HABARI ZA KAMATI KUU YA CCM KUMUWEKA KANDO KATIBU WA ITIKADI NA UENEZI NDUGU NAPE NNAUYE SI ZA KWELI
![](http://2.bp.blogspot.com/-T3QyN1wy9QI/VdGufR4qXXI/AAAAAAAAkQ0/sYzIpwxzIBQ/s72-c/8.jpg)
Katibu wa Itikadi na Uenezi Nape Nnauye (kushoto) akiwa kwenye kikao cha Kamati Kuu Maalum leo tarehe 17 Agosti 2015,kinachoendelea kwenye Makao Makuu ya Chama,Ofisi Ndogo Lumumba.
Ndugu Msomaji, kuna taarifa za uongo zimeenezwa kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii zikisema kuwa Kamati kuu ya CCM imemuweka kando Katibu wa Itikadi na Uenezi Ndugu Nape Nnauye kutoka katika nafasi hiyo na kumteua Ndugu John Chiligati kushika wadhifa huo.
Taarifa hizo si za kweli kwani Kamati kuu haijafanya...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi16 Jan
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-NCMhCwweheM/VZAMsNiUQlI/AAAAAAAC7t0/TJrpy1bswcc/s72-c/11.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA NA NAPE NNAUYE WATIKISA JIJI LA MWANZA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-NCMhCwweheM/VZAMsNiUQlI/AAAAAAAC7t0/TJrpy1bswcc/s640/11.jpg)
Mkutano huo umefanyika kwenye viwanja vya Furahisha, Kirumba jijini Mwanza jioni ya leo. Ndugu Kinana ambaye katika ziara hiyo ameambatana na Katibu wa Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye,...
10 years ago
Vijimambo14 Jan
9 years ago
StarTV06 Jan
Katibu wa Itikadi, Siasa, Uenezi Uyui akanusha Madai Ya Mbunge Kufungiwa
Katibu wa Itikadi, Siasa na uenezi wilaya ya Uyui mkoani Tabora Said Katalla amekanusha uvumi unaoenezwa kuwa Mbunge wa Chama cha Mapindizi jimbo la Tabora Kaskazini Almas Maige amefungiwa Ubunge kwa muda wa miezi sita.
Uvumi huo umeeleza kuwa Almas Maige amefungiwa ubunge kutokana na kukutwa na kashfa ya sakata la makontena 349 yaliyobainiwa na Waziri mkuu Kassim Majaliwa kuingizwa nchini kinyemela katika bandari ya Dar es Salaam bila kulipiwa kodi.
Chama cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Uyui...
10 years ago
Habarileo17 Aug
Makatibu wa Itikadi, Uenezi CCM wafundwa
MAKATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Kata za Chama Cha Mapinduzi (CCM) wametakiwa kuwatumia marafiki zao waliopo katika vyama pinzani ili kuhakikisha hali ya kisiasa inaendelea kuimarika.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-RsRm2wtmTPM/Uzzk23wDzuI/AAAAAAACd-w/yqgs4m2EKOA/s72-c/6.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM,KINANA ATEMBELEA WANANCHI WAISHIO KANDO KANDO YA BANDARI YA KASANGA,WILAYA MPYA YA KALAMBO MKOANI RUKWA
![](http://1.bp.blogspot.com/-RsRm2wtmTPM/Uzzk23wDzuI/AAAAAAACd-w/yqgs4m2EKOA/s1600/6.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-F11b2r22J8E/Uzzk1DMJgXI/AAAAAAACd-o/7hPOLqQj-qc/s1600/5.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-09joORf1nM0/UzzkpgoGN4I/AAAAAAACd9o/g8T42PoGAv4/s1600/17.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-x_ug8E2DfHI/UzzkrW2lcZI/AAAAAAACd94/jrs7pV37vRw/s1600/19.jpg)
10 years ago
MichuziLOWASSA- NAWAPONGEZA KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA NA NAPE KWA KAZI KUBWA WANAYOIFANYA YA KUKIIMARISHA CHAMA
9 years ago
CCM Blog![](http://3.bp.blogspot.com/-mno-4_x2ihI/VkSZS63QbxI/AAAAAAAArQs/y01SqCqITHw/s72-c/19.jpg)
KAMATI KUU YA CCM YAMTEUA NDUGU DEOGRATIUS NGALAWA KUWA MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA LUDEWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-mno-4_x2ihI/VkSZS63QbxI/AAAAAAAArQs/y01SqCqITHw/s640/19.jpg)
Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM iliyofanyika leo tarehe 12 Novemba, 2015 chini ya Mwenyekiti wa CCM, Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete imemteua Ndugu Deogratius Ngalawa kuwa mgombea wake wa Ubunge katika Jimbo la Ludewa mkoani Njombe.
Ndugu Ngalawa ameteuliwa kugombea nafasi hiyo ya Ubunge baada ya kushinda kura za maoni zilizofanyika Novemba 10, 2015.Taarifa Rasmi - Ubunge Ludewa-