Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


EPZA, COSTECH kuendeleza Tehama

MAMLAKA ya Ukanda Maalumu wa Uwekezaji nchini (EPZA) imefikia makubaliano na Tume ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) kuanzisha na kuendeleza eneo la Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama) nchini. Eneo...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

EPZA, COSTECH ZAKUBALIANA KUENDELEZA TEHAMA


 Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Ukanda Maalumu wa Uwekezaji nchini (EPZA), Dkt. Adelhelm Meru (kushoto) na Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH), Dkt. Hassan Mshinda wakitia saini makubaliano ya uanzishaji na uendelezaji wa eneo maalumu la hekari 238 Bagamoyo kwa ajili ya kuendeleza teknolojia ya habari na mawasiliano nchini. Waliosimama ni Afisa wa EPZA, Bi. Sarah Patric na Mwanasheria wa Tume hiyo, Bi. Zainab Bakari (kulia). Tukio hilo lilifanyika jijini Dar es...

 

11 years ago

TheCitizen

EPZA inks Sh50bn deal with Costech

The Export Processing Zones Authority (EPZA) and the Commission for Science and Technology (Costech) have inked an agreement in which they will cooperate in the development of an area in Bagamoyo for improving the country’s Information and Communication Technology (ICT) sector.

 

11 years ago

Tanzania Daima

EPZA, TPA kuendeleza bandari Mtwara

MAMLAKA ya Ukanda Maalumu wa Uwekezaji nchini (EPZA) na Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) zimefikia makubaliano ya uendelezaji wa hekta 10 za eneo huru la bandari ya Mtwara. Makubaliano hayo...

 

11 years ago

Michuzi

EPZA yafikia makubaliano na kampuni kuendeleza eneo huru bandari Mtwara

 Mamlaka ya Ukanda Maalumu wa Uwekezaji nchini (EPZA) imefikia makubaliano na kampuni nne za kimataifa kwa ajili ya kutoa huduma mbalimbali kwa kampuni kubwa zinazofanya utafiti wa mafuta na gesi katika mkoa wa Mtwara.  Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka hiyo, Dkt. Adelhelm Meru aliwaambia waandishi wa habari jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki kuwa hatua hiyo ni muhimu sana katika undelezaji wa eneo huru la bandari ya Mtwara.  EPZA inaendeleza hekta 10 za eneo huru la bandari ya Mtwara. Hekta...

 

11 years ago

TheCitizen

13 new investors get EPZA nod

A total of 13 new investors have been issued with licences by the Export Processing Zone Authority (EPZA).

 

11 years ago

Habarileo

EPZA yatetea shughuli zake

MAMLAKA ya Mauzo ya Nje (EPZA) imetaka jamii kuondokana na dhana kwamba shughuli inazozifanya pamoja na manufaa, yanayopatikana ni kwa ajili ya wawekezaji wa nje pekee.

 

11 years ago

Tanzania Daima

EPZA yang’aa Maonyesho ya Sabasaba

MAMLAKA ya Ukanda Maalumu wa Uwekezaji nchini (EPZA) imeibuka na ushindi mnono baada ya kupata vikombe viwili kwenye Maonyesho ya 38 Kimataifa ya Biashara (Sabasaba) yanayoendelea jijni Dar es Salaam....

 

11 years ago

Tanzania Daima

EPZA, Korea kuimarisha ushirikiano

TANZANIA kupitia Mamlaka ya Ukanda Maalumu wa Uwekezaji nchini (EPZA), inatarajia kuanza kupata wawekezaji wengi kutoka Jamhuri ya Korea Kusini kwa faida ya nchi zote mbili. Matarajio hayo yanatokana na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

EPZA yavuka malengo 2013

MAMLAKA ya Ukanda Maalumu wa Uwekezaji nchini (EPZA) imetangaza kuvuka malengo yake kwa mwaka 2013. Mafanikio hayo yalitangazwa jijini Dar es Salaam jana na Mkurugenzi Mkuu wa EPZA, Dk. Adelhelm...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani