Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria aripoti ofisini
Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria Bi. Maimuna Tarishi ambaye amehamishiwa Wizarani hapo kutoka Wizara ya Maliasili na Utalii na Rais Jakaya Kikwete hivi karibuni akisaini kitabu mara baada ya kuripoti katika ofisini jana Jumatatu, Novemba 10, 2014.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria Bi. Maimuna Tarishi (kulia) ambaye amehamishiwa Wizarani hapo kutoka Wizara ya Maliasili na Utalii na Rais Jakaya Kikwete hivi karibuni akifurahi na watumishi wa Wizara hiyo, Bi. Joyce Mtuma...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-4GLfNHr57oQ/VGC63qrggAI/AAAAAAAGwZo/Y8PNe_ivpWA/s72-c/unnamed%2B(66).jpg)
KATIBU MKUU KATIBA NA SHERIA ARIPOTI OFISINI KWAKE LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-4GLfNHr57oQ/VGC63qrggAI/AAAAAAAGwZo/Y8PNe_ivpWA/s1600/unnamed%2B(66).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Py3hO43977I/VGC64BetywI/AAAAAAAGwZw/FxpgTkwo1-g/s1600/unnamed%2B(67).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-iWCcZZ2XADs/Xoh-DK9ZRqI/AAAAAAALl-s/1gT6kgrHLhc1G21cAdzk6KHiMAgc3he-gCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-04%2Bat%2B15.29.12.jpeg)
MASANJA ARIPOTI OFISINI KWA DC KATAMBI, AOMBA RADHI NA KUSAMEHEWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-iWCcZZ2XADs/Xoh-DK9ZRqI/AAAAAAALl-s/1gT6kgrHLhc1G21cAdzk6KHiMAgc3he-gCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-04%2Bat%2B15.29.12.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZImUMIfJseQ/Xoh-D_55SII/AAAAAAALl-w/t4ASDKWeeZcjr_BIJC0xF_4Jc7sNfS9pACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-04%2Bat%2B15.28.33.jpeg)
Charles James, Michuzi TV
YAMEISHA! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Patrobas Katambi kumsamehe mchekeshaji Emmanuel Mgaya 'Masanja'...
9 years ago
Dewji Blog14 Dec
Waziri wa Habari, Mhe. Nape Nnauye aripoti ofisini, ataja vipaumbele vyake
Naibu waziri Wizara ya Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Bi. Anastazia James Wambura (kushoto) akimkaribisha Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo katika ofisi za wizara hiyo leo jijini Dar es Salaam.
Kaimu Mkurugenzi Idara ya Maendeleo ya Utamaduni kutoka Wizara ya Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Bi Lilian Beleko (kulia) akimkaribisha kwa furaha Waziri wa Habari,Utamaduni na Michezo Mhe.Nape Moses Nnauye wizarani hapo leo hii jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6obfWXIrIpQ/XrAJNd02hVI/AAAAAAALpDQ/d6VPTN1KoCUPlkv7Ar2JOfjfWIAi2iWKwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-04%2Bat%2B14.10.04.jpeg)
WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA DKT. MWIGULU AWASILI OFISINI
![MICHUZI BLOG](https://1.bp.blogspot.com/-6obfWXIrIpQ/XrAJNd02hVI/AAAAAAALpDQ/d6VPTN1KoCUPlkv7Ar2JOfjfWIAi2iWKwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-04%2Bat%2B14.10.04.jpeg)
![MICHUZI BLOG](https://1.bp.blogspot.com/-U7sOWcPJNA8/XrAEBLEIhsI/AAAAAAAAJ0E/B3cAL8l0c2wN_YKr3lAdnLiD4ZFpB5o5wCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-04%2Bat%2B14.23.11.jpeg)
Waziri wa Katiba na Sheria Mwigulu Nchemba Kushoto kwake ni Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria Prof. Sifuni Ernest Mchome, Kulia kwake ni Mwanasheria Mkuu wa Serikali Dr. Adelardus Kilangi, pamoja na Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria Amoni Mpanju
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-rXIhNLd6uuM/Vos4k_I-x0I/AAAAAAAIQXM/5zuBKs6Modo/s72-c/1.jpg)
KATIBU MKUU MPYA ARDHI AKARIBISHWA RASMI OFISINI
![](http://4.bp.blogspot.com/-rXIhNLd6uuM/Vos4k_I-x0I/AAAAAAAIQXM/5zuBKs6Modo/s640/1.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-kyKEqJeU0dQ/XkbUXVt5obI/AAAAAAALdck/akUZbzxZrrMf_SOfP-sG56-HrAX3LYqsgCLcBGAsYHQ/s72-c/Pix-00.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Habari akutana na watumishi wa wizara hiyo kituo cha Dar es Salaam
![](https://1.bp.blogspot.com/-kyKEqJeU0dQ/XkbUXVt5obI/AAAAAAALdck/akUZbzxZrrMf_SOfP-sG56-HrAX3LYqsgCLcBGAsYHQ/s640/Pix-00.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/Pix-02.jpg)
9 years ago
MichuziKatibu mtendaji BAKITA amkabidhi kamusi kuu mpya ya kiswahili katibu mkuu wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-vS91bNVLCL8/VafkgkZqpMI/AAAAAAAHqHU/Wa-mfYklEto/s72-c/unnamed%2B%252833%2529.jpg)
Mkurugenzi Mkuu mpya TCRA Dkt.Ally Yahaya Simba amtembelea Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo
![](http://3.bp.blogspot.com/-vS91bNVLCL8/VafkgkZqpMI/AAAAAAAHqHU/Wa-mfYklEto/s640/unnamed%2B%252833%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-gIVlifSpd8I/VafklLcnB8I/AAAAAAAHqHk/5DuUpv4LC2U/s640/unnamed%2B%252834%2529.jpg)
10 years ago
MichuziKATIBU MKUU WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI AFUNGUA RASMI MKUTANO MKUU WA TATU WA TPS SACCOS Ltd LEO, MKOANI MOROGORO