64x3SpSVlVuo37hyc6YXnm3rMWilg6ajsBwVyP2FAvZc7lu-k0PsZgx8-2cSrTO7APF2PL--ycfCbbSMcQCfuOh/drdremaybehisrapnamebuthisrealnameisandreromelleyoung.jpg?width=650)
DR DRE AWAOMBA RADHI WOTE ALIOWAPA VICHAPO
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-iWCcZZ2XADs/Xoh-DK9ZRqI/AAAAAAALl-s/1gT6kgrHLhc1G21cAdzk6KHiMAgc3he-gCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-04%2Bat%2B15.29.12.jpeg)
MASANJA ARIPOTI OFISINI KWA DC KATAMBI, AOMBA RADHI NA KUSAMEHEWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-iWCcZZ2XADs/Xoh-DK9ZRqI/AAAAAAALl-s/1gT6kgrHLhc1G21cAdzk6KHiMAgc3he-gCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-04%2Bat%2B15.29.12.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZImUMIfJseQ/Xoh-D_55SII/AAAAAAALl-w/t4ASDKWeeZcjr_BIJC0xF_4Jc7sNfS9pACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-04%2Bat%2B15.28.33.jpeg)
Charles James, Michuzi TV
YAMEISHA! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Patrobas Katambi kumsamehe mchekeshaji Emmanuel Mgaya 'Masanja'...
11 years ago
Tanzania Daima09 Mar
‘Kataeni ukatili kwa wanawake’
WANANCHI wametakiwa kuondoa dhana kuwa maadhimisho ya Siku ya Wanawake hufanywa kisiasa, badala yake wawe na mwamko wa kuhudhuria kwa wingi ili watoe maoni yenye kulenga kupinga ukatili na unyanyasaji...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NEbifnOqun0OnM9APhlFJ*wZo2xQlo2h3-BVoop7N861rRiAhwnzLd2KmuzsT0ZM1SltjFyZ5zCvmB-9i18Mxap78-PyE3nE/rose_muhando2.jpg)
ROSE MUHANDO AOMBA RADHI!