Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kesi ya Minja leo, makufuli yaendelea

MADUKA mengi ya Kariakoo, Dar es Salaam na baadhi yaliyopo mikoani yameendelewa kufungwa huku wenye maduka wakidai hawatafungua leo wala kesho.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

kesi ya Pistorius yaendelea leo

Kesi ya mauji ya mwanariadha wa Afrika kusini ,Pistorius, inaendelea kusikilizwa leo baada mapumziko ya wiki 6.

 

11 years ago

BBCSwahili

Kesi dhidi ya Vigogo wa Sudan:K yaendelea

Kesi dhidi ya viongozi 4 wa kisiasa nchini Sudan Kusini ambao wanakabiliwa na mashitaka ya uhaini imeingia siku yake ya pili hii.

 

10 years ago

CloudsFM

Kesi ya mtuhumiwa wa mauaji ya Mwangosi yaendelea Iringa

MAHAKAMA kuu kanda ya Iringa inaendelea na vikao vyake huku leo kesi ya ya mauwaji ya mwanahabari mkoani Iringa Daud Mwangosi inayomkabilia mtuhumiwa wa askari wa kikosi cha kutuliza ghasia mkoa wa Iringa (FFU) Pasificus Cleophace Simon mwenye namba G 2573 inataraji kuanza kusikilizwa kwa upande wa mashahidi kuanza kutoa ushahidi wao.

Kesi hiyo inayoanza leo inaanza kusikilizwa leo Feb 12 -18 mwaka huu huenda hukumu ya kesi hiyo kutolewa siku ya tarehe 18 mara baada ya mashahidi kumaliza...

 

9 years ago

Mtanzania

Mtatiro: Tutavunja makufuli

MtatiroMGOMBEA ubunge wa   Segerea, Dar es Salaam kwa tiketi ya Chama cha Wananchi (CUF), Julius Mtatiro amesema atahakikisha wanavunja makufuli yote.

“ Naombeni wananchi tuseme Magufuli…no, in one…kwa miaka yote katika jimbo hili hakuna huduma muhimu ya maji, miundombinu..iwe jua au mvua barabara hazipitiki bado CCM wanataka tuwapeleke Ikulu haiwezekani,”alisema Mtatiro.

Alisema mgombea urais wa CCM, Dk. John Magufuli alikuwa wizara inayoshughulika na ujenzi lakini matokeo yake ameshindwa...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Kiburi na Ubabe wa Makufuli

The post Kiburi na Ubabe wa Makufuli appeared first on Mzalendo.net.

 

9 years ago

Dewji Blog

Mafuriko ya Lowassa yaendelea leo mjini Singida

Wananchi wa Mji wa Singida wakiishangilia Chopa ya Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, wakati ikiwasili kwenye Uwanja wa Peoples, Mjini Singida leo Septemba 12, 2015.PICHA NA OTHMAN MICHUZI, SINGIDA. Wadau wa Singida wakitafuta namna ya kupata taswira ya Mgombea wao, wakati akiwasili kwenye Uwanja wa Peoples, Mjini humo leo Septemba 12, 2015. Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo...

 

9 years ago

Mwananchi

Magufuli : Nitawafunga mafisadi kwa makufuli

Mgombea urais wa CCM, Dk John Magufuli amewataka Watanzania wampe kura ili akiingia Ikulu akawafunge mafisadi kwa makufuli.

 

9 years ago

Vijimambo

PICHA: MAFURIKO YA LOWASSA YAENDELEA LEO MJINI SINGIDA

Wananchi wa Mji wa Singida wakiishangilia Chopa ya Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, wakati ikiwasili kwenye Uwanja wa Peoples, Mjini Singida leo Septemba 12, 2015.PICHA NA OTHMAN MICHUZI, SINGIDA.Wadau wa Singida wakitafuta namna ya kupata taswira ya Mgombea wao, wakati akiwasili kwenye Uwanja wa Peoples, Mjini humo leo Septemba 12, 2015.Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo...

 

9 years ago

GPL

TAIFA STARS YAENDELEA NA MAZOEZI AFRIKA KUSINI LEO

Kutoka kushoto, Ibrahim Ajib , Jonas Mkude na Said Ndemla (nyuma yao) wakiwa katika mazoezi ya kikosi cha timu ya taifa, Taifa Stars leo kwenye Uwanja wa Edenvale kwenye kitongoji cha Edenvale jijini Johannesburg, Afrika Kusini.. Beki wa kati wa Stars, Hassan Isihaka (kulia) akijiandaa kumpiga chenga kiungo wa  timu hiyo, Mudathir Yahaya. Kocha wa makipa wa Stars, Manyika Peter… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani