Eneo huru la biashara Afrika kuundwa
Leo jumuiya za maendeleo kusini mwa Afrika, zinatarajiwa kusaini mikataba ya uanzishwaji rasmi wa muungano mpya.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi
WABUNGE WAPEWA MAFUNZO MATOKEO YA MKATABA WA ENEO HURU LA BIASHARA BARA LA AFRIKA

Naibu Spika, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (katikati) akifungua mafunzo kwa Waheshimiwa Wabunge kuhusu matokeo ya Mkataba wa eneo huru la biashara la Bara la Afrika katika ukumbi wa Pius Msweka Jijini Dodoma. Kulia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje Ulinzi na Usalama, Mhe. Salum Mwinyi Rehani na kushoto ni Mkurugenzi Msaidizi Idara ya...
11 years ago
GPL
UBOVU WA BARABARA ENEO LA VIWANDA VYA KUSAGA NA KUKAMUA MAFUTA ENEO LA SIDO MBEYA NI KERO KWA WAFANYA BIASHARA ENEO HILO
 Hii dimbwi ambalo maji yametuama na kutunza uchafu.  Barabara iendayo kutokea uwanja wa zamani wa ndege mbeya ukiwa umejaa maji.…
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Uhuru Kenyatta: Mazungumzo na Marekani hayataathiri makubaliano ya biashara huru Afrika
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta na mwenyeji wake Donald Trump wa Marekani wamekutana na kuratibu majadiliano ya mkataba wa biashara huru kati ya mataifa hayo mawili.
11 years ago
Mwananchi27 Dec
Kuundwa Tume Huru ya Uchaguzi kunasubiri kuwapo machafuko?
Kama kuna jambo ambalo limewafanya wananchi wengi kukuna vichwa kwa muda mrefu pasipo kupata majibu, ni kutoundwa kwa Tume Huru ya Uchaguzi kusimamia chaguzi mbalimbali na mchakato wa kupata Katiba Mpya katika ngazi zote zilizosalia, baada ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba kumaliza kazi yake rasmi wiki ijayo.
11 years ago
Michuzi.jpg)
EPZA yafikia makubaliano na kampuni kuendeleza eneo huru bandari Mtwara
Mamlaka ya Ukanda Maalumu wa Uwekezaji nchini (EPZA) imefikia makubaliano na kampuni nne za kimataifa kwa ajili ya kutoa huduma mbalimbali kwa kampuni kubwa zinazofanya utafiti wa mafuta na gesi katika mkoa wa Mtwara.
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka hiyo, Dkt. Adelhelm Meru aliwaambia waandishi wa habari jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki kuwa hatua hiyo ni muhimu sana katika undelezaji wa eneo huru la bandari ya Mtwara.
EPZA inaendeleza hekta 10 za eneo huru la bandari ya Mtwara. Hekta...
10 years ago
Mwananchi30 Jan
Minja: Fungueni biashara, niko huru
Wafanyabiashara katika maeneo mbalimbali nchini yaliyokuwa kwenye mgomo, wamesitisha mgomo huo ikiwa ni siku moja baada ya Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wafanyabiashara nchini, Johnson Minja kuachiwa kwa dhamana mkoani Dodoma jana.
10 years ago
Vijimambo26 Mar
UN Kuainisha Eneo Kukumbuka Biashara ya Utumwa



11 years ago
GPLHATIMAYE WALEMAVU WAPEWA ENEO LA KUFANYIA BIASHARA
Bw. David Nyendo, mlemavu ambaye pia ni Mkurugenzi wa Haki za Binadamu na Maendeleo ya Kiuchumi kwa walemavu akisisitiza jambo katika eneo walilopewa. Mlemavu akisikiliza jambo. Baadhi ya walemavu wakiwa katika eneo…
10 years ago
Mwananchi22 Dec
Deira, Eneo, maarufu, Dubai, biashara, bei,uchumi
Ukiwa Tanzania, maeneo ya Kariakoo hasa Mtaa wa Kongo hukosi vurugu za wafanyabiashara na wanunuzi. Ni eneo lenye mkusanyiko mkubwa wa watu kutoka ndani na nje ya nchi.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania