Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mapumziko ya JK yawaponza Strabag

WAFANYAKAZI wawili  na  vibarua 50 wa Kampuni ya ujenzi wa barabara za mabasi yaendayo haraka (BRT) ya Strabag, wamefukuzwa kazi kwa kile kilichodaiwa  kutokwenda kazini Januari 13, mwaka huu ambayo...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Mapenzi ya wanafaunzi yawaponza walimu

WANAFUNZI wawili wa darasa la pili wenye miaka tisa na nane wa shule ya Msingi Kikunku wameshikwa na walimu wao kutokana na tabia yao ya kufanya mapenzi katika umri mdogo...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Meno ya tembo yawaponza watatu Kigoma

WATU wawili wanashikiliwa na Jeshi la Polisi baada ya kukutwa na meno  ya tembo sambamba na pombe ya moshi (gongo), katika Kijiji cha Nyakitonto, Wilaya ya Kasulu mkoani hapa. Akizungumza...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Twanga yawaponza wawili Extra Bongo

UONGOZI wa bendi ya Extra Bongo, umewafungashia virago nyota wao wawili; Maria Soloma na Danger Boy kwa utovu wa nidhamu. Nyota hao maarufu kwa kumiliki jukwaa, wamekumbana na rungu hilo baada...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mikataba ya gesi yawaponza vigogo TPDC

KATIKA hali isiyo ya kawaida, Kaimu Mkurugenzi wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), James Andilile na Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika hilo, Michael Mwanda, jana wameshikiliwa na Jeshi...

 

10 years ago

Mwananchi

Strabag katika hatihati

Siku chache baada ya Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (Brela) kutoa tamko la kuzifuta kampuni zisizowasilisha taarifa zake za hesabu za mwaka, imebainika kuwa kampuni ya ujenzi ya kimataifa ya Strabag ni miongoni mwa zitakazopitiwa na rungu hilo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Strabag yaonya madereva

KAMPUNI ya ujenzi ya Strabag inayojenga barabara zitakazotumiwa na mabasi yaendayo kasi jijini Dar es Salaam (Dart), imewaonya madereva wanaotumia barabara ya Morogoro kutokukubali kutozwa ushuru wowote kwa ajili ya...

 

11 years ago

GPL

WAFANYAKAZI STRABAG WAGOMA:

Wafanyakazi wa kampuni ya ujenzi ya Strabag inayojenga barabara zitakazotumiwa na mabasi yaendayo kasi jijini Dar es Salaam (Dart), wamegoma kufanya kazi wakishinikiza kuongezewa maslahi.

 

11 years ago

TheCitizen

‘Strabag fungueni barabara haraka’

Waziri wa Ujenzi, Dk. John Magufuli ameiagiza Kampuni ya Ujenzi wa Barabara ya Mabasi Yaendayo Kasi (Strabag) kufungua barabara zote zilizokamilika ili kupunguza msongamano wa magari jijini Dar es Salaam.

 

11 years ago

GPL

STRABAG WATOA VIZUIZI BARABARANI

Wafanyakazi wa Strabag wakitoa vizuizi barabarani eneo la Magomeni, Dar. KAMERA yetu leo imewanasa wafanyakazi wa kampuni ya ujenzi wa barabara ya mabasi yaendayo kasi (Strabag) wakitoa vizuizi vilivyokuwa vimewekwa barabarani ili kuondoa usumbufu katika utendaji wao wa kazi maeneo ya Magomeni Mapipa jijini Dar es Salaam. (Na Gabriel…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani