EPZA yatetea shughuli zake
MAMLAKA ya Mauzo ya Nje (EPZA) imetaka jamii kuondokana na dhana kwamba shughuli inazozifanya pamoja na manufaa, yanayopatikana ni kwa ajili ya wawekezaji wa nje pekee.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili12 Dec
CIA yatetea mbinu zake za mahojiano
10 years ago
BBCSwahili08 Jun
China yatetea haki zake za binadamu
9 years ago
StarTV22 Dec
Bandari ya Bukoba yaanza tena shughuli zake.
Manispaa ya Bukoba imeiruhusu bandari ya Bukoba kuendelea na shughuli za kawaida kufuatia hatua ya uongozi wa Bandari hiyo kukamilisha ujenzi wa choo cha kisasa,tofauti na kile chaawali ambacho kilidaiwa na uongozi wa Manispaa hiyo kutiririsha maji taka kuelekea Ziwani na kusababisha Bandari hiyo kufungiwa kipindi cha takribani mwezi mmoja .
Meli ya Mv Serengeti ambayo kwa muda wote ilikuwa ikiitumia bandari ya Kemondo iliyopo kilometa saba kutoka mjini Bukoba, imeshuhudiwa ikitia nanga...
5 years ago
BBCSwahili15 Mar
Coronavirus: Mahakama Kenya yafunga baadhi ya shughuli zake
9 years ago
Mwananchi05 Oct
Baraza la Siasa lasitisha shughuli zake kumlilia Mtikila
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/4tLLjXeWrxI/default.jpg)
11 years ago
MichuziIdara ya Uhamiaji yahamishia shughuli zake zote kwenye jengo jipya Kurasini
10 years ago
Mwananchi22 Mar
Chadema yatetea wanahabari
11 years ago
Habarileo26 Feb
TMA yatetea utabiri wake
MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imesema asilimia 87 ya utabiri wa hali ya hewa, uliotolewa mwaka jana, ulikuwa sahihi. Aidha, imeeleza kuwa ili kuweza kuwafikia watu zaidi mamlaka hiyo, inatarajia kuanzia kituo cha Redio, ambacho kitatoa utabiri pekee.