Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chadema waitaka Serikali isiingilie kampeni

Mwenyekiti wa Baraza la Vijana la Chadema Taifa, John Heche, amekemea vitendo vya viongozi wa Serikali ya vijiji kuwatisha wananchi wanaojitokeza kuhudhuria mikutano ya kumnadi mgombea wa Chadema, Grace Tendega.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Chadema waitaka CCM isikwamishe Katiba Mpya

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, amekitaka Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Serikali yake kuacha kile alichokielezea kuwa ni hila ya kutaka kukwamisha mchakato wa Katiba Mpya.

 

9 years ago

Michuzi

SERIKALI YAKANUSHA CHADEMA KUTUMIA UWANJA WA TAIFA KUZINDUA KAMPENI ZAKE.

Na Benedict Liwenga, MAELEZO.SERIKALI imekanusha taarifa zilizojitokeza kwenye Vyombo vya habari yakiwemo magazeti na mitandao ya kijamii kwamba Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kitafanya mkutano hadhara Uwanja wa Taifa Dar es Salaam tarehe 22 Agosti, 2015.
Akizungumza na vyombo vya habari jana, Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO), Assah Mwambene alisema serikali haijatoa ruhusa kwa chama chochote cha siasa kutumia uwanja wa taifa kwa ajili ya shughuli za kisiasa.
Alikiri kwamba...

 

10 years ago

StarTV

CCM Mwanza waitaka Serikali kusimamia sheria

Na Abdalla Tilata, Mwanza.

 

Halmashauri kuu ya Chama cha Mapinduzi CCM mkoa wa Mwanza imeitaka Serikali kusimamia sheria ili kuhakikisha kila mwananchi anapata uhuru wa kuchagua kiongozi anayemtaka katika chaguzi mbalimbali badala ya kushinikizwa.

 

Tamko hili la Halmashauri kuu ya Chama cha Mapinduzi CCM mkoa wa Mwanza limekuja ikiwa ni siku chache baada ya kumalizika kwa uchaguzi wa serikali za mitaa na katika baadhi ya vituo wananchi kufanyiwa fujo na baadhi ya wafuasi wa vyama vya...

 

10 years ago

Mwananchi

Wananchi waitaka Serikali itengue agizo la Pinda

Wakazi wa Kata ya Gararagua Wilaya ya Siha mkoani Kilimanjaro, wameiomba Serikali itengue uamuzi uliotolewa na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda wa kuridhia kuuzwa kwa shamba la Gararagua lenye ukubwa wa ekari zaidi ya elfu tatu, ili kulipa deni la Sh bilioni 3.9 inalodaiwa Chama Kikuu cha Ushirika mkoani Kilimanjaro (KNCU) na benki ya CRDB.

 

10 years ago

Mwananchi

Wafamasi waitaka Serikali kuyabana maduka ya dawa

Chama cha Wafamasia Tanzania (PST) kimeiomba Serikali kuhakikisha taratibu za kisheria za uanzishwaji na uendeshaji wa maduka ya dawa unafuatwa kwa masilahi ya umma na siyo kwa madhumuni ya kibiashara kama ilivyo sasa.

 

10 years ago

Vijimambo

WADAU WA ELIMU WAITAKA SERIKALI KUPANDISHA WASTANI WA UFAULU

Kaimu Mwenyekiti wa Umoja wa Wamiliki wa Vyuo na shule(TAMONGSCO) Taifa, Leonard Mao, akizungumza katika mkutano Mkuu wa Mwaka wa Chama hicho Kanda ya Mbeya uliofanyika katika ukumbi wa Chuo cha Saut tawi la Mbeya.Mwenyekiti wa Kanda ya Mbeya wa Tamongsco, Mzee Asanga akitoa utambulisho katika mkutano huo.Wamiliki wa Shule na Vyuo, Wakuu wa Shule na Mameneja wakiwa kwenye mkutano mkuu wa Mwaka wa Tamongsco Kanda ya Mbeya.CHAMA cha wamiliki wa vyuo na shule zisizokuwa za Serikali(TAMONGSCO)...

 

10 years ago

Michuzi

WAFANYABIASHARA WA JIJI LA DAR ES SALAAM WAITAKA SERIKALI KUPUNGUZA KODI

Na Tinah Reuben, Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa Chama cha Wafanyabiashara Dar es salaam (JWT), Philimon Chonde amesema suala la kupandishwa kwa kodi kwa asilimia mia moja limepitishwa kinyemela bila ya wao kuwashirikisha wala kujadiliana na wafanyabiashara hao.
Akizungumza leo katika mkutano uliofanyika katika ukumbi wa Lamada Hotel jijini Dar es Salaam ukiwashirikisha wabunge, ameeleza kuwa mfumo wa kodi uliopo umekaa kikoloni kwani unawakandamiza wafanyabiashara ili waendelee kuwa ...

 

9 years ago

StarTV

TALGWU waitaka serikali kuwalipa stahiki zao shilingi bil.18

Baadhi ya viongozi wa chama cha wafanyakazi Serikali za Mitaa TALGWU Mkoani Mwanza wameitaka serika kuwalipa stahiki zao haraka kiasi cha shilingi billion 18 ikiwa ni moja ya malimbikizo ya stahiki zao.ahadi ya serikali

Wamesema kuwa licha ya Rais wa jamuhuri wa Muungano wa Tanzania Mh.Jakaya Mrisho Kikwetwe kutoa tamko la kulipa malimbikizo ya madeni kuwalipa kabla ya juni 30 mwaka huu lakini mpaka sasa hayajafanyiwa kazi jambo ambalo wamesema linawaweka katika mgumu.

Madai hayo yametolewa...

 

10 years ago

Mwananchi

SAKATA LA IPTL: Mabalozi waitaka Serikali kuchukua hatua kali

>Licha ya Rais Jakaya Kikwete kutoa ufafanuzi wa sakata la uchotaji fedha kutoka Akaunti ya Tegeta Escrow iliyokuwa Benki Kuu na kutangaza kuchukua hatua dhidi ya baadhi ya viongozi na watendaji, nchi wahisani wamesema bado suala hilo linawachanganya na wanasubiri tamko la Serikali.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani