NCCR-Mageuzi Watibua Njama za Kuhujumu UKAWA……..Wamtimua Makamu Mwenyekiti wa Chama Hicho
Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi, James Mbatia Thursday, October 1, 2015 Ikiwa zimebaki siku 23 kufikia siku ya kupiga kura nchini, mapya yameibuliwa na Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi, James Mbatia, akidai kuwa zipo njama chafu […]
The post NCCR-Mageuzi Watibua Njama za Kuhujumu UKAWA……..Wamtimua Makamu Mwenyekiti wa Chama Hicho appeared first on Mzalendo.net.
Mzalendo Zanzibar
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania01 Oct
NCCR- Mageuzi watibua njama za kuhujumu Ukawa
Na Elias Msuya, Dar es Salaam
CHAMA cha NCCR Mageuzi kimetibua njama za kuuhujumu na kuufarakanisha Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) zilizolenga pia kusababisha mauaji kwa Mwenyekiti wake, James Mbatia.
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Mwenyekiti Mwenza wa Ukawa, James Mbatia aliyefuatana na viongozi wa juu wa chama hicho, alisema mkakati huo uliwahusisha makamishna wa chama hicho waliohudhuria pia mkutano huo, na uliratibiwa na Makamu mwenyekiti wa chama...
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-1yPVaq1AkWI/VhZx8FbTPaI/AAAAAAAH93w/wDv3DVxQEzk/s72-c/DSC_0332.jpg)
ALIYEKUWA MAKAMU MWENYEKITI WA NCCR-MAGEUZI ASEMA TARARIBU ZA KUNING'OA NAFASI YANGU ZILIKIUKWA NA NCCR -MAGEUZI
![](http://2.bp.blogspot.com/-1yPVaq1AkWI/VhZx8FbTPaI/AAAAAAAH93w/wDv3DVxQEzk/s640/DSC_0332.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2x-cksUbxNk/VhZx9i7TlQI/AAAAAAAH934/aZSF8Rr2bTk/s640/DSC_0343.jpg)
Na Chalila KibudaAALIYEKUWA Makamu Makamu Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi, Letcia Mosore amesema kuwa taratibu za kumvua nafasi...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-eIlcvbhOj8Q/VTpbQKJCAtI/AAAAAAAHS94/K6Ar5VCMCOs/s72-c/1.jpg)
VIJANA WA NCCR-MAGEUZI WAMCHUKULIA FOMU MGOMBEA URAIS WA CHAMA HICHO,DK.MIHANGO
![](http://1.bp.blogspot.com/-eIlcvbhOj8Q/VTpbQKJCAtI/AAAAAAAHS94/K6Ar5VCMCOs/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-tv0w5BlBovs/VTpZR2qKM6I/AAAAAAAHS9M/h_umUwuhs4s/s1600/2.jpg)
9 years ago
Mwananchi01 Oct
Makamu mwenyekiti NCCR - Mageuzi asimamishwa
9 years ago
GPLMAKAMU MWENYEKITI WA NCCR-MAGEUZI AMJIBU MBATIA
5 years ago
MichuziCHAMA CHA NCCR-MAGEUZI WAPO TEYARI KUSHIRIKIANA NA CHAMA CHOCHOTE KATIKA UCHAGUZI WA 2020
Na Avila Kakingo, Globu ya JamiiCHAMA cha NCCR-Mageuzi kipo tayari kushirikiana na chama chochote kwa kuzingatia maslahi ya mapana ya Tanzania nakuzingatia utaratibu unaokubalika kikatiba na kisheria katika mchakato wote wa kushiriki uchaguzi Mkuu wa 2020.
Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa chama cha NCCR-Mageuzi, James Mbatia jijini Dar es Salaam leo wakati akizungumza na waandishi wa...
10 years ago
Vijimambo21 Feb
Wabunge NCCR-Mageuzi wakanusha kutaka kukihama chama
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/kafulilas-feb21-2015.jpg)
Wabunge wawili wa chama cha NCCR-Mageuzi, wamekanusha kuwa na mkakati wa kukihama chama hicho na kwenda kujiunga na chama cha ACT-Tanzania.
Wakizungumza jijini Dar es Salaam jana, wabunge hao David Kafulila (Kigoma kusini) na Felix Mkosamali (Muhambwe), walisema taarifa iliyotolewa na kiongozi mmoja wa ACT kwamba wanataka kuchukua hatua hiyo ni njia ya kujitangaza kupitia wao.
Mkosamali alisema binafsi amezisikia taarifa za yeye kuhusishwa kuhama chama hicho, lakini amelipuuza...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/_MfUZs2RstE/default.jpg)
5 years ago
The Citizen Daily14 Feb
NCCR-Mageuzi's fate in Ukawa to be known next week