EPZA yafikia makubaliano na kampuni kuendeleza eneo huru bandari Mtwara
![](http://4.bp.blogspot.com/-ycvQ9Nlbv4M/U3hmNa-paZI/AAAAAAAFjZA/V_g9AiShW-Y/s72-c/unnamed+(24).jpg)
Mamlaka ya Ukanda Maalumu wa Uwekezaji nchini (EPZA) imefikia makubaliano na kampuni nne za kimataifa kwa ajili ya kutoa huduma mbalimbali kwa kampuni kubwa zinazofanya utafiti wa mafuta na gesi katika mkoa wa Mtwara. Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka hiyo, Dkt. Adelhelm Meru aliwaambia waandishi wa habari jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki kuwa hatua hiyo ni muhimu sana katika undelezaji wa eneo huru la bandari ya Mtwara. EPZA inaendeleza hekta 10 za eneo huru la bandari ya Mtwara. Hekta...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima06 Jan
EPZA, TPA kuendeleza bandari Mtwara
MAMLAKA ya Ukanda Maalumu wa Uwekezaji nchini (EPZA) na Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) zimefikia makubaliano ya uendelezaji wa hekta 10 za eneo huru la bandari ya Mtwara. Makubaliano hayo...
10 years ago
Dewji Blog23 Dec
Pinda akutana na kiongozi wa kampuni ya gesi ya Qatar na kutembelea eneo la ujenzi wa bandari mpya ya Qatar.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Bw. Otty Msuku ambaye ni Mtanzania , Mtalaamu wa upimaji ardhi katika mradi wa ujenzi wa bandari mpya ya Qatar wakati alipotembelea eneo la ujenzi wa bandari hiyo akiwa katika ziara ya kikazi nchini humo Desemba 22, 2014. Katikati ni Mkurugenzi mwendeshaji wa Mradi huo, Don Morrison. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikaribishwa na Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Mradi wa Mradi wa ujenzi wa bandari mpya ya Qatar, Bw. Yusuf...
11 years ago
Tanzania Daima28 May
EPZA, COSTECH kuendeleza Tehama
MAMLAKA ya Ukanda Maalumu wa Uwekezaji nchini (EPZA) imefikia makubaliano na Tume ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) kuanzisha na kuendeleza eneo la Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama) nchini. Eneo...
11 years ago
MichuziEPZA, COSTECH ZAKUBALIANA KUENDELEZA TEHAMA
11 years ago
Dewji Blog08 Apr
Zanzibar kujengwa Bandari kubwa chini ya Kampuni ya Ujenzi wa Bandari ya Jamuhuri ya Watu wa China (CHEC)
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akisalimiana na Muwakilishi wa Kampuni ya Ujenzi wa Bandari ya China yenye Tawi la Ofisi yake Nchini Tanzania Bwana Xu Xinpei.
Muwakilishi wa Kampuni ya Kimataifa ya Ujenzi wa Bandari ya China Bwana Xu Xinpei akibadilishana mawazo na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif. Bwana Xu Xinpei ameelezea azma ya Kampuni yake kutaka kuwekeza katika sekta na Bandari na Hoteli ya Kimataifa ya Kitalii hapa Zanzibar.
Balozi wa Malawi...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2cgQuBR1Coi-q*8bH0*OXysX4BhjXyhdbTo8QAPNjcQ6EK4OlRmjsiGLn-sbAM*rnSfR7ATPQZuLC80KrYoIFGYxdNyu6B*l/1A.jpg)
AIRTEL FURSA YAFIKIA VIJANA WA MTWARA
11 years ago
Uhuru Newspaper08 Jul
TIB kuendeleza eneo la Magomeni kota
NA MOHAMMED ISSA
HALMASHAURI ya Manispaa ya Kinondoni, Dar es Salaam, imesema ujenzi wa eneo la Magomeni Kota, unatarajiwa kuanza muda wowote mwaka huu.
Akizungumza na Uhuru jana, Meya wa Manispaa hiyo, Yussuph Mwenda, alisema eneo hilo litajengwa nyumba za makazi na sehemu za biashara.
Mwenda alisema tayari Benki ya Rasilimali Tanzania (TIB), imeonyesha nia ya kuliendeleza eneo hilo.
Alisema benki hiyo itashirikiana na kampuni nyingine katika kufanya kazi hiyo. Hata hivyo, alikataa kuitaja...
5 years ago
MichuziNBTS MTWARA YAFIKIA ASILIMIA 94 UKUSANYAJI DAMU SALAMA KWA WIKI MBILI
Na. WAMJW - Mtwara
Mpango wa Taifa wa damu Salama (NBTS), Kanda ya kusini, umefikia asilimia zaidi ya 94 ya ukusanyaji wa damu salama sawa na chupa 374 katika wiki ya kuadhimisha siku ya wachangia damu duniani.
Hayo yamesemwa leo na Meneja wa mpango wa Taifa wa Damu Salama Kanda ya Kusini iliyopo mtwara Dkt. Pendael Sifuel wakati akizungumza kuhusu wiki ya maadhimisho hayo ambayo duniani hufanyika Juni 14 kila mwaka.
“Kanda yetu tulikuwa na lengo la kukusanya chupa 400 kwa wiki mbili za...
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Uhuru Kenyatta: Mazungumzo na Marekani hayataathiri makubaliano ya biashara huru Afrika