WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA DKT. MWIGULU AWASILI OFISINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-6obfWXIrIpQ/XrAJNd02hVI/AAAAAAALpDQ/d6VPTN1KoCUPlkv7Ar2JOfjfWIAi2iWKwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-04%2Bat%2B14.10.04.jpeg)
Waziri wa Katiba na Sheria Mwigulu Nchemba akikaribishwa Ofisini na Katibu Mkuu Wa Wizara ya Katiba na Sheria Prof. Sifuni Ernest Mchome.
Waziri wa Katiba na Sheria Mwigulu Nchemba Kushoto kwake ni Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria Prof. Sifuni Ernest Mchome, Kulia kwake ni Mwanasheria Mkuu wa Serikali Dr. Adelardus Kilangi, pamoja na Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria Amoni Mpanju
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-nNqlncb3TWM/Xq6Xr-4ZvjI/AAAAAAALo6w/M8OgxDZ5orMXfls-X2lTWXTejeMo_xznQCLcBGAsYHQ/s72-c/1..jpg)
RAIS MHE. DKT. MAGUFULI AMUAPISHA DKT. MWIGULU LAMECK NCHEMBA KUWA WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA. CHATO MKOANI GEITA
![](https://1.bp.blogspot.com/-nNqlncb3TWM/Xq6Xr-4ZvjI/AAAAAAALo6w/M8OgxDZ5orMXfls-X2lTWXTejeMo_xznQCLcBGAsYHQ/s640/1..jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mbunge wa Iramba Magharibi) kuwa Waziri wa Katiba na Sheria. Hafla iliyofanyika Wilayani Chato Mkoani Geita , Mei 03, 2020.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/2.-scaled.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/3brXBUnauTg/default.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_SSgmRNgh8M/Xq2VpeQPNnI/AAAAAAALo2w/3m-85bEUA7EuysoZDOLLBvotNQOsKnyMQCLcBGAsYHQ/s72-c/mwigulu%252Bpic.jpg)
11 years ago
Michuzi15 May
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-APapVOpDzDQ/XquzLpI_uHI/AAAAAAAC4Tc/IDQkABaHulYvXEBNbwba6ekYUfTKVOmngCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200501_082631.jpg)
TANZIA: WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA MH. BALOZI DKT. AUGUSTINE MAHIGA AFARIKI DUNIA...RAIS MAGUFULI ATUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI
![](https://1.bp.blogspot.com/-APapVOpDzDQ/XquzLpI_uHI/AAAAAAAC4Tc/IDQkABaHulYvXEBNbwba6ekYUfTKVOmngCLcBGAsYHQ/s400/IMG_20200501_082631.jpg)
Mhe. Balozi Mahiga ameugua ghafla akiwa nyumbani kwake Jijini Dodoma na amefikishwa hospitali akiwa tayari ameshafariki dunia.
Mhe. Rais Magufuli ametoa salamu za pole kwa familia ya Marehemu, Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job...
10 years ago
Dewji Blog11 Nov
Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria aripoti ofisini
Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria Bi. Maimuna Tarishi ambaye amehamishiwa Wizarani hapo kutoka Wizara ya Maliasili na Utalii na Rais Jakaya Kikwete hivi karibuni akisaini kitabu mara baada ya kuripoti katika ofisini jana Jumatatu, Novemba 10, 2014.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria Bi. Maimuna Tarishi (kulia) ambaye amehamishiwa Wizarani hapo kutoka Wizara ya Maliasili na Utalii na Rais Jakaya Kikwete hivi karibuni akifurahi na watumishi wa Wizara hiyo, Bi. Joyce Mtuma...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-4GLfNHr57oQ/VGC63qrggAI/AAAAAAAGwZo/Y8PNe_ivpWA/s72-c/unnamed%2B(66).jpg)
KATIBU MKUU KATIBA NA SHERIA ARIPOTI OFISINI KWAKE LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-4GLfNHr57oQ/VGC63qrggAI/AAAAAAAGwZo/Y8PNe_ivpWA/s1600/unnamed%2B(66).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Py3hO43977I/VGC64BetywI/AAAAAAAGwZw/FxpgTkwo1-g/s1600/unnamed%2B(67).jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-og37jO6MaX8/VlcLmkJMsDI/AAAAAAAIIfg/UVFFkj5UnXc/s72-c/28b108a6-f0ec-4408-9da4-612321d42743.jpg)
RAIS DKT MAGUFULI ATINGA OFISINI KWA WAZIRI MKUU MAJALIWA
![](http://2.bp.blogspot.com/-og37jO6MaX8/VlcLmkJMsDI/AAAAAAAIIfg/UVFFkj5UnXc/s640/28b108a6-f0ec-4408-9da4-612321d42743.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-2n0C6070AHg/VlcLpfonC-I/AAAAAAAIIfo/sEtCEosLOH4/s640/9ceca878-c9ca-4155-ba2b-5cdc13872750.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Ne7bZaiiOQQ/VlcLr5XqLII/AAAAAAAIIfw/HJbHojzRwCk/s640/875485d6-1b6f-40c9-8f3f-06d25b76dc8d.jpg)