STRABAG WATOA VIZUIZI BARABARANI
Wafanyakazi wa Strabag wakitoa vizuizi barabarani eneo la Magomeni, Dar. KAMERA yetu leo imewanasa wafanyakazi wa kampuni ya ujenzi wa barabara ya mabasi yaendayo kasi (Strabag) wakitoa vizuizi vilivyokuwa vimewekwa barabarani ili kuondoa usumbufu katika utendaji wao wa kazi maeneo ya Magomeni Mapipa jijini Dar es Salaam. (Na Gabriel…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo28 Oct
JWTZ yavamia kijiji kuondoa vizuizi barabarani

Mbeya / Tukuyu. Vijana wa Jeshi la Wananchi jana walivamia nyumba za wananchi waliokaribu na barabara kuu ya kutoka Mbeya kwenda Malawi katika wilaya ya Rungwe na kuwataka waamke kuondoa vizuizi vya moto, magogo na mawe vilivyokuwa kwenye barabara hiyo.
Kazi hiyo ilifanywa baada ya vijana wanaodaiwa kuwa wafuasi wa Ukawa kuweka vizuzi vya moto, magogo na mawe kwenye barabara hiyo ikiwa ni ishara ya kupinga matokeo ya uchaguzi katika jimbo la...
10 years ago
Mwananchi27 Oct
JWTZ yavamia kijiji kuondoa vizuizi barabarani
11 years ago
GPL
WATOA HUDUMA HII KUWENI MAKINI NA MASHIMO BARABARANI
10 years ago
Michuzi
KIKOSI CHA USALAMA BARABARANI WATOA VIFAA VIPYA VYA KUPIMA MWENDO KASI

Aidha taarifa hiyo ilidai kuwa ili kuongeza ufanisi wa vifaa hivi wameelekeza askari wanaoshika vifaa hivyo wasivae sare...
10 years ago
Dewji Blog13 May
Jeshi la Polisi Usalama Barabarani watoa taarifa ya kusitisha suala la kusoma kwa madereva nchini
Kamanda wa Polisi wa Kikosi cha Usalama Barabarani Tanzania, DCP Mohammed R. Mpinga – DCP (kulia) akitoa maelezo ya kiutalaamu juu ya suala la kusoma kwa madereva ambalo kwa sasa suala hilo limesitishwa hadi hapo litakapokamilika kwa mchakato wake. Kushoto kwake ni Mwenyekiti wa madereva nchini, Clement Masanja. Taarifa hiyo aliitoa leo jijini katika ukumbi wa habari MAELEZO, jijini Dar es Salaam. (Picha na Andrew Chale wa Modewji blog).
TAARIFA KWA UMMA
Hivi karibuni nchi yetu...
11 years ago
Mwananchi29 May
Vizuizi, mizani mzigo mkubwa kwa wafanyabiashara
11 years ago
Tanzania Daima23 Jan
Mapumziko ya JK yawaponza Strabag
WAFANYAKAZI wawili na vibarua 50 wa Kampuni ya ujenzi wa barabara za mabasi yaendayo haraka (BRT) ya Strabag, wamefukuzwa kazi kwa kile kilichodaiwa kutokwenda kazini Januari 13, mwaka huu ambayo...
11 years ago
Tanzania Daima23 Jul
Strabag yaonya madereva
KAMPUNI ya ujenzi ya Strabag inayojenga barabara zitakazotumiwa na mabasi yaendayo kasi jijini Dar es Salaam (Dart), imewaonya madereva wanaotumia barabara ya Morogoro kutokukubali kutozwa ushuru wowote kwa ajili ya...
11 years ago
GPL
WAFANYAKAZI STRABAG WAGOMA: