MTOTO WA KAPTEN JOHN KOMBA AIBUKIA NCCR-MAGEUZI
![](http://1.bp.blogspot.com/-poMrWKl8w4g/VIqfh-jg2JI/AAAAAAAAN90/qHHvwH59Mew/s72-c/Mbatia%2CZawadi.jpg)
Mwenyekiti mwenza wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) James Mbatiaakisalimia wananchi wakati akipita katika kijiji cha Kahe ,jimbo laVunjo ambako amefanya mikutano katika vijiji mbalimbali ya kuwanadiwagombea wa nafasi ya Uenyekiti.
Mgombea wa nafasi ya Uenyekiti katika kijiji cha Ngaseni B katikajimbo la Vunjo,Amfrosia Komba (41),mtoto wa Mbunge wa jimbo la MbingaMagharibi kapt,John Komba(CCM) akijinadi kwa wapiga kura katika kijijihicho.Amfrosia maarufu kama Zawadi anagombea nafasi hiyo...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi21 Aug
Meya Bukoba aibukia NCCR — Mageuzi
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-1yPVaq1AkWI/VhZx8FbTPaI/AAAAAAAH93w/wDv3DVxQEzk/s72-c/DSC_0332.jpg)
ALIYEKUWA MAKAMU MWENYEKITI WA NCCR-MAGEUZI ASEMA TARARIBU ZA KUNING'OA NAFASI YANGU ZILIKIUKWA NA NCCR -MAGEUZI
![](http://2.bp.blogspot.com/-1yPVaq1AkWI/VhZx8FbTPaI/AAAAAAAH93w/wDv3DVxQEzk/s640/DSC_0332.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2x-cksUbxNk/VhZx9i7TlQI/AAAAAAAH934/aZSF8Rr2bTk/s640/DSC_0343.jpg)
Na Chalila KibudaAALIYEKUWA Makamu Makamu Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi, Letcia Mosore amesema kuwa taratibu za kumvua nafasi...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-mc6HHR7C15s/VPNVMVkUG9I/AAAAAAAC0wY/qZypBvtdPiQ/s72-c/15889_938839636150671_9032082101882973588_n.jpg)
VIONGOZI MBALIMBALI WAMIMINIKA KUHANI MSIBA WA KAPTEN KOMBA
![](http://1.bp.blogspot.com/-mc6HHR7C15s/VPNVMVkUG9I/AAAAAAAC0wY/qZypBvtdPiQ/s1600/15889_938839636150671_9032082101882973588_n.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-XysoJI66Ymw/VPLwTGB4ffI/AAAAAAAAXSA/2oVW5SfRZ3U/s1600/013.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-hNP-q10IRVI/VPLwY-_uXrI/AAAAAAAAXSQ/hwYILOanKhM/s1600/014.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-R7vQKs75sho/VPLwT4Y8ciI/AAAAAAAAXSI/5fIW_BA3YRM/s1600/012.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-81v5-TTZtVo/VPLwbDEdPXI/AAAAAAAAXSY/TlTsRdMTozY/s1600/018.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-3YIfMv8jjCA/VPRsc6iwVaI/AAAAAAADbQM/Lk9khKGHnt0/s72-c/01.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL ASHIRIKI KUAGA MWILI WA MAREHEMU KAPTEN KOMBA VIWANJA VYA KARIMJEE DAR LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-3YIfMv8jjCA/VPRsc6iwVaI/AAAAAAADbQM/Lk9khKGHnt0/s1600/01.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-nD6sJq4xwN0/VPRsc3bbuDI/AAAAAAADbQI/XNrbzh2SgXk/s1600/02.jpg)
11 years ago
TheCitizen21 Jan
NCCR-Mageuzi gets new secretary-general
10 years ago
Mtanzania21 Feb
NCCR-Mageuzi yapuliza kipenga
Jonas Mushi na Adamu Mkwepu, Dar es Salaam
CHAMA cha NCCR-Mageuzi kimetoa ratiba kwa wanachama wake kuchukua fomu za kugombea nafasi mbalimbali katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu.
Ratiba hiyo ilitangazwa jana na Katibu Mkuu wa NCCR Mageuzi, Mosena Nyambabe, katika mkutano wake na waandishi wa habari uliofanyika makao makuu ya chama hicho.
Alisema wanachama wenye sifa kwa mujibu wa katiba ya NCCR- Mageuzi pamoja na ile ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wana haki ya...
9 years ago
Habarileo21 Aug
NCCR Mageuzi yaongezewa majimbo
CHAMA cha NCCR Mageuzi kimesema katika mgawanyo wa majimbo yaliyofanywa na vyama vinavyounda umoja wa katiba (Ukawa) kimeongezewa majimbo mengine matano na hivyo kufanya chama hicho kuwa na majimbo 19 ambako watasimamisha wagombea.
11 years ago
Mwananchi05 Jul
Serikali: NCCR Mageuzi fuateni taratibu
11 years ago
Habarileo07 Jul
NCCR-Mageuzi yamkingia kifua Kafulila
KITENGO cha Vijana wa Chama cha NCCRMageuzi kimesema kinamuunga mkono mbunge wa Kigoma Kusini kupitia chama hicho, David Kafulila, kuhusu harakati za kutaka uchunguzi huru kuhusu suala la fedha za akaunti ya Escrow iliyokuwa Benki Kuu (BoT) inayoihusu kampuni ya IPTL.