Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Strabag fungueni barabara haraka’

Waziri wa Ujenzi, Dk. John Magufuli ameiagiza Kampuni ya Ujenzi wa Barabara ya Mabasi Yaendayo Kasi (Strabag) kufungua barabara zote zilizokamilika ili kupunguza msongamano wa magari jijini Dar es Salaam.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Strabag yatangaza mabadiliko ya barabara

MKANDARASI Mkuu wa ujenzi wa barabara ya mabasi yaendayo haraka (BRT), Strabag International, ametangaza mabadiliko ya matumizi katika makutano ya barabara za Morogoro na Kawawa. Akitangaza mabadiliko hayo jana jijini...

 

11 years ago

Michuzi

DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AKAGUA BARABARA YA MWENGE-TEGETA, MRADI WA MABASI YAENDAYO HARAKA (BRT) PAMOJA MIRADI YA UJENZI WA BARABARA ZA JUU TAZARA FLYOVER NA MAKUTANO YA BARABARA ZA JUU UBUNGO JIJINI DAR ES SALAAM

Waziri wa Ujenzi Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli katikati akiwa na Balozi wa Japan Nchini Masaki Okada kulia wakipita juu ya Daraja la Lugalo mara baada ya kulikagua katika ziara ya Ukaguzi wa Barabara ya Mwenge Tegeta jijini Dar es salaam leo.

 Balozi wa Japan nchini Ndugu Masaki Okada akiwa na Waziri wa Ujenzi Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mheshimiwa Said Meck Sadick wakipanda ngazi za daraja la juu la watembea kwa miguu flyover Ubungo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Magufuli aamuru Strabag kufungua barabara

WAZIRI wa Ujenzi, John Magufuli, amemtaka mkandarasi Kampuni ya Strabag inayojenga Barabara ya Morogoro, kufungua barabara zilizokamilika  ili kuwapunguzia wananchi adha ya foleni wanayokumbana nayo kila siku. Magufuli amemtaka mkurugenzi...

 

11 years ago

Michuzi

Mkandarasi wa mradi wa barabara ya mabasi yaendayo haraka aruhusu maeneo ya kugeuzia magari

 Sehemu ya barabara ya Morogoro road maeneo ya Kimara
KAMPUNI ya ujenzi wa barabara ya STRABAG  inayoendelea na ujenzi kwa ajili  ya mradi wa mabasi yaendayo haraka umeruhusu upande mmoja wa barabara uliokamilika kutumika ili kupunguza foleni  ya magari yanayoka Kimara kuelekea katikati ya jiji au sehemu nyingine kupitia  barabara ya Morogoro.  


Mhandisi wa Wakala wa Mradi wa Mabasi yaendayo Haraka (DART),Mhandisi John Shauri aliwaambia waandishi wa habari jijini Dar es Salaam mwishoni...

 

11 years ago

Michuzi

updates: Taswira za Maendeleo ya ujenzi wa barabara na vituo vya mabasi yaendayo haraka jijini Dar es salaam

 Kituo cha Ubungo mwisho kinavyoonekana leo  Ubungo mwisho  Ubungo stendi  Daraja la Manzese bado linadunda Muonekano wa barabara hio kutokea Magomeni Mapipa kwa Macheni

 

10 years ago

Mwananchi

Minja: Fungueni biashara, niko huru

Wafanyabiashara katika maeneo mbalimbali nchini yaliyokuwa kwenye mgomo, wamesitisha mgomo huo ikiwa ni siku moja baada ya Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wafanyabiashara nchini, Johnson Minja kuachiwa kwa dhamana mkoani Dodoma jana.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mapumziko ya JK yawaponza Strabag

WAFANYAKAZI wawili  na  vibarua 50 wa Kampuni ya ujenzi wa barabara za mabasi yaendayo haraka (BRT) ya Strabag, wamefukuzwa kazi kwa kile kilichodaiwa  kutokwenda kazini Januari 13, mwaka huu ambayo...

 

11 years ago

GPL

WAFANYAKAZI STRABAG WAGOMA:

Wafanyakazi wa kampuni ya ujenzi ya Strabag inayojenga barabara zitakazotumiwa na mabasi yaendayo kasi jijini Dar es Salaam (Dart), wamegoma kufanya kazi wakishinikiza kuongezewa maslahi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Strabag yaonya madereva

KAMPUNI ya ujenzi ya Strabag inayojenga barabara zitakazotumiwa na mabasi yaendayo kasi jijini Dar es Salaam (Dart), imewaonya madereva wanaotumia barabara ya Morogoro kutokukubali kutozwa ushuru wowote kwa ajili ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani