King Majuto atoa msaada wa Steps Solar kwa kituo cha Polisi Mjimwema
![](http://1.bp.blogspot.com/-QTTee952-eU/U2OOCxbNamI/AAAAAAAFe4Q/shheC-hy-rA/s72-c/Dr.+Faustine+Ndugulile+Mbunge+wa+Kigambon,+1+left.+Dilesh+Solank+Mkurugezi+Steps+Solar+mwenye+miwani.jpg)
Mwigizaji mkongwe katika tasnia ya filamu nchini,Amri Athuman ‘King Majuto’ wiki iliyopita akiwa kama Balozi wa Steps Solar alitoa msaada wa kukifungukia Solar kituo cha Polisi cha Mjimwema, ikiwa ni katika kampeni za kuhakikisha kila mtanzania anafaidika na matumizi ya nishati ya umeme Nuru.
Akiongea na Waandishi wa habari katika hafla iliyoandaliwa na kampuni ya Steps Entertainment ambao ndio wafadhali wa msanii huyo, alisema kuwa kampuni hiyo imekuwa ikisambaza filamu zake lakini kuna...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog10 Jul
Mlata atoa msaada wa vifaa tiba vyenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 5.7 kwa kituo cha afya cha Sokoine
Baadhi ya vifaa tiba na madawa mbalimbali yaliyotolewa msaada na Martha Mosses Mlata kwa kituo cha afya cha Sokoine mjini Singida.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VDBXUhXZ0fA/Xoc3M5clJdI/AAAAAAALl8A/odUAaGOmC2gaolHNVdFrLp3b8-i8EYIogCLcBGAsYHQ/s72-c/fa93b8d7-ba20-4956-848a-6c11923e58a8.jpg)
DC KATAMBI ATOA SIKU TATU KWA MASANJA KURIPOTI OFISINI KWAKE AU KITUO CHA POLISI
![](https://1.bp.blogspot.com/-VDBXUhXZ0fA/Xoc3M5clJdI/AAAAAAALl8A/odUAaGOmC2gaolHNVdFrLp3b8-i8EYIogCLcBGAsYHQ/s400/fa93b8d7-ba20-4956-848a-6c11923e58a8.jpg)
MKUU wa Wilaya ya Dodoma, Patrobas Katambi amempa siku tatu mchekeshaji, Emmanuel Mgaya 'Masanja' kuripoti Ofisini kwake au Kituo Kikuu cha Polisi jijini Dodoma.
DC Katambie ametoa agizo hilo kwa Masanja baada ya kusambaa kwa video ya kipindi chake ambacho hurushwa na Kituo cha Televisheni cha Kimataifa cha DW, ambapo alikua akihoji wananchi wa Dodoma kuhusiana na virusi vya Covid19 ambavyo huchangia maambukizi ya ugonjwa wa Corona.
Akizungumza na wandishi wa...
11 years ago
MichuziMlezi wa kwaya ya Kanisa Katholiki ya Mtakatifu Aloyce Gonzaga atoa msaada wa bidhaa mbali mbali kwa kituo cha kulelewa Watoto Yatima cha Casa Della Diaia,Tanga
10 years ago
MichuziKONYAGI WATOA MSAADA WA VIFAA VYA UJENZI KITUO CHA POLISI CHANG’OMBE
10 years ago
GPLKONYAGI WATOA MSAADA WA VIFAA VYA UJENZI KITUO CHA POLISI CHANG'OMBE
11 years ago
Dewji Blog18 Jul
Ridhiwani Kikwete atoa msaada kwa Jeshi la Polisi Chalinze
Mbunge wa jimbo la Chalinze Mh. Ridhiwani Kikwete akizungumza na uongozi wa polisi Mkoa wa Pwani na Wilaya ya Kipolisi ya Chalinze pamoja na wananchi waliojitokeza katika hafla ya makabidhiano ya vifaa mbalimbali kwa jeshi hilo zikiwemo kompyuta, mifuko ya Saruji pamoja na fedha vilivyotolewa na mbunge huyo, Kwa ajili ya kutatua matatizo mbalimbali yanayolikabili jeshi la polisi katika utekelezaji wa majukumu yake ya ulizni na usalama wa raia na mali zao. Pamoja na kukabidhi kompyuta hizo...
10 years ago
MichuziJokate Mwegelo atoa Zawadi za Krismas na Mwaka Mpya kwa Kituo cha Yatima cha Extrem, Tandare
Mrembo huyo ambaye pia ni mkurugenzi wa kampuni ya Kidoti inayojihusisha na masuala ya urembo, alitoa msaada huo kama zawadi yake ya Sikukuu ya Krismas na Mwaka Mpya kwa watoto hao kama sehemu ya kuwafariji ili nao kujiona wako sawa na...
10 years ago
MichuziJokate atoa misaada kituo cha kulea Yatima cha Extreme kilichopo Tandale kwa Bi Mtumwa, Dar es salaam
10 years ago
GPLJOKATE ATOA MISAADA KITUO CHA KULEA YATIMA CHA EXTREME KILICHOPO TANDALE KWA BI MTUMWA, DAR ES SALAAM