Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NCCR-Mageuzi gets new secretary-general

Mr Mosena Nyambabe has been elected NCCR-Mageuzi Secretary-General. Mr Nyambabe was elected by the party’s Central Committee when it met on Sunday.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

ALIYEKUWA MAKAMU MWENYEKITI WA NCCR-MAGEUZI ASEMA TARARIBU ZA KUNING'OA NAFASI YANGU ZILIKIUKWA NA NCCR -MAGEUZI


Aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi,Letcia Mosore (katikati)akizungumza na waandishi wa (habari hawapo pichani)  juu  ya ukiukaji wa katiba ya chama hicho kumvua madaraka iliyofanyika leo jijini Dar es Salaam.Kulia ni Mwakilishi NCCR-Mageuzi ,Hamlyn Erasto,Kushoto ni Kamishina Mkoa wa Ruvuma,Mchatta Mchatta.Baadhi ya waandishi wakiwa katika mkutano huo.

Na Chalila Kibuda

AALIYEKUWA  Makamu Makamu Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi, Letcia Mosore amesema kuwa taratibu za kumvua nafasi...

 

9 years ago

Michuzi

EAC SECRETARY GENERAL SENDS CONDOLENCE MESSAGE TO PRESIDENT MUSEVENI ON THE TRAGIC AND UNTIMELY DEATH OF GENERAL ARONDA NYAKAIRIMA


East African Community
The Secretary General of the East African Community, Amb. Dr. Richard Sezibera has sent a message of condolence to His Execellency President Yoweri Kaguta Museveni of Uganda on the tragic and untimely death of the former Chief of Defence Forces and Minister for Internal Affairs of the Republic of Uganda, the late General Aronda Nyakairima.
In a message dispatched today, the Secretary General, on behalf of the East African Community mourns the passing of “a great son of...

 

9 years ago

Habarileo

NCCR Mageuzi yaongezewa majimbo

CHAMA cha NCCR Mageuzi kimesema katika mgawanyo wa majimbo yaliyofanywa na vyama vinavyounda umoja wa katiba (Ukawa) kimeongezewa majimbo mengine matano na hivyo kufanya chama hicho kuwa na majimbo 19 ambako watasimamisha wagombea.

 

10 years ago

Mtanzania

NCCR-Mageuzi yapuliza kipenga

mosenaJonas Mushi na Adamu Mkwepu, Dar es Salaam
CHAMA cha NCCR-Mageuzi kimetoa ratiba kwa wanachama wake kuchukua fomu za kugombea nafasi mbalimbali katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu.
Ratiba hiyo ilitangazwa jana na Katibu Mkuu wa NCCR Mageuzi, Mosena Nyambabe, katika mkutano wake na waandishi wa habari uliofanyika makao makuu ya chama hicho.
Alisema wanachama wenye sifa kwa mujibu wa katiba ya NCCR- Mageuzi pamoja na ile ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wana haki ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Urais wawagonganisha NCCR-Mageuzi, Chadema

>Chama cha NCCR-Mageuzi kimeponda kauli ya Mwanasheria wa Chadema, Tundu Lissu kwamba Katibu mkuu wa chama hicho kikuu cha upinzani, Dk Willibrod Slaa ndiye atakayekuwa mgombea urais kupitia Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa).

 

10 years ago

Mwananchi

Dk Kahangwa: Nitawania urais NCCR- Mageuzi

Majuma mawili tangu Umoja wa Vijana wa Chama cha NCCR-Mageuzi umtake, Dk George Kahangwa (46) kugombea urais, mhadhiri huyo wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, amesema ameridhia wito huo.

 

9 years ago

Vijimambo

HABARI24 TV--MGOGORO WA NCCR MAGEUZI-MBOWE


Mh MBOWE akizngumza na wahabari mapema leo Jijini Dar es salaamUmoja wa Katiba ya wananchi UKAWA leo umeitaka Tume ya taifa ya uchaguzi kutoa tamko kuhusu kauli iliyotoleawa na mmoja wa viongozi wa CCM kuwa chama hicho hakipo tayari kuondoka ikulu hata kama kitashindwa katika uchaguzi ujao mwaka huu.Kauli hiyo ilitolewa katika kampeni za Urais mkoani kigoma na mmoja kati ya viongozi wa chama hicho ndugu ABDALA BULEMBO ambapo alisema kuwa hakuna njia inayoweza kuwaondoa ikulu na chama cha...

 

11 years ago

Habarileo

NCCR-Mageuzi yamkingia kifua Kafulila

David KafulilaKITENGO cha Vijana wa Chama cha NCCRMageuzi kimesema kinamuunga mkono mbunge wa Kigoma Kusini kupitia chama hicho, David Kafulila, kuhusu harakati za kutaka uchunguzi huru kuhusu suala la fedha za akaunti ya Escrow iliyokuwa Benki Kuu (BoT) inayoihusu kampuni ya IPTL.

 

9 years ago

Mwananchi

Meya Bukoba aibukia NCCR — Mageuzi

Aliyekuwa Meya wa Manispaa ya Bukoba, Dk Anatory Amani amehama CCM na kujiunga NCCR – Mageuzi baada ya juhudi za kujiunga Chadema kugonga mwamba.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani