WADAU WA ELIMU WAITAKA SERIKALI KUPANDISHA WASTANI WA UFAULU
Kaimu Mwenyekiti wa Umoja wa Wamiliki wa Vyuo na shule(TAMONGSCO) Taifa, Leonard Mao, akizungumza katika mkutano Mkuu wa Mwaka wa Chama hicho Kanda ya Mbeya uliofanyika katika ukumbi wa Chuo cha Saut tawi la Mbeya.
Mwenyekiti wa Kanda ya Mbeya wa Tamongsco, Mzee Asanga akitoa utambulisho katika mkutano huo.
Wamiliki wa Shule na Vyuo, Wakuu wa Shule na Mameneja wakiwa kwenye mkutano mkuu wa Mwaka wa Tamongsco Kanda ya Mbeya.
CHAMA cha wamiliki wa vyuo na shule zisizokuwa za Serikali(TAMONGSCO)...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi07 Nov
Wadau wa elimu wakosoa ufaulu la saba
11 years ago
MichuziWADAU WA KILIMO WAITAKA ANSAF KUTOA ELIMU ZAIDI YA UHIFADHI MAZAO YA NAFAKA MIKOANI
Baadhi ya washiriki...
11 years ago
Mwananchi18 Jul
Ufaulu kidato cha sita watia shaka wadau wa elimu
11 years ago
Uhuru Newspaper24 Sep
Arusha kupandisha kiwango cha ufaulu
HALMASHAURI ya Jiji la Arusha kupitia mpango wa matokeo makubwa (BRN), inatarajia kupandisha kiwango cha ufaulu kwa mwaka 2014, hadi kufikia asilimia 92 kwa elimu ya msingi.
Takwimu zinaonyesha katika matokeo ya mwaka jana, ufaulu ulikuwa asilimia 85.
Hayo yalisemwa juzi na Ofisa ElimuTaaluma wa Shule za Msingi katika halmashauri ya Jiji hilo, Mbwana Juma, alipokuwa akizungumza wakati wa mafunzo ya mbinu za kufundisha masomo ya hisabati na sayansi.
Alisema kupitia BRN...
11 years ago
Tanzania Daima20 Apr
Mama Kikwete atoa mbinu kupandisha ufaulu
MKE wa Rais, Mama Salma Kikwete, ambaye pia ni Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (NEC-CCM) kupitia Wilaya ya Lindi Mjini, amewataka wazazi na walimu kushirikiana ili kuhakikisha...
10 years ago
Tanzania Daima08 Dec
Wadau elimu walia na serikali
WADAU wa elimu nchini wameilaumu serikali kwa kubadilisha mara kwa mara viwango vya ufaulu bila kufanya tathimini ya kutosha, mpango uliofananishwa na upanuzi wa magoli ili kumwezesha kila mchezaji kufunga...
11 years ago
Mwananchi10 Dec
Viwango vya ufaulu vinapokinzana na malengo ya elimu, dira ya TaifaViwango vya ufaulu vinapokinzana na malengo ya elimu, dira ya Taifa
11 years ago
Mwananchi06 May
Wadau, serikali wana mengi ya kufanya kunusuru elimu
5 years ago
Michuzi
SERIKALI NA WADAU WAJA NA ELIMU JUU YA CORONA KWA WATOTO
ya Maendeleo ya Jamii) kwa kushirikiana na Mtandao wa Malezi, Makuzi
na Maendeleo ya Watoto Wadogo Tanzania (TECDEN), Taasisi ya Chakula na
Lishe, Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Watoto (UNICEF)
wameandaa mkakati wa kufikisha ujumbe kwa watoto kuhusu kujikinga na
maambukizi ya Virusi vya Corona.
Akizungumza leo katika kikao kazi kilichowakutanisha wadau hao jijini
Dar es Salaam Mkurugenzi Mtendaji wa Mtandao wa...