NCCR-Mageuzi gets new secretary-general
Mr Mosena Nyambabe has been elected NCCR-Mageuzi Secretary-General. Mr Nyambabe was elected by the party’s Central Committee when it met on Sunday.
TheCitizen
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-1yPVaq1AkWI/VhZx8FbTPaI/AAAAAAAH93w/wDv3DVxQEzk/s72-c/DSC_0332.jpg)
ALIYEKUWA MAKAMU MWENYEKITI WA NCCR-MAGEUZI ASEMA TARARIBU ZA KUNING'OA NAFASI YANGU ZILIKIUKWA NA NCCR -MAGEUZI
![](http://2.bp.blogspot.com/-1yPVaq1AkWI/VhZx8FbTPaI/AAAAAAAH93w/wDv3DVxQEzk/s640/DSC_0332.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2x-cksUbxNk/VhZx9i7TlQI/AAAAAAAH934/aZSF8Rr2bTk/s640/DSC_0343.jpg)
Na Chalila KibudaAALIYEKUWA Makamu Makamu Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi, Letcia Mosore amesema kuwa taratibu za kumvua nafasi...
9 years ago
Michuzi17 Sep
EAC SECRETARY GENERAL SENDS CONDOLENCE MESSAGE TO PRESIDENT MUSEVENI ON THE TRAGIC AND UNTIMELY DEATH OF GENERAL ARONDA NYAKAIRIMA
East African Community
The Secretary General of the East African Community, Amb. Dr. Richard Sezibera has sent a message of condolence to His Execellency President Yoweri Kaguta Museveni of Uganda on the tragic and untimely death of the former Chief of Defence Forces and Minister for Internal Affairs of the Republic of Uganda, the late General Aronda Nyakairima.
In a message dispatched today, the Secretary General, on behalf of the East African Community mourns the passing of “a great son of...
9 years ago
Habarileo21 Aug
NCCR Mageuzi yaongezewa majimbo
CHAMA cha NCCR Mageuzi kimesema katika mgawanyo wa majimbo yaliyofanywa na vyama vinavyounda umoja wa katiba (Ukawa) kimeongezewa majimbo mengine matano na hivyo kufanya chama hicho kuwa na majimbo 19 ambako watasimamisha wagombea.
10 years ago
Mtanzania21 Feb
NCCR-Mageuzi yapuliza kipenga
Jonas Mushi na Adamu Mkwepu, Dar es Salaam
CHAMA cha NCCR-Mageuzi kimetoa ratiba kwa wanachama wake kuchukua fomu za kugombea nafasi mbalimbali katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu.
Ratiba hiyo ilitangazwa jana na Katibu Mkuu wa NCCR Mageuzi, Mosena Nyambabe, katika mkutano wake na waandishi wa habari uliofanyika makao makuu ya chama hicho.
Alisema wanachama wenye sifa kwa mujibu wa katiba ya NCCR- Mageuzi pamoja na ile ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wana haki ya...
10 years ago
Mwananchi18 May
Urais wawagonganisha NCCR-Mageuzi, Chadema
10 years ago
Mwananchi24 Mar
Dk Kahangwa: Nitawania urais NCCR- Mageuzi
9 years ago
VijimamboHABARI24 TV--MGOGORO WA NCCR MAGEUZI-MBOWE
Mh MBOWE akizngumza na wahabari mapema leo Jijini Dar es salaamUmoja wa Katiba ya wananchi UKAWA leo umeitaka Tume ya taifa ya uchaguzi kutoa tamko kuhusu kauli iliyotoleawa na mmoja wa viongozi wa CCM kuwa chama hicho hakipo tayari kuondoka ikulu hata kama kitashindwa katika uchaguzi ujao mwaka huu.Kauli hiyo ilitolewa katika kampeni za Urais mkoani kigoma na mmoja kati ya viongozi wa chama hicho ndugu ABDALA BULEMBO ambapo alisema kuwa hakuna njia inayoweza kuwaondoa ikulu na chama cha...
11 years ago
Habarileo07 Jul
NCCR-Mageuzi yamkingia kifua Kafulila
KITENGO cha Vijana wa Chama cha NCCRMageuzi kimesema kinamuunga mkono mbunge wa Kigoma Kusini kupitia chama hicho, David Kafulila, kuhusu harakati za kutaka uchunguzi huru kuhusu suala la fedha za akaunti ya Escrow iliyokuwa Benki Kuu (BoT) inayoihusu kampuni ya IPTL.
9 years ago
Mwananchi21 Aug
Meya Bukoba aibukia NCCR — Mageuzi