KATIBU MKUU KATIBA NA SHERIA ARIPOTI OFISINI KWAKE LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-4GLfNHr57oQ/VGC63qrggAI/AAAAAAAGwZo/Y8PNe_ivpWA/s72-c/unnamed%2B(66).jpg)
Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria Bi. Maimuna Tarishi ambaye amehamishiwa Wizarani hapo kutoka Wizara ya Maliasili na Utalii na Rais Jakaya Kikwete hivi karibuni akisaini kitabu mara baada ya kuripoti katika ofisini leo (Jumatatu, Novemba 10, 2014).
Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria Bi. Maimuna Tarishi (kulia) ambaye amehamishiwa Wizarani hapo kutoka Wizara ya Maliasili na Utalii na Rais Jakaya Kikwete hivi karibuni akifurahi na watumishi wa Wizara hiyo, Bi. Joyce Mtuma...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog11 Nov
Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria aripoti ofisini
Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria Bi. Maimuna Tarishi ambaye amehamishiwa Wizarani hapo kutoka Wizara ya Maliasili na Utalii na Rais Jakaya Kikwete hivi karibuni akisaini kitabu mara baada ya kuripoti katika ofisini jana Jumatatu, Novemba 10, 2014.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria Bi. Maimuna Tarishi (kulia) ambaye amehamishiwa Wizarani hapo kutoka Wizara ya Maliasili na Utalii na Rais Jakaya Kikwete hivi karibuni akifurahi na watumishi wa Wizara hiyo, Bi. Joyce Mtuma...
11 years ago
MichuziWAZIRI CHIKAWE AKUTANA NA MWAKILISHI MKUU WA KANDA ICRC OFISINI KWAKE JIJINI DAR LEO
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-tKoRcQH4Iw0/VMH9V7JuruI/AAAAAAAG_I8/ldFoUiUB5O8/s72-c/unnamed%2B(43).jpg)
MKUU WA SHIRIKA LA KIMATAIFA LA UHAMIAJI (IOM) NCHINI AMTEMBELEA WAZIRI CHIKAWE OFISINI KWAKE DAR LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-tKoRcQH4Iw0/VMH9V7JuruI/AAAAAAAG_I8/ldFoUiUB5O8/s1600/unnamed%2B(43).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-crs0O2xumAc/VMH9W9dmkUI/AAAAAAAG_JE/vjbWroLdqIc/s1600/unnamed%2B(44).jpg)
9 years ago
CCM Blog![](http://1.bp.blogspot.com/-U8b1tc1kyq0/VkXDMyrDAEI/AAAAAAAArTo/LmMgJw5LR00/s72-c/1.jpg)
JK ATINGA OFISINI KWAKE CCM LUMUMBA LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-U8b1tc1kyq0/VkXDMyrDAEI/AAAAAAAArTo/LmMgJw5LR00/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-qV_BqnS-McE/VkXDOzkY8zI/AAAAAAAArTw/htIlQgmlpV8/s640/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-sJXcJAgAJhk/VkXDQEDeP6I/AAAAAAAArT4/BZDSk-NdhuU/s640/5.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-iWCcZZ2XADs/Xoh-DK9ZRqI/AAAAAAALl-s/1gT6kgrHLhc1G21cAdzk6KHiMAgc3he-gCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-04%2Bat%2B15.29.12.jpeg)
MASANJA ARIPOTI OFISINI KWA DC KATAMBI, AOMBA RADHI NA KUSAMEHEWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-iWCcZZ2XADs/Xoh-DK9ZRqI/AAAAAAALl-s/1gT6kgrHLhc1G21cAdzk6KHiMAgc3he-gCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-04%2Bat%2B15.29.12.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZImUMIfJseQ/Xoh-D_55SII/AAAAAAALl-w/t4ASDKWeeZcjr_BIJC0xF_4Jc7sNfS9pACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-04%2Bat%2B15.28.33.jpeg)
Charles James, Michuzi TV
YAMEISHA! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Patrobas Katambi kumsamehe mchekeshaji Emmanuel Mgaya 'Masanja'...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Gmh0C6-ZHYE/U4bXzGd5qDI/AAAAAAAFmE4/yYu3ppcRY5A/s72-c/20140527_113139.jpg)
Mkurugenzi Mkuu wa NHC Amtembelea Balozi Mdogo wa Tanzania, Dubai, Ofisini kwake
![](http://4.bp.blogspot.com/-Gmh0C6-ZHYE/U4bXzGd5qDI/AAAAAAAFmE4/yYu3ppcRY5A/s1600/20140527_113139.jpg)
Mazungumzo yao yalihusu maandalizi ya kongamano la uwekezaji katika sekta ya nyumba litakalofanyika Jumeirah Madnat Hotel, Dubai. Kongamano hilo limeandaliwa na Ubalozi Mdogo wa Tanzania uliopo Dubai kwa kushirikiana na Shirika la Taifa la Nyumba (NHC).
Makampuni makubwa ya sekta ya nyumba hapa Dubai...
9 years ago
Dewji Blog14 Dec
Waziri wa Habari, Mhe. Nape Nnauye aripoti ofisini, ataja vipaumbele vyake
Naibu waziri Wizara ya Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Bi. Anastazia James Wambura (kushoto) akimkaribisha Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo katika ofisi za wizara hiyo leo jijini Dar es Salaam.
Kaimu Mkurugenzi Idara ya Maendeleo ya Utamaduni kutoka Wizara ya Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Bi Lilian Beleko (kulia) akimkaribisha kwa furaha Waziri wa Habari,Utamaduni na Michezo Mhe.Nape Moses Nnauye wizarani hapo leo hii jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6obfWXIrIpQ/XrAJNd02hVI/AAAAAAALpDQ/d6VPTN1KoCUPlkv7Ar2JOfjfWIAi2iWKwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-04%2Bat%2B14.10.04.jpeg)
WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA DKT. MWIGULU AWASILI OFISINI
![MICHUZI BLOG](https://1.bp.blogspot.com/-6obfWXIrIpQ/XrAJNd02hVI/AAAAAAALpDQ/d6VPTN1KoCUPlkv7Ar2JOfjfWIAi2iWKwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-04%2Bat%2B14.10.04.jpeg)
![MICHUZI BLOG](https://1.bp.blogspot.com/-U7sOWcPJNA8/XrAEBLEIhsI/AAAAAAAAJ0E/B3cAL8l0c2wN_YKr3lAdnLiD4ZFpB5o5wCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-04%2Bat%2B14.23.11.jpeg)
Waziri wa Katiba na Sheria Mwigulu Nchemba Kushoto kwake ni Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria Prof. Sifuni Ernest Mchome, Kulia kwake ni Mwanasheria Mkuu wa Serikali Dr. Adelardus Kilangi, pamoja na Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria Amoni Mpanju
11 years ago
MichuziMtangazaji Maarufu,Tshaka Ssali amtembelea Mh. Lowassa ofisini kwake leo