MAASKOFU ANGLIKANA WAITAKA JAMII KUUNGANA NA JUHUDI ZA SERIKALI KUKABILIANA NA COVD_19
![](https://1.bp.blogspot.com/-tLFXYkEnNII/XnNsMLuTSeI/AAAAAAAAIuI/Mig0d_5vPFES_1ibKIGMbq0Kej_kQBe1QCEwYBhgL/s72-c/IMG_20200319_123004_219_1584612935576.jpg)
Askofu wa Kanisa la Anglikana nchini Dkt.Mahimbo Mndolwa akiongea na waandishi wa habari jijini Arusha leo picha na Ahmed Mahmoud Arusha
Na Ahmed Mahmoud Arusha
Katika kukabiliana na ugonjwa wa corona nchini ,kanisa la Anglikana limetangaza kuongeza ibada zake katika makanisa yake yote ili kuondoa msongamano ambao ungeweza kusababisha maambukizi zaidi ya ugonjwa huo.
Akitoa tamko hilo jijini Arusha mbele ya maskofu 28 wa dayosisi za kanisa hilo, Askofu Mkuu wa kanisa hilo nchini...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi21 Sep
11 years ago
BBCSwahili14 Jul
Wanawake sasa kuwa maaskofu - Anglikana
10 years ago
BBCSwahili01 May
Anglikana kukabiliana na hewa ya Carbon
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ikFPhhVwblo/VgpXCV3D6CI/AAAAAAAH7sw/AX2yBnSkZXk/s72-c/IMG_9396.jpg)
WACHUNGAJI 200, MAASKOFU 50 KUUNGANA NA JK TAMASHA LA KUOMBEA AMANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-ikFPhhVwblo/VgpXCV3D6CI/AAAAAAAH7sw/AX2yBnSkZXk/s640/IMG_9396.jpg)
Taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa Dar es Salaam jana na Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya tamasha hilo, Alex Msama ilieleza kuwa kati ya viongozi hao 200 ni Wachungaji na 50 ni Maaskofu.
“Idadi inaweza kuwa kubwa zaidi, lakini hadi sasa niseme hao ndiyo ambao tuna uhakika nao watashiriki katika Tamasha la...
5 years ago
CCM Blog31 May
ZARIF: UMEFIKA WAKATI WA DUNIA KUUNGANA KATIKA KUKABILIANA NA UBAGUZI WA RANGI
![Zarif: Umefika wakati wa dunia kuungana katika kukabiliana na ubaguzi wa rangi](https://media.parstoday.com/image/4bv9d72ebfcb3f1nwhl_800C450.jpg)
9 years ago
StarTV25 Nov
Jamii yatakiwa kuungana kuvidhibiti vitendo vya ukatili
Kukithiri kwa ukatili katika jamii nchini hakupaswi kufumbiwa macho na badala yake nguvu ya pamoja ya kudhibiti vitendo hivyo inahitajika ili kuwanusuru waathirika.
Kutokana na takwimu za Taasisi ya takwimu Tanzania za mwaka 2010 za vitendo vya ukatili ambavyo vimeshamiri katika mikoa ya kanda ya ziwa zinaonyesha kuwa mkoa wa Mara unaongoza kwa asilimia 66 na mikoa ya Mwanza na Geita ikifuatia kwa asilimia 56 kila mmoja wakati mkoa wa Kagera ukiwa na asilimia 49 ya vitendo hivyo.
Kauli ya...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-c-ivoddhLc0/XpmRJM2b9JI/AAAAAAAC3Q8/bOtLCbqPhcEP84Qd3eNy1LV2aAjU5x-AACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
BARAZA MAASKOFU (TEC) LASITISHA UIMBAJI IBADA ZA MISA KUKABILIANA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-c-ivoddhLc0/XpmRJM2b9JI/AAAAAAAC3Q8/bOtLCbqPhcEP84Qd3eNy1LV2aAjU5x-AACLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
TEC imeamua kusitisha mazoezi ya kwaya ili kuepuka mikusanyiko. Pia nyimbo wakati wa ibada zimesitishwa ili Ibada isitumie muda mrefu
Pia mafundisho ya dini kwa watoto na makundi mengine yamesitishwa. Mafundisho yataendelea kwa njia nyingine kama kujisomea katekisimu au njia ya mtandao
Pia kanisa litazingatia umbali wa mtu...
11 years ago
Mwananchi01 Mar
Chadema waitaka Serikali isiingilie kampeni
10 years ago
Mwananchi01 Dec
Wananchi waitaka Serikali itengue agizo la Pinda