Minja: Fungueni biashara, niko huru
Wafanyabiashara katika maeneo mbalimbali nchini yaliyokuwa kwenye mgomo, wamesitisha mgomo huo ikiwa ni siku moja baada ya Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wafanyabiashara nchini, Johnson Minja kuachiwa kwa dhamana mkoani Dodoma jana.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili10 Jun
Eneo huru la biashara Afrika kuundwa
Leo jumuiya za maendeleo kusini mwa Afrika, zinatarajiwa kusaini mikataba ya uanzishwaji rasmi wa muungano mpya.
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Uhuru Kenyatta: Mazungumzo na Marekani hayataathiri makubaliano ya biashara huru Afrika
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta na mwenyeji wake Donald Trump wa Marekani wamekutana na kuratibu majadiliano ya mkataba wa biashara huru kati ya mataifa hayo mawili.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Yyn5D_GzRRQ/XqGULs6_vWI/AAAAAAALoAo/3pTVL32vWXEEIk6kf11KgvK7uYhcihMIgCLcBGAsYHQ/s72-c/1db0a729-8cda-4463-9779-47f94f29ceb3.jpg)
WABUNGE WAPEWA MAFUNZO MATOKEO YA MKATABA WA ENEO HURU LA BIASHARA BARA LA AFRIKA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Yyn5D_GzRRQ/XqGULs6_vWI/AAAAAAALoAo/3pTVL32vWXEEIk6kf11KgvK7uYhcihMIgCLcBGAsYHQ/s640/1db0a729-8cda-4463-9779-47f94f29ceb3.jpg)
Naibu Spika, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (katikati) akifungua mafunzo kwa Waheshimiwa Wabunge kuhusu matokeo ya Mkataba wa eneo huru la biashara la Bara la Afrika katika ukumbi wa Pius Msweka Jijini Dodoma. Kulia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje Ulinzi na Usalama, Mhe. Salum Mwinyi Rehani na kushoto ni Mkurugenzi Msaidizi Idara ya...
11 years ago
TheCitizen01 Mar
‘Strabag fungueni barabara haraka’
Waziri wa Ujenzi, Dk. John Magufuli ameiagiza Kampuni ya Ujenzi wa Barabara ya Mabasi Yaendayo Kasi (Strabag) kufungua barabara zote zilizokamilika ili kupunguza msongamano wa magari jijini Dar es Salaam.
11 years ago
Mwananchi01 Jul
HURU: Washtakiwa Kesi ya Tabata Dampo huru
>Aliyekuwa Mkurugenzi wa Manispaa Ilala, John Lubuva na wenzake wanne waliokuwa wakikabiliwa na kesi ya matumizi mabaya ya madaraka na kuisababishia Serikali hasara, wameibuka kidedea katika kesi hiyo.
10 years ago
Habarileo01 Apr
Kesi ya Minja leo, makufuli yaendelea
MADUKA mengi ya Kariakoo, Dar es Salaam na baadhi yaliyopo mikoani yameendelewa kufungwa huku wenye maduka wakidai hawatafungua leo wala kesho.
10 years ago
Mwananchi08 May
Mashahidi 15 kupanda kizimbani kumbana Minja
Dodoma. Serikali imeandaa zaidi ya mashahidi 15 kwa ajili ya kutoa ushahidi kwenye kesi ya uchochezi inayomkabili Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Tanzania, Johnson Minja.
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Qvxzmt4uuyU7yrA7jIM1ea9N0HdsterQfRb0M-g9QLGMYp3vErmDJgf*ZbuuQKed7YqnUSSU9zR3lBj47CCq2v2uKAalYa1C/magufuli.jpg?width=650)
MAGUFULI NIKO FITI
Stori: Na Richard Bukos, Kagera NIKO fiti! Ndivyo alivyosema mgombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), John Pombe Magufuli kuudhihirishia umma kwamba yupo fiti kimazoezi. Mgombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), John Pombe Magufuli akipiga push up.
Tukio hilo lililoibua…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania