Baraza la Siasa lasitisha shughuli zake kumlilia Mtikila
Siku moja baada ya kifo cha aliyekuwa Mwenyekiti wa Democratic Party, Mchungaji Christopher Mtikila, Baraza la Vyama vya Siasa limeahirisha vikao vyake ili kumuenzi marehemu huyo mpaka baada ya maziko yake.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
KIFO CHA MTIKILA; BARAZA LA VYAMA VYA SIASA LAAHIRISHA KIKAO
10 years ago
VijimamboBARAZA LA VYAMA VYA SIASA LAAHIRISHWA KUTOKANA NA KIFO CHA MCHUNGAJI CHRISTOPHER MTIKILA
10 years ago
Michuzi
Baraza la Vyama vya Siasa nchini latuma salamu za rambirambi kufuatia kifo cha Mchungaji Mtikila

5 years ago
CCM Blog
BARAZA MAASKOFU (TEC) LASITISHA UIMBAJI IBADA ZA MISA KUKABILIANA NA CORONA

TEC imeamua kusitisha mazoezi ya kwaya ili kuepuka mikusanyiko. Pia nyimbo wakati wa ibada zimesitishwa ili Ibada isitumie muda mrefu
Pia mafundisho ya dini kwa watoto na makundi mengine yamesitishwa. Mafundisho yataendelea kwa njia nyingine kama kujisomea katekisimu au njia ya mtandao
Pia kanisa litazingatia umbali wa mtu...
11 years ago
Habarileo09 Jul
EPZA yatetea shughuli zake
MAMLAKA ya Mauzo ya Nje (EPZA) imetaka jamii kuondokana na dhana kwamba shughuli inazozifanya pamoja na manufaa, yanayopatikana ni kwa ajili ya wawekezaji wa nje pekee.
9 years ago
StarTV22 Dec
Bandari ya Bukoba yaanza tena shughuli zake.
Manispaa ya Bukoba imeiruhusu bandari ya Bukoba kuendelea na shughuli za kawaida kufuatia hatua ya uongozi wa Bandari hiyo kukamilisha ujenzi wa choo cha kisasa,tofauti na kile chaawali ambacho kilidaiwa na uongozi wa Manispaa hiyo kutiririsha maji taka kuelekea Ziwani na kusababisha Bandari hiyo kufungiwa kipindi cha takribani mwezi mmoja .
Meli ya Mv Serengeti ambayo kwa muda wote ilikuwa ikiitumia bandari ya Kemondo iliyopo kilometa saba kutoka mjini Bukoba, imeshuhudiwa ikitia nanga...
5 years ago
BBCSwahili15 Mar
Coronavirus: Mahakama Kenya yafunga baadhi ya shughuli zake
10 years ago
Vijimambo
11 years ago
MichuziIdara ya Uhamiaji yahamishia shughuli zake zote kwenye jengo jipya Kurasini