BARAZA KUU LA ULAMAA BAKWATA LATO TAMKO KUKABILIANA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-kh72JOO2TS4/XqJfYAszZdI/AAAAAAAC31U/2OQjsWIglcwG39rdU3ZqBvm1L_7yrLvTQCLcBGAsYHQ/s72-c/images%2B%25281%2529.jpeg)
Wakati tukikaribia Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, Baraza la Ulamaa BAKWATA Taifa limefanya vikao kadhaa kupitia, kutafakari na kuzingatia mwenendo wa COVID 19 nchini Tanzania na hali ya utekelezaji wa Ibada za Swala za Jamaa, Ijumaa na Tarawehe hususan wingi wa watu wanaojitokeza Misikitini katika mwezi wa Ramadhani.
Baada ya tafakari iliyozingatia ushauri wa kitaalamu na miongozo ya kiafya katika kujikinga na kudhibiti ugonjwa wa Corona (COVID 19); pia baada ya kuzingatia kuwa funga ya...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-f79w3S2dkt0/XqF_9DQdGfI/AAAAAAALn-0/RHdeXPu7HW8daO2kl7beYSOy0di7gK3ogCLcBGAsYHQ/s72-c/download.jpg)
TAMKO LA BARAZA LA ULAMAA BAKWATA TAIFA JUU YA MWENENDO WA CORONA (COVID 19) NA UTEKELEZAJI WA IBADA HUSUSAN MWEZI WA RAMADHANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-f79w3S2dkt0/XqF_9DQdGfI/AAAAAAALn-0/RHdeXPu7HW8daO2kl7beYSOy0di7gK3ogCLcBGAsYHQ/s400/download.jpg)
Wakati tukikaribia Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, Baraza la Ulamaa BAKWATA Taifa limefanya vikao kadhaa kupitia, kutafakari na kuzingatia mwenendo wa COVID 19 nchini Tanzania na hali ya utekelezaji wa Ibada za Swala za Jamaa, Ijumaa na Tarawehe hususan wingi wa watu wanaojitokeza Misikitini katika mwezi wa Ramadhani.
Baada ya tafakari iliyozingatia ushauri wa kitaalamu na miongozo ya kiafya katika kujikinga na kudhibiti ugonjwa wa Corona (COVID 19); pia baada ya kuzingatia kuwa funga ya...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-QiYZ3d6wXIc/ViuvmwA-c6I/AAAAAAAIClA/y4gXwzrqmiE/s72-c/IMG-20151024-WA0025.jpg)
11 years ago
Dewji Blog20 May
Tamko la Wajumbe wa Baraza Kuu na Mkutano Mkuu wa Chadema kuhusu Ukawa
Taarifa Kwa Umma – Mashariki by moblog
9 years ago
MichuziPINDI CHANA AMKABIDHI RAIS WA BARAZA KUU LA UN TAMKO LA KUTOKOMEZA NDOA ZA UTOTONI
9 years ago
VijimamboMHE. PINDI CHANA AMKABIDHI RAIS WA BARAZA KUU LA UN TAMKO LA KUTOKOMEZA NDOA ZA UTOTONI
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-c-ivoddhLc0/XpmRJM2b9JI/AAAAAAAC3Q8/bOtLCbqPhcEP84Qd3eNy1LV2aAjU5x-AACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
BARAZA MAASKOFU (TEC) LASITISHA UIMBAJI IBADA ZA MISA KUKABILIANA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-c-ivoddhLc0/XpmRJM2b9JI/AAAAAAAC3Q8/bOtLCbqPhcEP84Qd3eNy1LV2aAjU5x-AACLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
TEC imeamua kusitisha mazoezi ya kwaya ili kuepuka mikusanyiko. Pia nyimbo wakati wa ibada zimesitishwa ili Ibada isitumie muda mrefu
Pia mafundisho ya dini kwa watoto na makundi mengine yamesitishwa. Mafundisho yataendelea kwa njia nyingine kama kujisomea katekisimu au njia ya mtandao
Pia kanisa litazingatia umbali wa mtu...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-QqVegbO2C_M/U_cfAx1drmI/AAAAAAACn4Y/f8sRL8gXgHs/s72-c/20140820_155134%5B1%5D.jpg)
KAMATI KUU YA BARAZA LA WATOTO LAKUTANA DODOMA KUTOA TAMKO LA WATOTO
![](http://4.bp.blogspot.com/-QqVegbO2C_M/U_cfAx1drmI/AAAAAAACn4Y/f8sRL8gXgHs/s1600/20140820_155134%5B1%5D.jpg)
kamati kuu la Baraza la watoto limekutana mjini Dodoma chini ya Uongozi wa mwenyekiti wake Ummy Jamaal kutoa tamko la watoto kwa waheshimiwa wabunge na waandishi wa habari wakitoa msisitizo wa ajenda ya mtoto kuwa sehemu ya mchaakato wa katiba.
Jambo kubwa walilosisitiza ni kuwaomba Ukawa warudi bungeni ili kumalizia mchakato wa kutengeneza katiba.
![](http://2.bp.blogspot.com/-GcI7Y8XJfjQ/U_cfD8pDhLI/AAAAAAACn4g/3YubYUUpImo/s1600/IMG_0263%5B1%5D.jpg)
9 years ago
BBCSwahili10 Sep
Baraza la Bakwata kumchagua mufti mpya
5 years ago
BBCSwahili04 May
Virusi vya corona: Je magari yenye huduma za 'kukabiliana' na corona China ni 'njama'?