DC KATAMBI ATOA SIKU TATU KWA MASANJA KURIPOTI OFISINI KWAKE AU KITUO CHA POLISI
![](https://1.bp.blogspot.com/-VDBXUhXZ0fA/Xoc3M5clJdI/AAAAAAALl8A/odUAaGOmC2gaolHNVdFrLp3b8-i8EYIogCLcBGAsYHQ/s72-c/fa93b8d7-ba20-4956-848a-6c11923e58a8.jpg)
Charles James, Globu ya Jamii
MKUU wa Wilaya ya Dodoma, Patrobas Katambi amempa siku tatu mchekeshaji, Emmanuel Mgaya 'Masanja' kuripoti Ofisini kwake au Kituo Kikuu cha Polisi jijini Dodoma.
DC Katambie ametoa agizo hilo kwa Masanja baada ya kusambaa kwa video ya kipindi chake ambacho hurushwa na Kituo cha Televisheni cha Kimataifa cha DW, ambapo alikua akihoji wananchi wa Dodoma kuhusiana na virusi vya Covid19 ambavyo huchangia maambukizi ya ugonjwa wa Corona.
Akizungumza na wandishi wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-iWCcZZ2XADs/Xoh-DK9ZRqI/AAAAAAALl-s/1gT6kgrHLhc1G21cAdzk6KHiMAgc3he-gCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-04%2Bat%2B15.29.12.jpeg)
MASANJA ARIPOTI OFISINI KWA DC KATAMBI, AOMBA RADHI NA KUSAMEHEWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-iWCcZZ2XADs/Xoh-DK9ZRqI/AAAAAAALl-s/1gT6kgrHLhc1G21cAdzk6KHiMAgc3he-gCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-04%2Bat%2B15.29.12.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZImUMIfJseQ/Xoh-D_55SII/AAAAAAALl-w/t4ASDKWeeZcjr_BIJC0xF_4Jc7sNfS9pACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-04%2Bat%2B15.28.33.jpeg)
Charles James, Michuzi TV
YAMEISHA! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Patrobas Katambi kumsamehe mchekeshaji Emmanuel Mgaya 'Masanja'...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-MHdVi4ML6bs/VETRAXf83OI/AAAAAAAAcfM/JOqhIAfLVe8/s72-c/IMG-20141018-WA0000.jpg)
BI REHEMA AMEPOTEA KWA YEYOTE ATAKAYEMUONA ANAOMBWA KURIPOTI KITUO CHA POLISI KIGAMBONI U KILICHO KARIBU
![](http://4.bp.blogspot.com/-MHdVi4ML6bs/VETRAXf83OI/AAAAAAAAcfM/JOqhIAfLVe8/s1600/IMG-20141018-WA0000.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Ji4Cwfrk9VE/Xpa7aLk46XI/AAAAAAALnAA/X7VVtMakg7gdNOkFiZfdnd84u76s1wTfACLcBGAsYHQ/s72-c/864.jpg)
Mkurugenzi wa Kampuni ya Grative Tanzania Limited atakiwa kuripoti kituo cha Polisi
Agizo hilo limetanguliwa na lile alilopewa Mhandisi wa usimamizi wa Ujenzi huo aliyepo Zanzibar la kumtaka asitoke...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-QTTee952-eU/U2OOCxbNamI/AAAAAAAFe4Q/shheC-hy-rA/s72-c/Dr.+Faustine+Ndugulile+Mbunge+wa+Kigambon,+1+left.+Dilesh+Solank+Mkurugezi+Steps+Solar+mwenye+miwani.jpg)
King Majuto atoa msaada wa Steps Solar kwa kituo cha Polisi Mjimwema
Akiongea na Waandishi wa habari katika hafla iliyoandaliwa na kampuni ya Steps Entertainment ambao ndio wafadhali wa msanii huyo, alisema kuwa kampuni hiyo imekuwa ikisambaza filamu zake lakini kuna...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-bcR5gI3u_Bc/XqBwJ7w5nCI/AAAAAAALn2M/SBP5e8FfrmEd1OFPBtogYY8yGCiQck44QCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200422-WA0049.jpg)
DC ATOA SIKU SABA KWA MHANDISI WA JIJI LA ARUSHA KUWEKA MAJI KWENYE JENGO LA KITUO CHA AFYA MURIET
![](https://1.bp.blogspot.com/-bcR5gI3u_Bc/XqBwJ7w5nCI/AAAAAAALn2M/SBP5e8FfrmEd1OFPBtogYY8yGCiQck44QCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200422-WA0049.jpg)
Mkuu wa wilaya na kamati ya ulinzi na usalama ya Jiji la Arusha wakikagua madarasa kwenye Shule ya Sekondari Sombetini jijini Arusha Jana picha na Ahmed Mahmoud Arusha.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/IMG-20200422-WA0046.jpg)
Mkuu wa wilaya ya Arusha Gabriel Daqarro akiongea mara baada ya kukagua ujenzi wa madarasa kwenye Shule ya Sekondari Sombetini na kutoa siku Saba kwa mhandisi kuhakikisha wanaweka maji kwenye kituo Cha Afya huku akipongeza Ujenzi wa madarasa hayo na kutaka yakamilike kwa wakati picha zote na Ahmed Mahmoud Arusha.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/IMG-20200422-WA0043.jpg)
Afisa elimu...
9 years ago
MichuziRais Magufuli akiwa Ofisini Kwake Siku ya Kwanza
9 years ago
MillardAyo29 Dec
Bilionea wa 24 Afrika atoa siku tatu kwa viongozi wa klabu ya Simba kuhusu bilioni 20 zake …
Baada ya stori nyingi kuingia katika headlines kwa siku za hivi karibuni kuhusu uamuzi wa moja kati ya mabilionea wa Afrika kutaka kuinunua klabu ya Simba, mengi yameandikwa na mengi yameongewa. kuhusu Mohamed Dewji maarufu kama MO ambaye amewahi kutajwa na jarida la Forbes kuwa ni bilione wa 24 Afrika kutaka kuinunua Simba. Ikiwa ni […]
The post Bilionea wa 24 Afrika atoa siku tatu kwa viongozi wa klabu ya Simba kuhusu bilioni 20 zake … appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
MichuziJokate Mwegelo atoa Zawadi za Krismas na Mwaka Mpya kwa Kituo cha Yatima cha Extrem, Tandare
Mrembo huyo ambaye pia ni mkurugenzi wa kampuni ya Kidoti inayojihusisha na masuala ya urembo, alitoa msaada huo kama zawadi yake ya Sikukuu ya Krismas na Mwaka Mpya kwa watoto hao kama sehemu ya kuwafariji ili nao kujiona wako sawa na...