TAMKO LA BARAZA LA ULAMAA BAKWATA TAIFA JUU YA MWENENDO WA CORONA (COVID 19) NA UTEKELEZAJI WA IBADA HUSUSAN MWEZI WA RAMADHANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-f79w3S2dkt0/XqF_9DQdGfI/AAAAAAALn-0/RHdeXPu7HW8daO2kl7beYSOy0di7gK3ogCLcBGAsYHQ/s72-c/download.jpg)
Wakati tukikaribia Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, Baraza la Ulamaa BAKWATA Taifa limefanya vikao kadhaa kupitia, kutafakari na kuzingatia mwenendo wa COVID 19 nchini Tanzania na hali ya utekelezaji wa Ibada za Swala za Jamaa, Ijumaa na Tarawehe hususan wingi wa watu wanaojitokeza Misikitini katika mwezi wa Ramadhani.
Baada ya tafakari iliyozingatia ushauri wa kitaalamu na miongozo ya kiafya katika kujikinga na kudhibiti ugonjwa wa Corona (COVID 19); pia baada ya kuzingatia kuwa funga ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-kh72JOO2TS4/XqJfYAszZdI/AAAAAAAC31U/2OQjsWIglcwG39rdU3ZqBvm1L_7yrLvTQCLcBGAsYHQ/s72-c/images%2B%25281%2529.jpeg)
BARAZA KUU LA ULAMAA BAKWATA LATO TAMKO KUKABILIANA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-kh72JOO2TS4/XqJfYAszZdI/AAAAAAAC31U/2OQjsWIglcwG39rdU3ZqBvm1L_7yrLvTQCLcBGAsYHQ/s400/images%2B%25281%2529.jpeg)
Baada ya tafakari iliyozingatia ushauri wa kitaalamu na miongozo ya kiafya katika kujikinga na kudhibiti ugonjwa wa Corona (COVID 19); pia baada ya kuzingatia kuwa funga ya...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-QiYZ3d6wXIc/ViuvmwA-c6I/AAAAAAAIClA/y4gXwzrqmiE/s72-c/IMG-20151024-WA0025.jpg)
9 years ago
StarTV09 Nov
CCM Kilimanjaro yatoa tamko juu ya mwenendo wa uchaguzi
Umoja wa vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Wilaya ya moshi Mjini, mkoani Kilimanjaro umeiomba serikali kuweka sheria madhubuti zinazolenga kuthibiti wasimamizi wa uchaguzi ambao wanakiuka sheria na kanuni za Tume ya taifa ya uchaguzi NEC kwa kusababisha vurugu katika zoezi la uhesabuji wa kura.
Kauli hiyo inakuja kufuatia kuwepo kwa malalamiko mengi ya wagombea wa kiti cha ubunge na udiwani katika baadhi ya majimbo mkoani humo kulalamikia zoezi la uchaguzi kutokuwa huru na...
11 years ago
Bongo504 Jul
Madee auzungumzia mwezi wa Ramadhani, ‘kikubwa ni tufanye ibada’
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/ZpjQeM6Fny0/default.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-c-ivoddhLc0/XpmRJM2b9JI/AAAAAAAC3Q8/bOtLCbqPhcEP84Qd3eNy1LV2aAjU5x-AACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
BARAZA MAASKOFU (TEC) LASITISHA UIMBAJI IBADA ZA MISA KUKABILIANA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-c-ivoddhLc0/XpmRJM2b9JI/AAAAAAAC3Q8/bOtLCbqPhcEP84Qd3eNy1LV2aAjU5x-AACLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
TEC imeamua kusitisha mazoezi ya kwaya ili kuepuka mikusanyiko. Pia nyimbo wakati wa ibada zimesitishwa ili Ibada isitumie muda mrefu
Pia mafundisho ya dini kwa watoto na makundi mengine yamesitishwa. Mafundisho yataendelea kwa njia nyingine kama kujisomea katekisimu au njia ya mtandao
Pia kanisa litazingatia umbali wa mtu...
9 years ago
Dewji Blog19 Dec
Tamko la Mtandao wa Mashirika yanayotetea Usawa wa Kinjinsia na Haki za Binadamu (Fem Act) juu ya Uteuzi wa baraza la mawaziri!!
Soma hapa tamko hilo la FEMACT…
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-sNFug9irxvg/XozFwEU31LI/AAAAAAALmbc/xTBVSmNuS64LTOCuqlfG5uP0-eWz5GpQgCLcBGAsYHQ/s72-c/1-13.jpg)
BARAZA LA MAWAZIRI SADC, LARIDHIA USAFIRISHAJI WA BIDHAA MUHIMU, KUDHIBITI MAAMBUKIZI YA CORONA COVID-19
![](https://1.bp.blogspot.com/-sNFug9irxvg/XozFwEU31LI/AAAAAAALmbc/xTBVSmNuS64LTOCuqlfG5uP0-eWz5GpQgCLcBGAsYHQ/s640/1-13.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/2.jpeg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-J9sGHm9GYJo/Xo3OCvcvtNI/AAAAAAAC88E/vLSv_9Q9RxodJ1buVdYT9Pcnft5bTAZfQCLcBGAsYHQ/s72-c/Picha%2B1.jpg)
WATUMISHI WA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI WAPEWA ELIMU YA UELEWA JUU YA UGONJWA WA CORONA (COVID-19)
![](https://1.bp.blogspot.com/-J9sGHm9GYJo/Xo3OCvcvtNI/AAAAAAAC88E/vLSv_9Q9RxodJ1buVdYT9Pcnft5bTAZfQCLcBGAsYHQ/s640/Picha%2B1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-w7tuscuS3pI/Xo3OCk-mqzI/AAAAAAAC878/gA_nnJJFS24-HH2T_WU0K-3rRi3OwoTowCLcBGAsYHQ/s640/Picha%2B2.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-3ESuESaSkNQ/Xo3OCqKlAEI/AAAAAAAC88A/7o0HHkWnp_oqTW4bBxMmlDQA4EY-sN8nwCLcBGAsYHQ/s640/Picha%2B3.jpg)