Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dr. Dre aomba radhi kwa ukatili aliowafanyia wanawake

Dr. Dre ameomba radhi kwa ukatili aliowahi kuwafanyia wanawake miaka mingi iliyopita. Rapper na producer huyo ameandika maelezo yake kupitia gazeti la The New York Times na kudai kuwa amebadilika. “Miaka 25 iliyopita nilikuwa kijana mdogo ninayekunywa sana pombe kichwani mwangu sikuwa na mpangilio wa maisha,” alisema. “Hata hivyo, yote haya si sababu ya kukwepa […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Justin Bieber aomba radhi kwa ubaguzi

Justin Bieber, ameoamba radhi kwa kutumia neno la kibaguzi wakati akiwakejeli wamarekani weusi kuhusu swala la ubaguzi wa rangi.

 

10 years ago

Bongo Movies

Mziwanda Aomba Radhi kwa Picha ya Chafu

Nuhu Mziwanda ambae ni mchumba wa mwanamuziki na muigizaji Shilole (Shishi baby) ameomba radhi jana kupitia ukurasa wake wa Instagram baada ya kupost picha ambayo inaonyesha maungo ya ndani ya mpenzi wake huyo walipokuwa wakioga.

Picha hiyo ilimuonyesha Shilole akiwa kifua wazi. Kwa mujibu wa Nuhu Mziwanda amesema kuwa alipost picha hiyo ili apate Kiki kwa ajili ya video yake mpya Zimataa ambayo bado haijatoka mpaka sasa.

Baada ya juzi usiku Nuhu Mziwanda kupost picha hiyo kwenye ukurasa...

 

10 years ago

Bongo5

Desire Luzinda aomba radhi kwa kuvuja kwa picha zake za utupu!

Muimbaji wa Uganda, Desire Luzinda amevunja ukimya na ameamua kuomba radhi rasmi kwa picha zake za utupu zilizovuja mtandaoni. Kupitia Facebook, Luzinda ameiomba msamaha familia na mashabiki wake na kukubali kuwajibika kwa kukubali kupiga picha hizo za aibu. Hivi ndivyo alivyoandika: To all my fans in Uganda and all over the world, as you might […]

 

10 years ago

Bongo5

Shilole aomba radhi kwa kumdunda Nuh Mziwanda

Baada ya kuzuka tetesi kuwa alimdunda vibao mchumba wake Nuh Mziwanda, Shilole amelazimika kuomba radhi. Shilole amewaomba radhi mashabiki wake kwenye mtandao wa Instagram kwa kupost picha akiwa na mpenzi wake huyo na kuandika: “Huyu hapa mjanja wangu mimi, daah nimekamatika hapa, na naamini ni mwanaume sahihi kwangu maana hawezagi kurusha hata ngumi japo namchokozaga […]

 

9 years ago

GPL

DR DRE AWAOMBA RADHI WOTE ALIOWAPA VICHAPO

Mmiliki wa Lebo ya Aftermath Entertainment, Andre Romelle ‘Dr Dre’. New York, Marekani
MMILIKI wa Lebo ya Aftermath Entertainment, Andre Romelle ‘Dr Dre’, 50, ameibuka na kuwaomba radhi wanawake wote aliowahi kuwafanyia mambo ya kikatili, akiwemo Michel’le ambaye alizaa naye mtoto mmoja miaka ya 1990. Dr Dre ambaye alitamba kinomanoma na Ngoma ya I Need a Doctor na Still Dre, ameomba radhi...

 

5 years ago

Michuzi

MASANJA ARIPOTI OFISINI KWA DC KATAMBI, AOMBA RADHI NA KUSAMEHEWA

 Mchekeshaji Emmanuel Mgaya 'Masanja' (kulia) akizungumza na wandishi wa habari baada ya kumaliza kuhojiwa na Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Patrobas Katambi (kushoto) mchana wa leo.Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Patrobas Katambi akizungumza na wandishi wa habari baada ya kumaliza kumhoji Masanja baada ya jana kuagiza kuripoti ofisini kwake.
Charles James, Michuzi TV
YAMEISHA! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Patrobas Katambi kumsamehe mchekeshaji Emmanuel Mgaya 'Masanja'...

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Kataeni ukatili kwa wanawake’

WANANCHI wametakiwa kuondoa dhana kuwa maadhimisho ya Siku ya Wanawake hufanywa kisiasa, badala yake wawe na mwamko wa kuhudhuria kwa wingi ili watoe maoni yenye kulenga kupinga ukatili na unyanyasaji...

 

9 years ago

GPL

ROSE MUHANDO AOMBA RADHI!

Brighton Masalu MWIMBAJI nyota wa nyimbo za Injili, Rose Muhando, amewaomba radhi watu wote aliowahi kuwakwaza, ikiwa ni pamoja na kuchukua fedha za kushiriki onesho, lakini akashindwa kufanya hivyo, akidai ni ubinadamu. ....Soma zaidi====>http://bit.ly/1PyG6EX

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani