Waziri wa Habari, Mhe. Nape Nnauye aripoti ofisini, ataja vipaumbele vyake
Naibu waziri Wizara ya Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Bi. Anastazia James Wambura (kushoto) akimkaribisha Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo katika ofisi za wizara hiyo leo jijini Dar es Salaam.
Kaimu Mkurugenzi Idara ya Maendeleo ya Utamaduni kutoka Wizara ya Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Bi Lilian Beleko (kulia) akimkaribisha kwa furaha Waziri wa Habari,Utamaduni na Michezo Mhe.Nape Moses Nnauye wizarani hapo leo hii jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-qZ8dx2iYFlk/VnFJfqEaF5I/AAAAAAAIMv0/w5W8aYAaICY/s72-c/nape%2B1.jpg)
WAZIRI NAPE NNAUYE AKUTANA NA UONGOZI WA CHAMA CHA WAFANYAKAZI WA TBC OFISINI KWAKE LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-qZ8dx2iYFlk/VnFJfqEaF5I/AAAAAAAIMv0/w5W8aYAaICY/s640/nape%2B1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-H2tFC6qW-hE/VnFJf6BWQxI/AAAAAAAIMv4/FzSNiLy0e9s/s640/nape%2B3.jpg)
9 years ago
Mtanzania15 Oct
Manji ataja vipaumbele vyake
NA HERIETH FAUSTINE, DAR ES SALAAM
MGOMBEA udiwani wa Kata ya Mbagala Kuu kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Yusuph Manji, amesema akishinda atahakikisha anaanza na elimu, afya, kuboresha huduma ya maji na kutoa ahadi kwa vijana.
Kauli hiyo aliitoa Dar es Salaam juzi, wakati wa uzinduzi wa kampeni zake katika Viwanja vya Zakhem.
“Suala la elimu limekuwa tatizo katika kata hiyo, hivyo nitatoa shilingi milioni 200 kila mwaka kwa ajili ya kusaidia kujenga miundombinu ya elimu,” alisema...
9 years ago
Mwananchi03 Oct
Mosha ataja vipaumbele vyake Moshi Mjini
10 years ago
VijimamboJUMAA MHINA 'PIJEI' ACHUKUA FOMU KUWANIA UBUNGE JIMBO LA KAWE, ATAJA VIPAUMBELE VYAKE
9 years ago
Mwananchi06 Jan
NANI NI NANI SERIKALI YA JPM?: Nape Nnauye, Waziri wa Habari, Utamaduni, Wasanii na Michezo
11 years ago
Mwananchi13 Jun
BAJETI 2014/2015: Waziri Wassira ataja vipaumbele vya Serikali
9 years ago
CCM Blog![](http://img.youtube.com/vi/s5pXERiKVAU/default.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-T3QyN1wy9QI/VdGufR4qXXI/AAAAAAAAkQ0/sYzIpwxzIBQ/s72-c/8.jpg)
HABARI ZA KAMATI KUU YA CCM KUMUWEKA KANDO KATIBU WA ITIKADI NA UENEZI NDUGU NAPE NNAUYE SI ZA KWELI
![](http://2.bp.blogspot.com/-T3QyN1wy9QI/VdGufR4qXXI/AAAAAAAAkQ0/sYzIpwxzIBQ/s640/8.jpg)
Ndugu Msomaji, kuna taarifa za uongo zimeenezwa kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii zikisema kuwa Kamati kuu ya CCM imemuweka kando Katibu wa Itikadi na Uenezi Ndugu Nape Nnauye kutoka katika nafasi hiyo na kumteua Ndugu John Chiligati kushika wadhifa huo.
Taarifa hizo si za kweli kwani Kamati kuu haijafanya...
9 years ago
MillardAyo30 Dec
Pichaz 7 za Mbwana Samatta alivyokutana na waziri wa michezo Nape Nnauye wizarani Dec 30 …
December 30 ilikuwa ni siku ya mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga katika klabu ya TP Mazembe ya Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Mbwana Samatta kukutana na uongozi wa wizara ya habari, vijana, utamaduni, burudani na michezo Nape Nnauye. Mshambuliaji huyo ambaye anahusishwa kwenda kucheza soka la kulipwa katika klabu ya KRC Genk ya Ubelgiji […]
The post Pichaz 7 za Mbwana Samatta alivyokutana na waziri wa michezo Nape Nnauye wizarani Dec 30 … appeared first on...