Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Meya Bukoba aibukia NCCR — Mageuzi

Aliyekuwa Meya wa Manispaa ya Bukoba, Dk Anatory Amani amehama CCM na kujiunga NCCR – Mageuzi baada ya juhudi za kujiunga Chadema kugonga mwamba.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MTOTO WA KAPTEN JOHN KOMBA AIBUKIA NCCR-MAGEUZI

Mwenyekiti mwenza wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) James Mbatiaakisalimia wananchi wakati akipita katika kijiji cha Kahe ,jimbo laVunjo ambako amefanya mikutano katika vijiji mbalimbali ya kuwanadiwagombea wa nafasi ya Uenyekiti.Mgombea wa nafasi ya Uenyekiti katika kijiji cha Ngaseni B katikajimbo la Vunjo,Amfrosia Komba (41),mtoto wa Mbunge wa jimbo la MbingaMagharibi kapt,John Komba(CCM) akijinadi kwa wapiga kura katika kijijihicho.Amfrosia maarufu kama Zawadi anagombea nafasi hiyo...

 

9 years ago

Vijimambo

ALIYEKUWA MAKAMU MWENYEKITI WA NCCR-MAGEUZI ASEMA TARARIBU ZA KUNING'OA NAFASI YANGU ZILIKIUKWA NA NCCR -MAGEUZI


Aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi,Letcia Mosore (katikati)akizungumza na waandishi wa (habari hawapo pichani)  juu  ya ukiukaji wa katiba ya chama hicho kumvua madaraka iliyofanyika leo jijini Dar es Salaam.Kulia ni Mwakilishi NCCR-Mageuzi ,Hamlyn Erasto,Kushoto ni Kamishina Mkoa wa Ruvuma,Mchatta Mchatta.Baadhi ya waandishi wakiwa katika mkutano huo.

Na Chalila Kibuda

AALIYEKUWA  Makamu Makamu Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi, Letcia Mosore amesema kuwa taratibu za kumvua nafasi...

 

10 years ago

Mtanzania

NCCR-Mageuzi yapuliza kipenga

mosenaJonas Mushi na Adamu Mkwepu, Dar es Salaam
CHAMA cha NCCR-Mageuzi kimetoa ratiba kwa wanachama wake kuchukua fomu za kugombea nafasi mbalimbali katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu.
Ratiba hiyo ilitangazwa jana na Katibu Mkuu wa NCCR Mageuzi, Mosena Nyambabe, katika mkutano wake na waandishi wa habari uliofanyika makao makuu ya chama hicho.
Alisema wanachama wenye sifa kwa mujibu wa katiba ya NCCR- Mageuzi pamoja na ile ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wana haki ya...

 

9 years ago

Habarileo

NCCR Mageuzi yaongezewa majimbo

CHAMA cha NCCR Mageuzi kimesema katika mgawanyo wa majimbo yaliyofanywa na vyama vinavyounda umoja wa katiba (Ukawa) kimeongezewa majimbo mengine matano na hivyo kufanya chama hicho kuwa na majimbo 19 ambako watasimamisha wagombea.

 

11 years ago

TheCitizen

NCCR-Mageuzi gets new secretary-general

Mr Mosena Nyambabe has been elected NCCR-Mageuzi Secretary-General. Mr Nyambabe was elected by the party’s Central Committee when it met on Sunday.

 

9 years ago

Mwananchi

Makamu mwenyekiti NCCR - Mageuzi asimamishwa

Makamu Mwenyekiti wa chama cha NCCR-Mageuzi, Leticia Mosore amesimamishwa uongozi kutokana na kukiuka taratibu na madai ya kushirikiana na CCM kukihujumu chama hicho.

 

10 years ago

Raia Tanzania

NCCR Mageuzi itaikomboa Serengeti — Mosena

KATIBU mkuu wa Chama cha NCCR Mageuzi Mosena Nyambabe amejiandaa kugombea Jimbo la Serengeti katika Uchaguzi Mkuu Oktoba.  Pamoja na changamoto zinazowakabili baadhi ya wabunge baada ya kupata ridhaa, Mosema amesema anakwenda Serengeti kuwa mtendaji. Fuatana na mwandishi wetu MARY VICTOR katika makala haya.

Raia Tanzania: Kabla ya kuendelea jitambulishe kwa msomaji wetu?

Mosena: Naitwa Mosena Nyambabe, ni Katibu Mkuu wa Chama cha NCCR Mageuzi. Natangaza kuomba ridhaa ya kuwa mbunge...

 

10 years ago

Mwananchi

Dk Kahangwa: Nitawania urais NCCR- Mageuzi

Majuma mawili tangu Umoja wa Vijana wa Chama cha NCCR-Mageuzi umtake, Dk George Kahangwa (46) kugombea urais, mhadhiri huyo wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, amesema ameridhia wito huo.

 

5 years ago

The Citizen Daily

NCCR-Mageuzi's fate in Ukawa to be known next week

NCCR-Mageuzi's fate in Ukawa to be known next week  The Citizen Daily

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani