Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


STRABAG WATOA VIZUIZI BARABARANI

Wafanyakazi wa Strabag wakitoa vizuizi barabarani eneo la Magomeni, Dar. KAMERA yetu leo imewanasa wafanyakazi wa kampuni ya ujenzi wa barabara ya mabasi yaendayo kasi (Strabag) wakitoa vizuizi vilivyokuwa vimewekwa barabarani ili kuondoa usumbufu katika utendaji wao wa kazi maeneo ya Magomeni Mapipa jijini Dar es Salaam. (Na Gabriel…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

JWTZ yavamia kijiji kuondoa vizuizi barabarani

  Kamanda wa polisi mkoa wa Mbeya, Ahmed Msangi.By Lauden Mwambona na Justa Musa

Mbeya / Tukuyu. Vijana wa Jeshi la Wananchi jana walivamia nyumba za wananchi waliokaribu na barabara kuu ya kutoka Mbeya kwenda Malawi katika wilaya ya Rungwe na kuwataka waamke kuondoa vizuizi vya moto, magogo na mawe vilivyokuwa kwenye barabara hiyo.

Kazi hiyo ilifanywa baada ya vijana wanaodaiwa kuwa wafuasi wa Ukawa kuweka vizuzi vya moto, magogo na mawe kwenye barabara hiyo ikiwa ni ishara ya kupinga matokeo ya uchaguzi katika jimbo la...

 

9 years ago

Mwananchi

JWTZ yavamia kijiji kuondoa vizuizi barabarani

Vijana wa Jeshi la Wananchi juzi walivamia nyumba za wananchi waliokaribu na barabara kuu ya kutoka Mbeya kwenda Malawi katika wilaya ya Rungwe na kuwataka waamke kuondoa vizuizi vya moto, magogo na mawe vilivyokuwa kwenye barabara hiyo.

 

11 years ago

GPL

WATOA HUDUMA HII KUWENI MAKINI NA MASHIMO BARABARANI

Dada huyu akipata huduma ya kubebwa kutokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha. ...Mbebaji na mbebwa wote ndani ya maji baada ya kudondoka.…

 

9 years ago

Michuzi

KIKOSI CHA USALAMA BARABARANI WATOA VIFAA VIPYA VYA KUPIMA MWENDO KASI

Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii KIKOSI cha Usalama barabarani  kimetoa vifaa vipya  vya kisasa vya kupima mwendo wa magari.Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa katika vyombo vya habari leo na Kamanda wa Polisi wa Kikosi cha Uslama Barabarani,Mohamed Mpinga,anadai vifaa  vinauwezo wa kurekodi mwendo wa gari na wakati huo huo kuchukua picha ya mnato au video ya gari husika. 
Aidha taarifa hiyo ilidai  kuwa ili  kuongeza ufanisi wa vifaa hivi wameelekeza askari wanaoshika vifaa hivyo wasivae sare...

 

10 years ago

Dewji Blog

Jeshi la Polisi Usalama Barabarani watoa taarifa ya kusitisha suala la kusoma kwa madereva nchini

Mpinga

Kamanda wa Polisi wa Kikosi cha Usalama Barabarani Tanzania, DCP  Mohammed R. Mpinga – DCP (kulia) akitoa maelezo ya kiutalaamu juu ya suala la kusoma kwa madereva ambalo kwa sasa suala hilo limesitishwa hadi hapo litakapokamilika kwa mchakato wake. Kushoto kwake ni Mwenyekiti wa madereva nchini, Clement Masanja.  Taarifa hiyo aliitoa leo jijini katika ukumbi wa habari MAELEZO, jijini Dar es Salaam. (Picha na Andrew Chale wa Modewji blog).

TAARIFA KWA UMMA

 Hivi karibuni nchi yetu...

 

11 years ago

Mwananchi

Vizuizi, mizani mzigo mkubwa kwa wafanyabiashara

Biashara katika ukanda wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) inaendelea kukumbwa na vikwazo katika miundombinu na kusababisha wafanyabiashara kuingia gharama kubwa za kusafirisha bidhaa mbalimbali.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mapumziko ya JK yawaponza Strabag

WAFANYAKAZI wawili  na  vibarua 50 wa Kampuni ya ujenzi wa barabara za mabasi yaendayo haraka (BRT) ya Strabag, wamefukuzwa kazi kwa kile kilichodaiwa  kutokwenda kazini Januari 13, mwaka huu ambayo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Strabag yaonya madereva

KAMPUNI ya ujenzi ya Strabag inayojenga barabara zitakazotumiwa na mabasi yaendayo kasi jijini Dar es Salaam (Dart), imewaonya madereva wanaotumia barabara ya Morogoro kutokukubali kutozwa ushuru wowote kwa ajili ya...

 

11 years ago

GPL

WAFANYAKAZI STRABAG WAGOMA:

Wafanyakazi wa kampuni ya ujenzi ya Strabag inayojenga barabara zitakazotumiwa na mabasi yaendayo kasi jijini Dar es Salaam (Dart), wamegoma kufanya kazi wakishinikiza kuongezewa maslahi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani