Dk Kahangwa: Nitawania urais NCCR- Mageuzi
Majuma mawili tangu Umoja wa Vijana wa Chama cha NCCR-Mageuzi umtake, Dk George Kahangwa (46) kugombea urais, mhadhiri huyo wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, amesema ameridhia wito huo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania09 Mar
NCCR- Mageuzi kumteua Dk. Kahangwa urais 2015
NA PATRICIA KIMELEMETA, DAR ES SALAAM
UMOJA wa Vijana wa Chama cha NCCR-Mageuzi, umempitisha Dk. George Kahangwa kuwa mgombea urais kwa tiketi ya chama hicho ambaye atachuana na wagombea wengine watakaopitishwa na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa).
Uamuzi wa kumpitisha mgombea huyo umekuja baada ya Mwenyekiti wa chama hicho, James Mbatia, kudai kuwa hatogombea tena nafasi hiyo kwa sababu anakwenda kugombea ubunge katika Jimbo la Vunjo mkoani Kilimanjaro.
Akizungumza na waandishi wa habari...
10 years ago
TheCitizen15 Jul
UKAWA NOMINATION: Kahangwa: The man NCCR-Mageuzi have faith in
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-1yPVaq1AkWI/VhZx8FbTPaI/AAAAAAAH93w/wDv3DVxQEzk/s72-c/DSC_0332.jpg)
ALIYEKUWA MAKAMU MWENYEKITI WA NCCR-MAGEUZI ASEMA TARARIBU ZA KUNING'OA NAFASI YANGU ZILIKIUKWA NA NCCR -MAGEUZI
![](http://2.bp.blogspot.com/-1yPVaq1AkWI/VhZx8FbTPaI/AAAAAAAH93w/wDv3DVxQEzk/s640/DSC_0332.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2x-cksUbxNk/VhZx9i7TlQI/AAAAAAAH934/aZSF8Rr2bTk/s640/DSC_0343.jpg)
Na Chalila KibudaAALIYEKUWA Makamu Makamu Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi, Letcia Mosore amesema kuwa taratibu za kumvua nafasi...
10 years ago
Mwananchi18 May
Urais wawagonganisha NCCR-Mageuzi, Chadema
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-eIlcvbhOj8Q/VTpbQKJCAtI/AAAAAAAHS94/K6Ar5VCMCOs/s72-c/1.jpg)
VIJANA WA NCCR-MAGEUZI WAMCHUKULIA FOMU MGOMBEA URAIS WA CHAMA HICHO,DK.MIHANGO
![](http://1.bp.blogspot.com/-eIlcvbhOj8Q/VTpbQKJCAtI/AAAAAAAHS94/K6Ar5VCMCOs/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-tv0w5BlBovs/VTpZR2qKM6I/AAAAAAAHS9M/h_umUwuhs4s/s1600/2.jpg)
11 years ago
TheCitizen21 Jan
NCCR-Mageuzi gets new secretary-general
9 years ago
Habarileo21 Aug
NCCR Mageuzi yaongezewa majimbo
CHAMA cha NCCR Mageuzi kimesema katika mgawanyo wa majimbo yaliyofanywa na vyama vinavyounda umoja wa katiba (Ukawa) kimeongezewa majimbo mengine matano na hivyo kufanya chama hicho kuwa na majimbo 19 ambako watasimamisha wagombea.
10 years ago
Mtanzania21 Feb
NCCR-Mageuzi yapuliza kipenga
Jonas Mushi na Adamu Mkwepu, Dar es Salaam
CHAMA cha NCCR-Mageuzi kimetoa ratiba kwa wanachama wake kuchukua fomu za kugombea nafasi mbalimbali katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu.
Ratiba hiyo ilitangazwa jana na Katibu Mkuu wa NCCR Mageuzi, Mosena Nyambabe, katika mkutano wake na waandishi wa habari uliofanyika makao makuu ya chama hicho.
Alisema wanachama wenye sifa kwa mujibu wa katiba ya NCCR- Mageuzi pamoja na ile ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wana haki ya...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-vmwzyF87fTc/VVn87HXmVfI/AAAAAAAAPqU/WH2Cqa6mto0/s72-c/E86A7520%2B(800x533).jpg)
NCCR-MAGEUZI WASHAMBULIA JIMBO LA VUNJO
![](http://2.bp.blogspot.com/-vmwzyF87fTc/VVn87HXmVfI/AAAAAAAAPqU/WH2Cqa6mto0/s640/E86A7520%2B(800x533).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-475QD7V0WQU/VVn9AVQ1TRI/AAAAAAAAPq0/nFs7VJ0YTSc/s640/E86A7536%2B(800x533).jpg)
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI