Meya Bukoba aibukia NCCR — Mageuzi
Aliyekuwa Meya wa Manispaa ya Bukoba, Dk Anatory Amani amehama CCM na kujiunga NCCR – Mageuzi baada ya juhudi za kujiunga Chadema kugonga mwamba.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-poMrWKl8w4g/VIqfh-jg2JI/AAAAAAAAN90/qHHvwH59Mew/s72-c/Mbatia%2CZawadi.jpg)
MTOTO WA KAPTEN JOHN KOMBA AIBUKIA NCCR-MAGEUZI
![](http://1.bp.blogspot.com/-poMrWKl8w4g/VIqfh-jg2JI/AAAAAAAAN90/qHHvwH59Mew/s640/Mbatia%2CZawadi.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-1yPVaq1AkWI/VhZx8FbTPaI/AAAAAAAH93w/wDv3DVxQEzk/s72-c/DSC_0332.jpg)
ALIYEKUWA MAKAMU MWENYEKITI WA NCCR-MAGEUZI ASEMA TARARIBU ZA KUNING'OA NAFASI YANGU ZILIKIUKWA NA NCCR -MAGEUZI
![](http://2.bp.blogspot.com/-1yPVaq1AkWI/VhZx8FbTPaI/AAAAAAAH93w/wDv3DVxQEzk/s640/DSC_0332.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2x-cksUbxNk/VhZx9i7TlQI/AAAAAAAH934/aZSF8Rr2bTk/s640/DSC_0343.jpg)
Na Chalila KibudaAALIYEKUWA Makamu Makamu Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi, Letcia Mosore amesema kuwa taratibu za kumvua nafasi...
10 years ago
Mtanzania21 Feb
NCCR-Mageuzi yapuliza kipenga
Jonas Mushi na Adamu Mkwepu, Dar es Salaam
CHAMA cha NCCR-Mageuzi kimetoa ratiba kwa wanachama wake kuchukua fomu za kugombea nafasi mbalimbali katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu.
Ratiba hiyo ilitangazwa jana na Katibu Mkuu wa NCCR Mageuzi, Mosena Nyambabe, katika mkutano wake na waandishi wa habari uliofanyika makao makuu ya chama hicho.
Alisema wanachama wenye sifa kwa mujibu wa katiba ya NCCR- Mageuzi pamoja na ile ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wana haki ya...
9 years ago
Habarileo21 Aug
NCCR Mageuzi yaongezewa majimbo
CHAMA cha NCCR Mageuzi kimesema katika mgawanyo wa majimbo yaliyofanywa na vyama vinavyounda umoja wa katiba (Ukawa) kimeongezewa majimbo mengine matano na hivyo kufanya chama hicho kuwa na majimbo 19 ambako watasimamisha wagombea.
11 years ago
TheCitizen21 Jan
NCCR-Mageuzi gets new secretary-general
9 years ago
Mwananchi01 Oct
Makamu mwenyekiti NCCR - Mageuzi asimamishwa
10 years ago
Raia Tanzania24 Jul
NCCR Mageuzi itaikomboa Serengeti — Mosena
KATIBU mkuu wa Chama cha NCCR Mageuzi Mosena Nyambabe amejiandaa kugombea Jimbo la Serengeti katika Uchaguzi Mkuu Oktoba. Pamoja na changamoto zinazowakabili baadhi ya wabunge baada ya kupata ridhaa, Mosema amesema anakwenda Serengeti kuwa mtendaji. Fuatana na mwandishi wetu MARY VICTOR katika makala haya.
Raia Tanzania: Kabla ya kuendelea jitambulishe kwa msomaji wetu?
Mosena: Naitwa Mosena Nyambabe, ni Katibu Mkuu wa Chama cha NCCR Mageuzi. Natangaza kuomba ridhaa ya kuwa mbunge...
10 years ago
Mwananchi24 Mar
Dk Kahangwa: Nitawania urais NCCR- Mageuzi
5 years ago
The Citizen Daily14 Feb
NCCR-Mageuzi's fate in Ukawa to be known next week