NCCR MAGEUZI YATOA TAMKO JUU YA KUTORIDHISHWA NA MWENENDO WA UKAWA
![](http://img.youtube.com/vi/ZpjQeM6Fny0/default.jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV09 Nov
CCM Kilimanjaro yatoa tamko juu ya mwenendo wa uchaguzi
Umoja wa vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Wilaya ya moshi Mjini, mkoani Kilimanjaro umeiomba serikali kuweka sheria madhubuti zinazolenga kuthibiti wasimamizi wa uchaguzi ambao wanakiuka sheria na kanuni za Tume ya taifa ya uchaguzi NEC kwa kusababisha vurugu katika zoezi la uhesabuji wa kura.
Kauli hiyo inakuja kufuatia kuwepo kwa malalamiko mengi ya wagombea wa kiti cha ubunge na udiwani katika baadhi ya majimbo mkoani humo kulalamikia zoezi la uchaguzi kutokuwa huru na...
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-1yPVaq1AkWI/VhZx8FbTPaI/AAAAAAAH93w/wDv3DVxQEzk/s72-c/DSC_0332.jpg)
ALIYEKUWA MAKAMU MWENYEKITI WA NCCR-MAGEUZI ASEMA TARARIBU ZA KUNING'OA NAFASI YANGU ZILIKIUKWA NA NCCR -MAGEUZI
![](http://2.bp.blogspot.com/-1yPVaq1AkWI/VhZx8FbTPaI/AAAAAAAH93w/wDv3DVxQEzk/s640/DSC_0332.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2x-cksUbxNk/VhZx9i7TlQI/AAAAAAAH934/aZSF8Rr2bTk/s640/DSC_0343.jpg)
Na Chalila KibudaAALIYEKUWA Makamu Makamu Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi, Letcia Mosore amesema kuwa taratibu za kumvua nafasi...
10 years ago
Habarileo28 Jun
Mbatia: NCCR-Mageuzi haitajiondoa Ukawa
CHAMA cha NCCR - Mageuzi kimesema hakitajitoa katika kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kwa vile lengo lake si mgawanyo wa madaraka bali Katiba.
5 years ago
The Citizen Daily14 Feb
NCCR-Mageuzi's fate in Ukawa to be known next week
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-9f6uH-JcOkw/VfrJ1CAk9GI/AAAAAAAA1Ko/NW5zfv7u_GI/s72-c/NCCR.jpg)
NCCR-MAGEUZI LEO IMEJIONDOA RASMI "UKAWA"
![](http://1.bp.blogspot.com/-9f6uH-JcOkw/VfrJ1CAk9GI/AAAAAAAA1Ko/NW5zfv7u_GI/s640/NCCR.jpg)
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-MAGEUZI, Reticia Ghati Mosore akizungumza na vyombo mbalimbali vya habari katika Hoteli ya Land Mark jijini Dar es Salaam muda huu kuhusiana na ukiukwaji wa taratibu katika umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) na kutangaza kuendelea na mapambano nje ya umoja huo wa vyama pinzani.
![](http://2.bp.blogspot.com/-Z9GRsMiO70o/VfrJ1PMaIVI/AAAAAAAA1Kk/WwaRjeZKBvE/s640/NCCR%2B2.jpg)
9 years ago
Mtanzania01 Oct
NCCR- Mageuzi watibua njama za kuhujumu Ukawa
Na Elias Msuya, Dar es Salaam
CHAMA cha NCCR Mageuzi kimetibua njama za kuuhujumu na kuufarakanisha Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) zilizolenga pia kusababisha mauaji kwa Mwenyekiti wake, James Mbatia.
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Mwenyekiti Mwenza wa Ukawa, James Mbatia aliyefuatana na viongozi wa juu wa chama hicho, alisema mkakati huo uliwahusisha makamishna wa chama hicho waliohudhuria pia mkutano huo, na uliratibiwa na Makamu mwenyekiti wa chama...
10 years ago
TheCitizen15 Jul
UKAWA NOMINATION: Kahangwa: The man NCCR-Mageuzi have faith in
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-f79w3S2dkt0/XqF_9DQdGfI/AAAAAAALn-0/RHdeXPu7HW8daO2kl7beYSOy0di7gK3ogCLcBGAsYHQ/s72-c/download.jpg)
TAMKO LA BARAZA LA ULAMAA BAKWATA TAIFA JUU YA MWENENDO WA CORONA (COVID 19) NA UTEKELEZAJI WA IBADA HUSUSAN MWEZI WA RAMADHANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-f79w3S2dkt0/XqF_9DQdGfI/AAAAAAALn-0/RHdeXPu7HW8daO2kl7beYSOy0di7gK3ogCLcBGAsYHQ/s400/download.jpg)
Wakati tukikaribia Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, Baraza la Ulamaa BAKWATA Taifa limefanya vikao kadhaa kupitia, kutafakari na kuzingatia mwenendo wa COVID 19 nchini Tanzania na hali ya utekelezaji wa Ibada za Swala za Jamaa, Ijumaa na Tarawehe hususan wingi wa watu wanaojitokeza Misikitini katika mwezi wa Ramadhani.
Baada ya tafakari iliyozingatia ushauri wa kitaalamu na miongozo ya kiafya katika kujikinga na kudhibiti ugonjwa wa Corona (COVID 19); pia baada ya kuzingatia kuwa funga ya...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar01 Oct
NCCR-Mageuzi Watibua Njama za Kuhujumu UKAWA……..Wamtimua Makamu Mwenyekiti wa Chama Hicho
Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi, James Mbatia Thursday, October 1, 2015 Ikiwa zimebaki siku 23 kufikia siku ya kupiga kura nchini, mapya yameibuliwa na Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi, James Mbatia, akidai kuwa zipo njama chafu […]
The post NCCR-Mageuzi Watibua Njama za Kuhujumu UKAWA……..Wamtimua Makamu Mwenyekiti wa Chama Hicho appeared first on Mzalendo.net.