BARAZA MAASKOFU (TEC) LASITISHA UIMBAJI IBADA ZA MISA KUKABILIANA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-c-ivoddhLc0/XpmRJM2b9JI/AAAAAAAC3Q8/bOtLCbqPhcEP84Qd3eNy1LV2aAjU5x-AACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania ‘TEC’ limetoa tamko kutekeleza agizo alilotoa Waziri Mkuu, Kasim Majaliwa Aprili 15, juu ya kujilinda na Corona kwenye masuala ya ibada
TEC imeamua kusitisha mazoezi ya kwaya ili kuepuka mikusanyiko. Pia nyimbo wakati wa ibada zimesitishwa ili Ibada isitumie muda mrefu
Pia mafundisho ya dini kwa watoto na makundi mengine yamesitishwa. Mafundisho yataendelea kwa njia nyingine kama kujisomea katekisimu au njia ya mtandao
Pia kanisa litazingatia umbali wa mtu...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo28 Nov
TEC yazungumzia pesa za Escrow kwa maaskofu
BARAZA la Maaskofu wa Kanisa Katoliki (TEC) limezungumzia sakata la maaskofu wa kanisa hilo, Methodius Kilaini na Eusebius Nzigirwa kudaiwa kupewa fedha za akaunti ya Tegeta Escrow na kusema kwa sasa hawawezi kuzungumzia suala hilo kutokana na kuwa linagusa watu binafsi.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-kh72JOO2TS4/XqJfYAszZdI/AAAAAAAC31U/2OQjsWIglcwG39rdU3ZqBvm1L_7yrLvTQCLcBGAsYHQ/s72-c/images%2B%25281%2529.jpeg)
BARAZA KUU LA ULAMAA BAKWATA LATO TAMKO KUKABILIANA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-kh72JOO2TS4/XqJfYAszZdI/AAAAAAAC31U/2OQjsWIglcwG39rdU3ZqBvm1L_7yrLvTQCLcBGAsYHQ/s400/images%2B%25281%2529.jpeg)
Baada ya tafakari iliyozingatia ushauri wa kitaalamu na miongozo ya kiafya katika kujikinga na kudhibiti ugonjwa wa Corona (COVID 19); pia baada ya kuzingatia kuwa funga ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-f79w3S2dkt0/XqF_9DQdGfI/AAAAAAALn-0/RHdeXPu7HW8daO2kl7beYSOy0di7gK3ogCLcBGAsYHQ/s72-c/download.jpg)
TAMKO LA BARAZA LA ULAMAA BAKWATA TAIFA JUU YA MWENENDO WA CORONA (COVID 19) NA UTEKELEZAJI WA IBADA HUSUSAN MWEZI WA RAMADHANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-f79w3S2dkt0/XqF_9DQdGfI/AAAAAAALn-0/RHdeXPu7HW8daO2kl7beYSOy0di7gK3ogCLcBGAsYHQ/s400/download.jpg)
Wakati tukikaribia Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, Baraza la Ulamaa BAKWATA Taifa limefanya vikao kadhaa kupitia, kutafakari na kuzingatia mwenendo wa COVID 19 nchini Tanzania na hali ya utekelezaji wa Ibada za Swala za Jamaa, Ijumaa na Tarawehe hususan wingi wa watu wanaojitokeza Misikitini katika mwezi wa Ramadhani.
Baada ya tafakari iliyozingatia ushauri wa kitaalamu na miongozo ya kiafya katika kujikinga na kudhibiti ugonjwa wa Corona (COVID 19); pia baada ya kuzingatia kuwa funga ya...
9 years ago
Mwananchi05 Oct
Baraza la Siasa lasitisha shughuli zake kumlilia Mtikila
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-umAadk3LQWg/VUNXgh07mmI/AAAAAAAAApM/cEF7FTRhLJk/s72-c/IYK%2BPoster%2BMei%2B3%2B2015.jpg)
Kantate!- Karibuni Ibada ya Kiswahili — Maalum kwa Uimbaji Jumapili hii Mei 03, 2015 Kuanzia saa Kumi kamili
![](http://4.bp.blogspot.com/-umAadk3LQWg/VUNXgh07mmI/AAAAAAAAApM/cEF7FTRhLJk/s1600/IYK%2BPoster%2BMei%2B3%2B2015.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-umAadk3LQWg/VUNXgh07mmI/AAAAAAAAApM/cEF7FTRhLJk/s72-c/IYK%2BPoster%2BMei%2B3%2B2015.jpg)
Kantante!- Karibuni Ibada ya Kiswahili — Maalum kwa Uimbaji Jumapili hii Mei 03, 2015 Kuanzia saa Kumi kamili
![](http://4.bp.blogspot.com/-umAadk3LQWg/VUNXgh07mmI/AAAAAAAAApM/cEF7FTRhLJk/s1600/IYK%2BPoster%2BMei%2B3%2B2015.jpg)
11 years ago
Mwananchi02 Jul
IBADA MAALUM: Maaskofu wawataka Ukawa kurejea bungeni
9 years ago
Vijimambo19 Oct
ibada ya misa takatifu kwa lugha ya kiswahili
Mnakaribishwa sana kwenye ibada ya misa takatifu kwa lugha ya kiswahili
Ibada itafanyika katika kigango cha
Capuchin College4121 Harewood Road, NE, Washington, DC, 20017
Jumapili Tarehe 25 Octoba 2015. Saa nane kamili mchana (2:00 PM).
Karibu sana na unaombwa uwataarifu na kuwakaribisha ndugu, marafiki na jamaa zako.
Unakaribishwa kujiunga kwa mawasiliano ya barua pepe na Wakatoliki DMV anwani. Tupatie mawasiliano yako kwenda kwa:-WauminiWakatoliki@gmail.com
Kwa niaba ya Fr. Leandry Kimario, ni...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-tLFXYkEnNII/XnNsMLuTSeI/AAAAAAAAIuI/Mig0d_5vPFES_1ibKIGMbq0Kej_kQBe1QCEwYBhgL/s72-c/IMG_20200319_123004_219_1584612935576.jpg)
MAASKOFU ANGLIKANA WAITAKA JAMII KUUNGANA NA JUHUDI ZA SERIKALI KUKABILIANA NA COVD_19
![](https://1.bp.blogspot.com/-tLFXYkEnNII/XnNsMLuTSeI/AAAAAAAAIuI/Mig0d_5vPFES_1ibKIGMbq0Kej_kQBe1QCEwYBhgL/s640/IMG_20200319_123004_219_1584612935576.jpg)
Askofu wa Kanisa la Anglikana nchini Dkt.Mahimbo Mndolwa akiongea na waandishi wa habari jijini Arusha leo picha na Ahmed Mahmoud Arusha
Na Ahmed Mahmoud Arusha
Katika kukabiliana na ugonjwa wa corona nchini ,kanisa la Anglikana limetangaza kuongeza ibada zake katika makanisa yake yote ili kuondoa msongamano ambao ungeweza kusababisha maambukizi zaidi ya ugonjwa huo.
Akitoa tamko hilo jijini Arusha mbele ya maskofu 28 wa dayosisi za kanisa hilo, Askofu Mkuu wa kanisa hilo nchini...