NCCR- Mageuzi watibua njama za kuhujumu Ukawa
Na Elias Msuya, Dar es Salaam
CHAMA cha NCCR Mageuzi kimetibua njama za kuuhujumu na kuufarakanisha Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) zilizolenga pia kusababisha mauaji kwa Mwenyekiti wake, James Mbatia.
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Mwenyekiti Mwenza wa Ukawa, James Mbatia aliyefuatana na viongozi wa juu wa chama hicho, alisema mkakati huo uliwahusisha makamishna wa chama hicho waliohudhuria pia mkutano huo, na uliratibiwa na Makamu mwenyekiti wa chama...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mzalendo Zanzibar01 Oct
NCCR-Mageuzi Watibua Njama za Kuhujumu UKAWA……..Wamtimua Makamu Mwenyekiti wa Chama Hicho
Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi, James Mbatia Thursday, October 1, 2015 Ikiwa zimebaki siku 23 kufikia siku ya kupiga kura nchini, mapya yameibuliwa na Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi, James Mbatia, akidai kuwa zipo njama chafu […]
The post NCCR-Mageuzi Watibua Njama za Kuhujumu UKAWA……..Wamtimua Makamu Mwenyekiti wa Chama Hicho appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-1yPVaq1AkWI/VhZx8FbTPaI/AAAAAAAH93w/wDv3DVxQEzk/s72-c/DSC_0332.jpg)
ALIYEKUWA MAKAMU MWENYEKITI WA NCCR-MAGEUZI ASEMA TARARIBU ZA KUNING'OA NAFASI YANGU ZILIKIUKWA NA NCCR -MAGEUZI
![](http://2.bp.blogspot.com/-1yPVaq1AkWI/VhZx8FbTPaI/AAAAAAAH93w/wDv3DVxQEzk/s640/DSC_0332.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2x-cksUbxNk/VhZx9i7TlQI/AAAAAAAH934/aZSF8Rr2bTk/s640/DSC_0343.jpg)
Na Chalila KibudaAALIYEKUWA Makamu Makamu Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi, Letcia Mosore amesema kuwa taratibu za kumvua nafasi...
10 years ago
Habarileo28 Jun
Mbatia: NCCR-Mageuzi haitajiondoa Ukawa
CHAMA cha NCCR - Mageuzi kimesema hakitajitoa katika kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kwa vile lengo lake si mgawanyo wa madaraka bali Katiba.
5 years ago
The Citizen Daily14 Feb
NCCR-Mageuzi's fate in Ukawa to be known next week
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-9f6uH-JcOkw/VfrJ1CAk9GI/AAAAAAAA1Ko/NW5zfv7u_GI/s72-c/NCCR.jpg)
NCCR-MAGEUZI LEO IMEJIONDOA RASMI "UKAWA"
![](http://1.bp.blogspot.com/-9f6uH-JcOkw/VfrJ1CAk9GI/AAAAAAAA1Ko/NW5zfv7u_GI/s640/NCCR.jpg)
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-MAGEUZI, Reticia Ghati Mosore akizungumza na vyombo mbalimbali vya habari katika Hoteli ya Land Mark jijini Dar es Salaam muda huu kuhusiana na ukiukwaji wa taratibu katika umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) na kutangaza kuendelea na mapambano nje ya umoja huo wa vyama pinzani.
![](http://2.bp.blogspot.com/-Z9GRsMiO70o/VfrJ1PMaIVI/AAAAAAAA1Kk/WwaRjeZKBvE/s640/NCCR%2B2.jpg)
10 years ago
TheCitizen15 Jul
UKAWA NOMINATION: Kahangwa: The man NCCR-Mageuzi have faith in
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/ZpjQeM6Fny0/default.jpg)
11 years ago
TheCitizen21 Jan
NCCR-Mageuzi gets new secretary-general
9 years ago
Habarileo21 Aug
NCCR Mageuzi yaongezewa majimbo
CHAMA cha NCCR Mageuzi kimesema katika mgawanyo wa majimbo yaliyofanywa na vyama vinavyounda umoja wa katiba (Ukawa) kimeongezewa majimbo mengine matano na hivyo kufanya chama hicho kuwa na majimbo 19 ambako watasimamisha wagombea.